-
UNRWA: Watoto zaidi ya 650,000 wa Palestina wanakosa masomo kwa mwaka wa tatu sasa huko Ghaza
Oct 16, 2025 08:56Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetangaza leo kuwa zaidi ya watoto 650,000 Wapalestina wanakosa elimu katika Ukanda wa Ghaza kwa mwaka wa tatu mfululizo.
-
Wananchi wa Uruguay waandamana wakitaka kukatwa uhusiano na Israel
Oct 11, 2025 09:25Maelfu ya wananchi wa Uruguay waliingia mitaani na mabarabarani jana Ijumaa, kushiriki maandamano ya kuitaka serikali yao itambue mzozo wa kibinadamu unaoendelea Gaza kama mauaji ya halaiki, sanjari na kukata uhusiano wa kidiplomasia na kiuchumi na Israel.
-
Makundi ya Muqawama ya Palestina yakataa Ghaza kuwa chini ya utawala na usimamizi wa wageni
Oct 11, 2025 03:22Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, HAMAS pamoja na makundi mengine washirika ya Muqawama wa Palestina yamesisitiza kuwa uamuzi wowote kuhusu utawala wa baadaye wa Ghaza ni "suala la ndani la Palestina" na kupinga vikali eneo hilo kutawaliwa na kusimamiwa na maajinabi.
-
Somalia na Djibouti zakaribisha usitishaji vita Gaza; zatoa wito wa kuasisiwa taifa huru la Palestina
Oct 11, 2025 02:34Somalia na Djibouti zimekaribisha makubaliano ya amani yaliyofikiwa kwa ajili ya kusitisitisha vita katika Ukanda wa Gaza na kupongeza juhudi za kikanda na kimataifa za kufanikisha usitishaji vita, kuhahkikisha misaada ya kibinadamu inafika Gaza na wafungwa na mateka wote wanaachiwa huru.
-
Kushiriki makundi ya Palestina katika mazungumzo ya Sharm el-Sheikh
Oct 08, 2025 12:28Televisheni ya al Jazeera yenye makao yake mjini Doha Qatar imemnukuu afisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina na kuripoti kuwa wawakilishi wa makundi kadhaa ya Wapalestina wamejiunga na timu za mazungumzo huko Sharm el-Sheikh Misri hatua waliyoitaja kuwa yenye lengo la kufanikisha matakwa ya wananchi wa Palestina.
-
Kilichopelekea maandamano ya kuipinga Israel katika nchi za Ulaya kugeuka kuwa vuguvugu kubwa la umma barani humo
Oct 07, 2025 04:32Maandamano makubwa ya wananchi wa mataifa ya Ulaya dhidi ya sera za utawala wa kizayuni wa Israel huko Ghaza yangali yanaendelea.
-
Iran yaunga mkono uamuzi wa Palestina juu ya usitishaji vita Gaza; lakini yaonya...
Oct 06, 2025 05:51Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema itaunga mkono uamuzi wowote wa watu wa Palestina na Muqawama kuhusu pendekezo la kusitisha mapigano Gaza linaloungwa mkono na Marekani, huku ikiionya jamii ya kimataifa kuhusu mwelekeo hatari wa mpango huo na historia ya kutokuwa na muamana Israel.
-
Radiamali ya watumiaji X kwa mpango wa Marekani wa kusitisha vita huko Gaza: hatuamini, Trump si mwaminifu
Oct 04, 2025 09:44Watumiaji wa mtandao wa kijamii wa X wamesisitiza haja ya kuwa macho dhidi ya mpango wa Rais wa Marekani wa kusitisha vita huko Gaza.
-
Yemen: Tuko tayari kuungana na 'jeshi la kimataifa' linalopendekezwa na Colombia kuikomboa Palestina
Oct 01, 2025 02:34Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amepongeza pendekezo la hivi karibuni la Rais wa Colombia wakati wa hotuba yake mbele ya Umoja wa Mataifa la kuundwa 'jeshi la kimataifa' litakalopewa jukumu la kuikomboa Palestina kutokana na uvamizi na uporaji wa ardhi unaoungwa mkono na Marekani.
-
Trump awaita 'wapumbavu' washirika wa Marekani wa Ulaya walioitambua nchi ya Palestina
Sep 30, 2025 07:04Rais wa Marekani Donald Trump amewashambulia vikali kwa kuwaita wapumbavu washirika wakuu wa Ulaya wa nchi hiyo ikiwemo Uingereza na Ufaransa kwa kuitambua rasmi nchi ya Palestina.