Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Iran: Israel iliundwa kwa damu; mauaji ya kimbari lazima yakomeshwe sasa

    Iran: Israel iliundwa kwa damu; mauaji ya kimbari lazima yakomeshwe sasa

    May 16, 2025 07:22

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa Siku ya Nakba na kusema kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel "uliasisiwa katika msingi wa umwagaji damu" na kwamba jamii ya kimataifa ina wajibu wa kukomesha mauaji ya kimbari yanayoendelea huko Gaza.

  • Ansarullah: Iran imetekeleza wajibu wake wa Kiislamu kuiunga mkono Palestina

    Ansarullah: Iran imetekeleza wajibu wake wa Kiislamu kuiunga mkono Palestina

    May 16, 2025 06:52

    Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen ameipongeza Iran kwa uungaji mkono wake usio na kikomo kwa taifa la Palestina na kadhia yao halali na kueleza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inafuata njia ya heshima katika suala hilo na nchi nyingine zote za Kiislamu lazima zifuate mkondo huo.

  • Shambulio la 3 la kombora la hypersonic la Yemen dhidi ya Ben Gurion

    Shambulio la 3 la kombora la hypersonic la Yemen dhidi ya Ben Gurion

    May 14, 2025 11:31

    Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen wamefanya shambulio jipya la kombora la hypersonic dhidi ya utawala haramu wa Israel na kupelekea sauti za ving'ora vya tahadhari kuhanikiza katika sehemu ya kaskazini ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo pandikizi.

  • Iran yailaani Israel kwa kupiga mabomu kambi za wakimbizi Palestina

    Iran yailaani Israel kwa kupiga mabomu kambi za wakimbizi Palestina

    May 14, 2025 02:47

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya hivi karibuni ya anga dhidi ya kambi za wakimbizi wa Kipalestina yaliyofanywa na utawala ghasibu wa Israel na kusababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa makumi ya Wapalestina wasio na hatia wakiwemo watoto wadogo.

  • Jumatano, Mei 14, 2024

    Jumatano, Mei 14, 2024

    May 14, 2025 02:40

    Leo ni Jumatano tarehe 16 Mfunguo Pili, Dhulqaada, 1446 Hijria sawa na tarehe 14 Mei 2025 Milaadia.

  • Wamorocco: Mgogoro wa kibinadamu Gaza unatisha

    Wamorocco: Mgogoro wa kibinadamu Gaza unatisha

    May 12, 2025 11:12

    Wananchi wa Morocco wameandamana kuunga mkono Wapalestina wanaoishi katika Ukanda wa Gaza, wakitangaza mshikamano wao na watoto wa eneo hilo la Palestina lililozingirwa ambao wanakabiliwa na njaa, kiu na maradhi; huku mgogoro mbaya wa kibinadamu uliosababishwa na Wazayuni ukiendelea kuwasakama.

  • Wanafunzi Marekani waanzisha mgomo wa kula kulalamikia njaa iliyosababishwa na Israel huko Gaza

    Wanafunzi Marekani waanzisha mgomo wa kula kulalamikia njaa iliyosababishwa na Israel huko Gaza

    May 12, 2025 02:03

    Makundi ya wanafunzi nchini Marekani wameanzisha mgomo wa pamoja wa kususa kula katika kuonyesha mshikamano wao na raia wa Kipalestina wa Ukanda wa Gaza ambao wanakabiliwa na ukosefu mkubwa wa chakula kutokana na sera za mauaji ya kimbari za Israel.

  • US yaendelea kuwawekea mbinyo wanachuo wanaoitetea Palestina

    US yaendelea kuwawekea mbinyo wanachuo wanaoitetea Palestina

    May 10, 2025 02:57

    Chuo Kikuu cha Columbia nchini Marekani kimewasimamisha masomo zaidi ya wanafunzi 65 kufuatia maandamano yao ya kuwaunga mkono wananchi wa Palestina ambayo yalitokea kwenye Maktaba ya Butler.

  • "Uvamizi wa Israel Syria hautayaacha salama mataifa ya Kiarabu, Kiislamu"

    May 05, 2025 02:23

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imesema kuwa, uvamizi wa Israel dhidi ya Syria ni hujuma za dhidi ya mataifa yote ya Kiarabu na Kiislamu hususan Palestina, Lebanon na Syria, na kwamba maeneo mengine ya Kiarabu hayatakuwa salama kutokana na chokochoko hizo na matokeo yake.

  • ICJ yaanza kusikiliza hatua za kibinadamu zinazopaswa kutekelezwa na Israel

    ICJ yaanza kusikiliza hatua za kibinadamu zinazopaswa kutekelezwa na Israel

    Apr 29, 2025 02:44

    Mwanadiplomasia wa Palestina jana Jumatatu aliiambia Mahakama ya Kilele ya Umoja wa Mataifa kwamba Israel inawaua, inawafurusha raia wa Kipalestina na kuwashambulia wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu huko Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS