-
Wanajeshi katili wa Israel wamuuwa kipa Mpalestina huko Gaza
Jul 02, 2026 11:43Wanajeshi wa Israel wameuuwa shahidi kwa risasi kipa wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza, na hivyo kuifanya idadi ya wanamichezo waliouliwa shahidi na jeshi la Israel kufikia 1,009.
-
Hamas: Kimya cha dunia kuhusu watoto wa Kipalestina waliouawa Gaza ni kushiriki katika mauaji ya kimbari ya Israel
Jun 30, 2026 03:46Katika taarifa yake Jumatatu usiku, msemaji wa Hamas, Hazem Qassem, alisema kwamba mtoto wa Kipalestina asiye na hatia aliyeuawa jana na jeshi la Israel ndiye mwathirika wa hivi karibuni zaidi miongoni mwa makumi ya maelfu ya watoto wa Kipalestina waliouawa katika mashambulizi ya mabomu ya Wazayuni, njaa, kunyimwa huduma za matibabu, ugaidi na kutokana na huzuni ya kufiwa na wazazi wao.
-
Jihad Islami yailaumu Marekani kwa ukatili unaoendelezwa na Israel huko Gaza
Jun 19, 2026 03:50Harakati ya Jihadi Islami ya Palestina imesema utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani lazima uwajibishwe kwa ukatili na vitendo vya uchokozi vinavyofanywa na askari wa utawala vamizi wa Israel dhidi ya Wapalestina wa kawaida katika Ukanda wa Gaza ulioharibiwa na vita.
-
Mamia waandamana Brussels wakitaka kuwekewa vikwazo Israel
Jun 19, 2026 03:44Mamia ya watu walifanya maandamano jana Alhamisi Brussels, Ubelgiji kabla ya mkutano wa kilele wa Umoja wa Ulaya.
-
Wakuu wa zamani wa usalama wamwambia Netanyahu: Komesha ugaidi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi
Jun 18, 2026 11:28Mawaziri wakuu wawili wa zamani wa Israel, pamoja na watu mashuhuri kutoka Israel na Marekani, wakuu wa zamani wa mashirika ya usalama, na maafisa kadhaa wa zamani katika taasisi mbalimbali za usalama, wamesaini barua iliyoelekezwa kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu jana Jumatano, wakiitaka serikali na mashirika yake kuchukua hatua za haraka za kukabiliana na kile walichokiita "ugaidi wa Kiyahudi" katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu huko Palestina.
-
Amnesty International: Israel inafanya "maangamizi ya kizazi" katika Ukingo wa Magharibi
Jun 13, 2026 09:04Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekutaja kuongezeka vitendo vya ukatili vya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi kuwa ni "maangamizi ya kizazi" na "kulazimisha watu kuhama makazi yao."
-
Israel na walowezi wa Kizayuni wazidisha mashambulizi katika Ukingo wa Magharibi
Jun 07, 2026 03:18Wanajeshi wa Israel na walowezi wa Kizayuni wamezidisha mashambulizi yao dhidi ya Wapalestina katika eneo la Ukingo wa Magharibi linalokaliwa kwa mabavu.
-
Jumatatu tarehe Mosi Juni 2026
Jun 01, 2026 03:26Leo ni Jumatatu 15 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1447 Hijria mwafaka na tarehe Mosi Juni 2026.
-
Mwanasiasa wa Ujerumani: EU ni mshirika katika ugaidi wa kimfumo wa Israel
Jun 01, 2026 02:55Mwanasiasa wa Ujerumani na mbunge wa zamani wa bunge la nchi hiyo amekosoa sera za utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema: "Walowezi wa Kizayuni wanafanya ugaidi wa kimfumo dhidi ya Wapalestina, na serikali ya Ujerumani na Umoja wa Ulaya wanashiriki katika uhalifu huo kwa kunyamaza kimya."
-
Umoja wa Wanazuoni Waislamu: Kuanzisha uhusiano na Israel kuna madhara kwa nchi za Kiislamu
May 31, 2026 12:52Umoja wa Wasomi wa Kiislamu Duniani umetangaza upinzani wake kamili kwa tishio lolote linaloelekezwa kwa nchi za Kiislamu au mataifa yao kutoka upande wowote ule, na kuonya kuhusu matokeo mabaya ya kunzisha uhusiano na utawala wa Tel Aviv.