Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Guterres atishia kuipeleka Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki

    Guterres atishia kuipeleka Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki

    Sep 03, 2026 09:04

    Gazeti la Kizayuni limeripoti kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametishia kuupeleka utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) huko The Hague nchini Uholanzi.

  • Mpango wa Chakula Duniani: Wapalestina 200,000 wamenyimwa msaada wa chakula

    Mpango wa Chakula Duniani: Wapalestina 200,000 wamenyimwa msaada wa chakula

    Sep 03, 2026 03:21

    Mpango wa Chakula Duniani (WFP) sambamba na kuonya kuhusu kunyimwa Wapalestina 200,000 msaada wa chakula, umetahadharisha pia kuhusu mgogoro wa kiuchumi, ukosefu wa usalama wa chakula na kuzorota hali ya afya katika Ukingo wa Magharibi na Ukanda wa Gaza.

  • UN: Hali ya kibinadamu Gaza na Ukingo wa Magharibi yazidi kuzorota

    UN: Hali ya kibinadamu Gaza na Ukingo wa Magharibi yazidi kuzorota

    Sep 02, 2026 02:43

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa, lile la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) na la Afya Duniani (WHO) yameonya kuhusu kuzorota kwa hali ya kibinadamu katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kimabavu na Israel.

  • Waziri wa kizayuni aeleza 'anavyofurahishwa' na mateso wanayopata wafungwa Wapalestina

    Waziri wa kizayuni aeleza 'anavyofurahishwa' na mateso wanayopata wafungwa Wapalestina

    Aug 30, 2026 13:28

    Waziri wa usalama wa ndani wa utawala wa kizayuni wa Israel, Itamar Ben-Gvir, amesema "anafurahishwa" na unyanyasaji wa wafungwa Wapalestina walioko kwenye jela za utawala huo na kuongeza kwamba yeye anahusika moja kwa moja na hali zinazoshuhudiwa katika jela hizo.

  • "Wanataka kututisha": Mwanachama wa zamani wa Palestine Action akosoa vikwazo vya Trump

    Aug 29, 2026 02:44

    Mwanachama wa zamani wa harakati ya Palestine Action ameikosoa serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani kwa kuliwekea vikwazo shirika hilo, ambalo linafanya kazi kwa bidii kupinga biashara ya silaha inayounga mkono mashambulizi ya kijeshi ya Israel dhidi ya watu wa Palestina.

  • Baada ya miaka 25, Misri yamtambulisha tena mtoto Muhammad al-Durra kwenye mtaala wa somo la historia

    Baada ya miaka 25, Misri yamtambulisha tena mtoto Muhammad al-Durra kwenye mtaala wa somo la historia

    Aug 26, 2026 11:13

    Miaka 25 baada ya tukio lililoishtua na kuitikisa dunia, picha ya mtoto wa miaka 12 wa Kipalestina Muhammad al-Durra aliyeuliwa kinyama na hadharani na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel imehama kutoka kwenye skrini za televisheni hadi kwenye kurasa za kitabu cha kiada cha Misri, katika somo linaloangazia Intifadha ya Pili ya Wapalestina ya mwaka 2000.

  • Ripota Maalumu wa UN atoa wito wa kupelekwa haraka kikosi cha kimataifa cha kulinda Wapalestina Ukingo wa Magharibi na Gaza

    Ripota Maalumu wa UN atoa wito wa kupelekwa haraka kikosi cha kimataifa cha kulinda Wapalestina Ukingo wa Magharibi na Gaza

    Aug 24, 2026 13:34

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu Haki za Binadamu katika Maeneo Yanayokaliwa kwa ya Palestina, Francesca Albanese, ametoa wito wa kupelekwa haraka kikosi cha kimataifa cha kuwalinda Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Ukanda wa Gaza.

  • Kamanda Qaani: Palestina ni fikra iliyo hai na isiyobadilika

    Kamanda Qaani: Palestina ni fikra iliyo hai na isiyobadilika

    Aug 24, 2026 06:08

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amesema: "Suala la kukomboa Palestina, kuanzia baharini hadi mtoni, (ardhi ya Palestina kuanzia Bahari ya Mediterania hadi Mto Jordan) liko hai zaidi na linawezekana kutimizwa sasa kuliko hapo awali."

  • Hamas yawapongeza mabalozi wa zamani wa Ufaransa na Uingereza wanaotaka Israel iwekewe vikwazo

    Hamas yawapongeza mabalozi wa zamani wa Ufaransa na Uingereza wanaotaka Israel iwekewe vikwazo

    Aug 23, 2026 13:57

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza muungano wa wanadiplomasia zaidi ya 100 wa zamani wa Ufaransa na Uingereza wanaozitaka serikali za nchi zao kushirikiana kulinda sheria za kimataifa katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina. Mabalozi hao pia wametaka Israel iwekewe vikwazo.

  • Wapalestina ‘wanakabiliwa na baa la njaa’ huku walowezi wa Kizayuni wakiendeleza mzingiro katika mji wa Qusra

    Wapalestina ‘wanakabiliwa na baa la njaa’ huku walowezi wa Kizayuni wakiendeleza mzingiro katika mji wa Qusra

    Aug 21, 2026 10:19

    Wapalestina walionaswa ndani ya nyumba zao katika mji wa Qusra wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula huku walowezi wenye itikadi kali za Kizayuni wakiendeleza mzingiro wao dhidi ya mji huo wa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, wakati vikosi vya utawala ghasibu wa Israel vikiendelea kuzuia misaada ya chakula kufika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS