-
Wimbi jipya la corona latua pia nchini Saudi Arabia, mamia ya watu waambukizwa
Jun 30, 2021 01:48Wizara ya Afya ya Saudi Arabia jana ilitangaza kuwa, watu 1,567 wamethibitishwa kukumbwa na ugonjwa wa COVID-19 katika kipindi cha siku moja nchini humo. Hilo lilikuwa ni tangazo rasmi kuwa Saudia imo kwenye wimbi jipya la maambukizi ya kirusi cha corona.
-
Sultan wa Oman naye ampongeza Bashar al Assad kwa kuchaguliwa tena kuwa Rais wa Syria
May 30, 2021 22:20Sultan wa Oman amemtumia ujumbe Rais Bashar al Assad wa Syria na kumpongeza kwa kuchaguliwa tena kuwa rais wa nchi hiyo.
-
Oman: Hatuna haraka ya kupanua uhusiano wetu na Israel
Feb 12, 2021 23:27Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amesema, nchi yake haina haraka ya kupanua uhusiano wake na Israel na wala haikusudii kuchukua hatua ya kufanya hivyo kwa sasa.
-
Jumapili, Disemba 20, 2020
Dec 19, 2020 23:18Leo ni Jumapili tarehe 5 Jamadil Awwal mwaka 1442 Hijria, inayosadifiana na tarehe 20 Disemba mwaka 2020 Miladia.
-
Oman yatoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Iran
Nov 30, 2020 01:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman ametoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Iran baada ya kuuawa kigaidi, mwanasayansi mkubwa wa nyuklia na masuala ya kijeshi wa Iran, shahidi Mohsen Fakhrizadeh.
-
Mufti wa Oman: Waislamu waondoe mitaji yao katika sekta za uchumi za Ufaransa
Oct 27, 2020 03:55Mufti wa Oman Sheikh Ahmed bin Hamad al-Khalili amewatolea mwito Waislamu wa kuondoa mitaji yao waliyowekeza kwenye vituo na sekta za uchumi za Ufaransa.
-
Ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu walaani makubaliano kati ya Sudan na Israel
Oct 24, 2020 04:15Nchi za ulimwengu wa Kiislamu na Kiarabu pamoja na makundi ya muqawama yamelaani vikali hatua ya kufikiwa makubaliano kati ya Sudan na Israel ya kuanzisha uhusiano wa kawaida baina yao. Wananchi wa Palestina wamekitaja kitendo hicho cha kisaliti kama 'dhambi ya kisiasa.'
-
Jumatatu tarehe 28 Septemba 2020
Sep 27, 2020 23:32Leo ni Jumatatu tarehe 10 Mfunguo Tano Safar 1442 Hijria sawa na 28 Septemba 2020.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman: Iran ni nchi kubwa katika eneo la magharibi mwa Asia
Feb 16, 2020 12:55Waziri wa Mambo ya Nje wa Oman amesisitiza kuwa, Iran ni nchi kubwa katika eneo la magharibii mwa Asia.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akutana na mfalme mpya wa Oman
Jan 12, 2020 04:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye ameelekea nchini Oman kuiwakilisha serikali ya Iran katika shughuli ya kumuenzi na kumkumbuka aliyekuwa mfalme wa nchi hiyo aliyefariki dunia Sultan Qaboos bin Said Al Said, amekutana na kufanya mazungumzo na mfalme mpya, Sultan Haitham bin Tariq Al Said.