Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Polisi wa utawala wa Kizayuni wawaua shahidi kwa kuwapiga risasi vijana wawili Wapalestina

    Polisi wa utawala wa Kizayuni wawaua shahidi kwa kuwapiga risasi vijana wawili Wapalestina

    Feb 02, 2021 04:02

    Polisi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi kwa kuwapiga risasi vijana wawili Wapalestina baada ya kuvamia eneo moja katika mji Tamra kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Ukosoaji wa kuchelewa wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu kadhia ya Palestina

    Ukosoaji wa kuchelewa wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusu kadhia ya Palestina

    Jan 29, 2021 23:14

    Akizungumza Jumanne katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichoandaliwa kwa ajili ya kujadili masuala ya eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) Ahmad Abu al-Ghait, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu au kwa jina jingine Arab League, alisema kuwa Wapalestina wamepitia mashinikizo makubwa yasiyo na mfano wake katika miaka minne ya utawala wa rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump.

  • Alkhamisi, 28 Januari, 2021

    Alkhamisi, 28 Januari, 2021

    Jan 27, 2021 23:03

    Leo ni Alkhamisi tarehe 14 Mfunguuo Tisa Jamadithani 1442 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 28 Januari 2021 Miladia.

  • Wanajeshi wa Israel wamuua shahidi Mpalestina katika Ukingo wa Magharibi

    Wanajeshi wa Israel wamuua shahidi Mpalestina katika Ukingo wa Magharibi

    Jan 27, 2021 00:55

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamempiga risasi na kumuua shahid kijana Mpalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Jumatatu tarehe 25 Januari 2021

    Jumatatu tarehe 25 Januari 2021

    Jan 24, 2021 23:04

    Leo ni Jumatatu tarehe 11 Jamadithani 1442 Hijria sawa na tarehe 25 Januari 2021.

  • Wapalestina: Iran ndiye muungaji mkono mkuu wa ukombozi wa Palestina

    Wapalestina: Iran ndiye muungaji mkono mkuu wa ukombozi wa Palestina

    Jan 24, 2021 23:01

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiye muungaji mkono mkuu wa ukombozi wa Palestina na muqawama wa taifa hilo mbele ya jinai za utawala wa Kizayuni.

  • Jumapili, 24 Januari, 2021

    Jumapili, 24 Januari, 2021

    Jan 23, 2021 23:06

    Leo ni Jumapili tarehe 10 Jamadithani 1442 Hijria sawa na tarehe 24 Januari 2021.

  • Hamas: Trump alikuwa mshirika wa hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Palestina

    Hamas: Trump alikuwa mshirika wa hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Palestina

    Jan 21, 2021 08:13

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesisitiza kuwa Donald Trump alikuwa mshirika wa moja kwa moja wa utawala wa Kizayuni katika kuwakandamiza wananchi wa Palestina.

  • Indhari ya makundi ya muqawama ya Palestina kwa utawala wa Kizayuni

    Indhari ya makundi ya muqawama ya Palestina kwa utawala wa Kizayuni

    Jan 20, 2021 08:35

    Makundi ya muqawama katika Ukanda wa Ghaza yamesema kuwa umoja ni njia pekee ya kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni dhidi ya kadhia ya Palestina.

  • Fat'h na Hamas zaunga mkono kufanyika uchaguzi Palestina baada ya miaka 15

    Fat'h na Hamas zaunga mkono kufanyika uchaguzi Palestina baada ya miaka 15

    Jan 16, 2021 04:15

    Harakati za kupigania ukombozi wa Palestina za Fat'h na Hamas zimeunga mkono tangazo la Mamlaka ya Ndani ya Palestina kuhusu kufanyika uchaguzi wa bunge la rais baadaye mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS