-
Hamas yatoa wito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa Al Aqsa
Jul 18, 2021 20:52Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetoa wito kwa umma wa Palestina kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya Itikafu ndani ya Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) kwa lengo la kulinda eneo hilo takatifu ambalo linakabiliwa na hujuma ya walowezi wa Kizayuni wanaopata himya ya utawala ghasibu wa Israel.
-
Mataifa ya Kiarabu yakosolewa kwa kunyamazia kimya matukio ya kuhujumiwa msikiti wa al-Aqswa
Jul 18, 2021 06:54Sheikh Ikrima Sabri, Khatibu wa Masjidul-Aqswa amekosoa vikali kimya cha mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kuhusiana na matukio ya hujuma na uvamizi dhidi ya msikiti wa al-Aqswa.
-
Mchango wa Maulamaa wa Kishia (27) +SAUTI
Jul 18, 2021 01:14Ni matumaini yangu kuwa, hujambo mpenzi msikilizaji popote pale yanapokufikia matangazo haya ya Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu yataka kukomeshwa hujuma dhidi ya Masjidul-Aqswa
Jul 17, 2021 22:36Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu imeutaka Umma wa Kiislamu na watu huru duniani kuchukua hatua za kuzuia hujuma na mashambulio ya Wazayuni dhidi ya msikiti mtakatifu wa al-Aqswa kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
Jihadul-Islami: Walowezi wa Kizayuni ni walengwa halali wa mashambulio ya wanamuqawama
Jul 17, 2021 03:43Msemaji wa harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesisitiza kuhusu haki halali na ya kisheria ya kujihami waliyonayo Wapalestina na akabainisha kwamba, walowezi wa Kizayuni ni walengwa halali kisheria wa muqawama.
-
Harakati za ukombozi Palestina zailaani Imarati kwa kufungua ubalozi Tel Aviv
Jul 15, 2021 06:56Harakati za ukombozi wa Palestina zimeilaani nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kufungua ubalozi huko Tel Aviv, wiki chache tu baada ya Israeli kuuwa zaidi ya Wapalestina 255 katika Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi.
-
Jumatano tarehe 14 Julai 2021
Jul 13, 2021 23:35Leo ni Jumatano tarehe 3 Dhulhija 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe 14 Julai mwaka 2021.
-
Askari wa Kizayuni wawafyatulia risasi na kuwajeruhi mamia ya Wapalestina
Jul 10, 2021 07:48Askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamewafyatulia risasi na kuwajeruhi mamia ya Wapalestina waliokuwa wakiandamana kulalamikia ujenzi haramu wa kituo cha jeshi hilo ghasibu katika eneo la Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.
-
Umoja wa Mataifa waitaka Israel iache kubomoa nyumba za Wapalestina
Jul 10, 2021 03:09Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameutaka utawala ghasibu wa Israel usitishe hatua zake za kubomoa nyumba na makazi ya wananchi wa Palestina
-
Algeria: Hakuna amani bila ya kuundwa nchi huru ya Palestina
Jul 09, 2021 02:29Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Algeria amesema kuwa taifa la Palestina linataka amani na kwamba jambo hilo halitatimia bila ya kuundwa nchi huru ya Palestina.