Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • UN: Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel umeshafikia “hatua ya kusambaratika”

    UN: Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel umeshafikia “hatua ya kusambaratika”

    Aug 12, 2026 12:02

    Mratibu wa juhudi za Umoja wa Mataifa za mchakato wa amani Mashariki ya Kati, Ramiz Alakbarov, amesema Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel umefikia “hatua ya kusambaratika”, huku ongezeko la vitendo vya ukatili na mabavu vya walowezi wa Israel, upanuzi wa vitongoji haramu na ufurushwaji wa jamii za Wapalestina vikiibadilisha kwa kasi sura ya eneo hilo.

  • Pezeshkian: Iran itaunga mkono maamuzi yatakayochukuliwa na viongozi wa Palestina

    Pezeshkian: Iran itaunga mkono maamuzi yatakayochukuliwa na viongozi wa Palestina

    Aug 06, 2026 03:53

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu itaunga mkono mpango au uamuzi wowote utakaopitishwa na viongozi wa Palestina katika mchakato wa mazungumzo yanayoendelea, akithibitisha tena uungaji mkono thabiti wa Tehran kwa mapambano ya Palestina.

  • Muqawama wa Palestina watoa onyo baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya Israel tangu kusitisha mapigano

    Muqawama wa Palestina watoa onyo baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya Israel tangu kusitisha mapigano

    Aug 03, 2026 10:10

    Makundi ya Muqawama ya Palestina yametoa onyo kali baada ya mashambulizi mabaya zaidi ya anga ya Israel tangu kusitisha mapigano Oktoba 2025, yakisema mashambulizi hayo yasiyokoma ni hujuma ya makusudi dhidi ya makubaliano ya kusitisha mapigano na ujumbe kwamba Israel haina nia ya kutimiza majukumu yake.

  • Kwa mnasaba wa kuuawa shahidi Haniya, Iran yasisitiza uungaji mkono wake kwa malengo ya Palestina

    Kwa mnasaba wa kuuawa shahidi Haniya, Iran yasisitiza uungaji mkono wake kwa malengo ya Palestina

    Aug 03, 2026 03:37

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya mwaka wa pili tangu alipouawa shahidi Ismail Haniya, ambapo mbali na kumuenzi mkuu huyo wa zamani wa ofisi ya kisiasa ya HAMAS imesisitiza kuendelea kuunga mkono malengo matukufu ya Palestina na ulazima wa kuchukuliwa hatua za haraka na jamii ya kimataifa ili kupunguza mateso ya watu wa Ghaza na Ukingo wa Magharibi, sambamba na kufunguliwa kesi wahusika wa jinai zilizofanywa na utawala wa Kizayuni

  • Katika mwezi wa Julai pekee Israel imeua Wapalestina zaidi ya 150 Ghaza

    Katika mwezi wa Julai pekee Israel imeua Wapalestina zaidi ya 150 Ghaza

    Aug 02, 2026 13:10

    Wizara ya Afya ya Ghaza imetangaza kuwa, katika mwezi Julai pekee, Wapalestina 152 waliuawa shahidi katika eneo hilo lililowekewa mzingiro, ikiwa ni idadi kubwa zaidi ya vifo vya kila mwezi kuwahi kurekodiwa tangu ulipoanza mwaka huu.

  • Vita vya kinyama vya Israel Ghaza: Miili 40 ya watoto, 38 ya wanawake miongoni mwa iliyotolewa kwenye kifusi

    Vita vya kinyama vya Israel Ghaza: Miili 40 ya watoto, 38 ya wanawake miongoni mwa iliyotolewa kwenye kifusi

    Aug 02, 2026 12:57

    Shirika la Ulinzi wa Raia la Ghaza limesema, wafanyakazi wake walipata miili na mabaki ya watu 112 kutoka chini ya vifusi vya nyumba zilizoharibiwa na mashambulizi ya kinyama ya jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel katika kitongoji cha Sabra cha Jiji la Ghaza.

  • Watetezi wa Palestina wakusanyika nje ya White House kupinga safari ya Netanyahu

    Watetezi wa Palestina wakusanyika nje ya White House kupinga safari ya Netanyahu

    Jul 28, 2026 13:59

    Waandamanaji wanaoitetea na kuiunga mkono Palestina walikusanyika nje ya Ikulu ya White House jana Jumatatu kupinga ziara ya Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu huko Washington kabla ya mkutano wake aliopangiwa kufanya na Rais wa Marekani Donald Trump.

  • Afisa wa UN alaani vikali mashambulizi ya kigaidi ya Walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    Afisa wa UN alaani vikali mashambulizi ya kigaidi ya Walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina

    Jul 25, 2026 11:08

    Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa, Francesca Albanese, amelaani vikali wimbi kubwa la ghasia zinazotekelezwa na walowezi wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika maeneo yote ya Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel.

  • Hamas: Kuongezeka mashambulizi dhidi ya Gaza ni jaribio la kuua makubaliano ya kusitisha mapigano

    Hamas: Kuongezeka mashambulizi dhidi ya Gaza ni jaribio la kuua makubaliano ya kusitisha mapigano

    Jul 24, 2026 07:13

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kwamba mashambulizi makubwa ya anga ya utawala wa Israel eneo la Ukanda wa Gaza katika saa kadhaa zilizopita ni mwendelezo wa vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya raia wasio na hatia na msisitizo wa kuvuruga makubaliano ya kusitisha mapigano.

  • 'Hatuogopi kuuawa shahidi': Mkuu mpya wa Hamas atoa ujumbe wa kwanza

    'Hatuogopi kuuawa shahidi': Mkuu mpya wa Hamas atoa ujumbe wa kwanza

    Jul 22, 2026 03:05

    Khalil al-Hayya, mkuu mpya wa Idara ya Siasa ya Hamas, ametangaza katika ujumbe wake wa kwanza kama kiongozi wa harakati hiyo kwamba muqawama wa Palestina hautatishwa na mauaji ya wanawe au mauaji ya makamanda wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS