-
Iran: Israel iliundwa kwa damu; mauaji ya kimbari lazima yakomeshwe sasa
May 16, 2025 07:22Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa kwa mnasaba wa Siku ya Nakba na kusema kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel "uliasisiwa katika msingi wa umwagaji damu" na kwamba jamii ya kimataifa ina wajibu wa kukomesha mauaji ya kimbari yanayoendelea huko Gaza.
-
Ansarullah: Iran imetekeleza wajibu wake wa Kiislamu kuiunga mkono Palestina
May 16, 2025 06:52Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen ameipongeza Iran kwa uungaji mkono wake usio na kikomo kwa taifa la Palestina na kadhia yao halali na kueleza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inafuata njia ya heshima katika suala hilo na nchi nyingine zote za Kiislamu lazima zifuate mkondo huo.
-
Shambulio la 3 la kombora la hypersonic la Yemen dhidi ya Ben Gurion
May 14, 2025 11:31Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen wamefanya shambulio jipya la kombora la hypersonic dhidi ya utawala haramu wa Israel na kupelekea sauti za ving'ora vya tahadhari kuhanikiza katika sehemu ya kaskazini ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo pandikizi.
-
Iran yailaani Israel kwa kupiga mabomu kambi za wakimbizi Palestina
May 14, 2025 02:47Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya hivi karibuni ya anga dhidi ya kambi za wakimbizi wa Kipalestina yaliyofanywa na utawala ghasibu wa Israel na kusababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa makumi ya Wapalestina wasio na hatia wakiwemo watoto wadogo.
-
Jumatano, Mei 14, 2024
May 14, 2025 02:40Leo ni Jumatano tarehe 16 Mfunguo Pili, Dhulqaada, 1446 Hijria sawa na tarehe 14 Mei 2025 Milaadia.
-
Wamorocco: Mgogoro wa kibinadamu Gaza unatisha
May 12, 2025 11:12Wananchi wa Morocco wameandamana kuunga mkono Wapalestina wanaoishi katika Ukanda wa Gaza, wakitangaza mshikamano wao na watoto wa eneo hilo la Palestina lililozingirwa ambao wanakabiliwa na njaa, kiu na maradhi; huku mgogoro mbaya wa kibinadamu uliosababishwa na Wazayuni ukiendelea kuwasakama.
-
Wanafunzi Marekani waanzisha mgomo wa kula kulalamikia njaa iliyosababishwa na Israel huko Gaza
May 12, 2025 02:03Makundi ya wanafunzi nchini Marekani wameanzisha mgomo wa pamoja wa kususa kula katika kuonyesha mshikamano wao na raia wa Kipalestina wa Ukanda wa Gaza ambao wanakabiliwa na ukosefu mkubwa wa chakula kutokana na sera za mauaji ya kimbari za Israel.
-
US yaendelea kuwawekea mbinyo wanachuo wanaoitetea Palestina
May 10, 2025 02:57Chuo Kikuu cha Columbia nchini Marekani kimewasimamisha masomo zaidi ya wanafunzi 65 kufuatia maandamano yao ya kuwaunga mkono wananchi wa Palestina ambayo yalitokea kwenye Maktaba ya Butler.
-
"Uvamizi wa Israel Syria hautayaacha salama mataifa ya Kiarabu, Kiislamu"
May 05, 2025 02:23Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imesema kuwa, uvamizi wa Israel dhidi ya Syria ni hujuma za dhidi ya mataifa yote ya Kiarabu na Kiislamu hususan Palestina, Lebanon na Syria, na kwamba maeneo mengine ya Kiarabu hayatakuwa salama kutokana na chokochoko hizo na matokeo yake.
-
ICJ yaanza kusikiliza hatua za kibinadamu zinazopaswa kutekelezwa na Israel
Apr 29, 2025 02:44Mwanadiplomasia wa Palestina jana Jumatatu aliiambia Mahakama ya Kilele ya Umoja wa Mataifa kwamba Israel inawaua, inawafurusha raia wa Kipalestina na kuwashambulia wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu huko Gaza.