• Ripoti: Israel imeua wanahabari wa Kipalestina 212 tangu Oktoba, 2023

    Ripoti: Israel imeua wanahabari wa Kipalestina 212 tangu Oktoba, 2023

    Apr 26, 2025 02:38

    Ofisi ya Vyombo vya Habari ya Serikali ya Gaza imesema, kutokana na mauaji ya mwanahabari Saeed Amin Abu Hassanein, idadi ya waandishi wa habari wa Palestina waliouawa shahidi na Israel imeongezeka hadi 212, tangu vita vya mauaji ya kimbari vilipoanza katika eneo hilo lililozingirwa mnamo Oktoba mwaka 2023.

  • Rais wa Misri kwa mara nyingine apinga kuhamishwa Wapalestina Gaza

    Rais wa Misri kwa mara nyingine apinga kuhamishwa Wapalestina Gaza

    Apr 26, 2025 02:38

    Rais wa Misri, Abdel Fattah al-Sisi jana Ijumaa alisisitiza kwa mara nyingine tena kwamba nchi hiyo ya Kiarabu "inapinga kikamilifu" kufurushwa Wapalestina kwenye makazi yao na kuhamishiwa katika nchi nyingine, na kuvitaja vita vya Gaza kuwa "janga la kibinadamu."

  • Kutoweza Afrika Kusini kuachana na Muqawama na ukombozi wa Palestina

    Kutoweza Afrika Kusini kuachana na Muqawama na ukombozi wa Palestina

    Apr 25, 2025 07:17

    Tarehe 29 Disemba 2023 imerekodiwa katika kumbukumbu za historia ya baada ya mwaka 1994 ya Afrika Kusini kama siku muhimu sana baada ya Pretoria kufungua kesi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mahakama ya ICJ, ikiwasilisha hoja za kisheria za kina na zenye mashiko kwamba ukatili wa Israel katika Ukanda wa Ghaza unakanyaga Mkataba wa Kimataifa wa Kuzuia Mauaji ya Kimbari.

  • Polisi wa US wavamia nyumba za wanaounga mkono Palestina huko Michigan

    Polisi wa US wavamia nyumba za wanaounga mkono Palestina huko Michigan

    Apr 24, 2025 10:38

    Maafisa usalama wa serikali ya shirikisho ya Merekani wamefanya uvamizi ulioratibiwa kwenye makazi ya wanaharakati wanaounga mkono Palestina wanaohusishwa na Chuo Kikuu cha Michigan.

  • Kubadilika mtazamo wananchi wa Marekani kuhusu Israel, Palestina na Hamas

    Kubadilika mtazamo wananchi wa Marekani kuhusu Israel, Palestina na Hamas

    Apr 24, 2025 03:31

    Wakati vita vya Ghaza vinaendelea na utawala wa Kizayuni umeshadidisha mauaji ya wanawake na watoto wa Palestina, mtazamo na mwelekeo wa wananchi wa Marekani kuhusuu Israel, Palestina na Hamas nao unaendelea kubadilika. Haya yamebainika katika chunguzi mpya za maoni zilizofanywa nchini Marekani.

  • Papa wa Misri: Wapalestina wa Gaza wanakabiliwa na dhulma za kuogofya

    Papa wa Misri: Wapalestina wa Gaza wanakabiliwa na dhulma za kuogofya

    Apr 21, 2025 02:26

    Papa Tawadros II, Kiongozi wa Kanisa la Kiorthodoksi la Coptic la Misri, amelaani vikali mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza na kuyataja kama "moja ya aina mbaya zaidi za dhuluma" dhidi ya Wapalestina.

  • Kushadidi mashinikizo na ukandamizaji wa Magharibi dhidi ya watetezi na waungaji mkono wa Palestina

    Kushadidi mashinikizo na ukandamizaji wa Magharibi dhidi ya watetezi na waungaji mkono wa Palestina

    Apr 18, 2025 07:35

    Sambamba na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kuendeleza vita vya kinyama na mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ghaza na kuzuia kikamilifu misaada ya kibinadamu isiingizwe katika eneo hilo uliloliwekea mzingiro, nchi za Magharibi zinazouunga mkono utawala huo ghasibu hususan Ujerumani na Marekani nazo pia zimeshadidisha mashinikizo na ukandamizaji dhidi ya watetezi na waungaji mkono wa Palestina.

  • Wanachuo wa Iran waendeleza maandamano ya kuiunga mkono Palestina

    Wanachuo wa Iran waendeleza maandamano ya kuiunga mkono Palestina

    Apr 15, 2025 07:23

    Wanafunzi, maprofesa, wahadhiri na wafanyakazi wa Vyuo Vikuu vya mikoa ya Ardabil na Khorasan Kusini wamefanya maandamano ya kulaani ghasia na jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza.

  • Mhadhiri Ghana: Kimya cha dunia kwa jinai za Israel Gaza kinaaibisha

    Mhadhiri Ghana: Kimya cha dunia kwa jinai za Israel Gaza kinaaibisha

    Apr 14, 2025 13:29

    Mhadhiri mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Ghana,Mustapha Abdullah Kuyateh amelaani vikali hujuma za kikatili za Israel dhidi ya Gaza, akisisitiza kuwa huo ni mwendelezo wa mauaji ya kimbari na mauaji ya halaiki dhidi ya Wapalestina.

  • Polisi ya Uholanzi yakandamiza maandamano ya kuitetea Palestina

    Polisi ya Uholanzi yakandamiza maandamano ya kuitetea Palestina

    Apr 12, 2025 11:39

    Makabiliano yaliripuka mjini Amsterdam kati ya polisi ya Uholanzi na waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina, wakati waandamanaji hao wakipita katika kitovu cha fedha cha mji huo, wakizituhumu kampuni kubwa kwa kujinufaisha kutokana na uhusiano wao na Israel wakati huu wa vita vinavyoendelea Gaza.