Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Hamas  yatoa wito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa Al Aqsa

    Hamas yatoa wito kwa Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa Al Aqsa

    Jul 18, 2021 20:52

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetoa wito kwa umma wa Palestina kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya Itikafu ndani ya Msikiti wa Al Aqsa mjini Quds (Jerusalem) kwa lengo la kulinda eneo hilo takatifu ambalo linakabiliwa na hujuma ya walowezi wa Kizayuni wanaopata himya ya utawala ghasibu wa Israel.

  • Mataifa ya Kiarabu yakosolewa kwa kunyamazia kimya matukio ya kuhujumiwa msikiti wa al-Aqswa

    Mataifa ya Kiarabu yakosolewa kwa kunyamazia kimya matukio ya kuhujumiwa msikiti wa al-Aqswa

    Jul 18, 2021 06:54

    Sheikh Ikrima Sabri, Khatibu wa Masjidul-Aqswa amekosoa vikali kimya cha mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kuhusiana na matukio ya hujuma na uvamizi dhidi ya msikiti wa al-Aqswa.

  • Mchango wa Maulamaa wa Kishia (27) +SAUTI

    Mchango wa Maulamaa wa Kishia (27) +SAUTI

    Jul 18, 2021 01:14

    Ni matumaini yangu kuwa, hujambo mpenzi msikilizaji popote pale yanapokufikia matangazo haya ya Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu yataka kukomeshwa hujuma dhidi ya Masjidul-Aqswa

    Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu yataka kukomeshwa hujuma dhidi ya Masjidul-Aqswa

    Jul 17, 2021 22:36

    Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu imeutaka Umma wa Kiislamu na watu huru duniani kuchukua hatua za kuzuia hujuma na mashambulio ya Wazayuni dhidi ya msikiti mtakatifu wa al-Aqswa kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Jihadul-Islami: Walowezi wa Kizayuni ni walengwa halali wa mashambulio ya wanamuqawama

    Jihadul-Islami: Walowezi wa Kizayuni ni walengwa halali wa mashambulio ya wanamuqawama

    Jul 17, 2021 03:43

    Msemaji wa harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesisitiza kuhusu haki halali na ya kisheria ya kujihami waliyonayo Wapalestina na akabainisha kwamba, walowezi wa Kizayuni ni walengwa halali kisheria wa muqawama.

  • Harakati za ukombozi Palestina zailaani Imarati kwa kufungua ubalozi Tel Aviv

    Harakati za ukombozi Palestina zailaani Imarati kwa kufungua ubalozi Tel Aviv

    Jul 15, 2021 06:56

    Harakati za ukombozi wa Palestina zimeilaani nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kufungua ubalozi huko Tel Aviv, wiki chache tu baada ya Israeli kuuwa zaidi ya Wapalestina 255 katika Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi.

  • Jumatano tarehe 14 Julai 2021

    Jumatano tarehe 14 Julai 2021

    Jul 13, 2021 23:35

    Leo ni Jumatano tarehe 3 Dhulhija 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe 14 Julai mwaka 2021.

  • Askari wa Kizayuni wawafyatulia risasi na kuwajeruhi mamia ya Wapalestina

    Askari wa Kizayuni wawafyatulia risasi na kuwajeruhi mamia ya Wapalestina

    Jul 10, 2021 07:48

    Askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamewafyatulia risasi na kuwajeruhi mamia ya Wapalestina waliokuwa wakiandamana kulalamikia ujenzi haramu wa kituo cha jeshi hilo ghasibu katika eneo la Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu.

  • Umoja wa Mataifa waitaka Israel iache kubomoa nyumba za Wapalestina

    Umoja wa Mataifa waitaka Israel iache kubomoa nyumba za Wapalestina

    Jul 10, 2021 03:09

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameutaka utawala ghasibu wa Israel usitishe hatua zake za kubomoa nyumba na makazi ya wananchi wa Palestina

  • Algeria: Hakuna amani bila ya kuundwa nchi huru ya Palestina

    Algeria: Hakuna amani bila ya kuundwa nchi huru ya Palestina

    Jul 09, 2021 02:29

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Algeria amesema kuwa taifa la Palestina linataka amani na kwamba jambo hilo halitatimia bila ya kuundwa nchi huru ya Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS