Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • B'Tselem: Israel ni utawala wa kibaguzi

    B'Tselem: Israel ni utawala wa kibaguzi

    Jan 12, 2021 04:51

    Kituo cha Haki za Binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) cha B'Tselem kimesema Israel ni utawala wa kibaguzi na wala si wa kidemokrasia.

  • Yemen: Uhasama wa Magharibi kwa Iran umetokana na Tehran kuwaunga mkono Wapalestina

    Yemen: Uhasama wa Magharibi kwa Iran umetokana na Tehran kuwaunga mkono Wapalestina

    Jan 08, 2021 23:11

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa wa Yemen amekosoa vikali njama za kutaka kuundwa eti muungano dhidi ya Iran ikiwa ni sehemu ya mradi wa pamoja wa Waarabu, Israel na Marekani na kusisitiza kuwa, jitihada za namna hiyo zikasudia kuzuia uungaji mkono usio na kifani wa Tehran na kwa kadhia ya Palestina na Wapalestina.

  • Israel iliharibu nyumba 729 za Wapalestina mwaka 2020

    Israel iliharibu nyumba 729 za Wapalestina mwaka 2020

    Jan 07, 2021 05:20

    Utawala haramu wa Israel uliharibu nyumba 729 za raia wa Palestina katika mwaka uliopita wa 2020 kwa kutumia kisingizio cha kujengwa bila ya vibali.

  • Amnesty yataka Israel ihakikishe chanjo za corona zinawafikia Wapalestina

    Amnesty yataka Israel ihakikishe chanjo za corona zinawafikia Wapalestina

    Jan 06, 2021 23:06

    Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel utekeleze wajibu wake wa kimataifa na kuhakikisha kuwa chanjo za kupambana na ugonjwa wa Covid-19 zinawafikia wananchi wa Palestina.

  • Mateka 15 Wapalestina walioko kwenye gereza la Israel la An-Naqb wameambukizwa corona

    Mateka 15 Wapalestina walioko kwenye gereza la Israel la An-Naqb wameambukizwa corona

    Jan 02, 2021 23:23

    Ofisi ya habari inayoshughulikia masuala ya mateka Wapalestina imetangaza kuwa mateka 15 Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye jela ya Kizayuni ya An-Naqb wameambukizwa virusi vya corona.

  • Tutu: Biden aache kuficha na kufadhili silaha za nyuklia za Israel

    Tutu: Biden aache kuficha na kufadhili silaha za nyuklia za Israel

    Jan 01, 2021 09:53

    Katibu Mkuu wa zamani wa Baraza la Makanisa ya Afrika Kusini Askofu Desmond Tutu amemtaka rais mteule wa Marekani Joe Biden kuacha kukingia kifua silaha za nyuklia za Israel na kusitisha ufadhili mkubwa wa Washington kwa miradi ya silaha za nyuklia ya utawala huo.

  • Watoto 170 wa Palestina wamefungwa jela huko Israel mwaka 2020

    Watoto 170 wa Palestina wamefungwa jela huko Israel mwaka 2020

    Jan 01, 2021 09:51

    Kamati ya Masuala ya Matekani wa Palestina imetangaza kuwa, watoto 170 wa Kipalestina walifungwa katika jela za utawala wa Kizayuni wa Israel mwaka 2020.

  • Malengo ya manuva ya pamoja ya makundi ya muqawama katika Ukanda wa Ghaza

    Malengo ya manuva ya pamoja ya makundi ya muqawama katika Ukanda wa Ghaza

    Dec 30, 2020 21:01

    Manuva ya pamoja ya makundi 12 ya muqawama chini ya anuani ya " Ar-Ruknu-Shadiid" yaani "Nguzo Imara yalianza juzi Jumanne katika Ukanda wa Ghaza. Hii ni mara ya kwanza ambapo makundi mbalimbali ya muqawama ya Palestina yanafanya manuva ya pamoja katika Ukanda wa Ghaza.

  • Palestina yaliomba Baraza la Usalama la UN liuadhibu utawala wa Kizayuni wa Israel

    Palestina yaliomba Baraza la Usalama la UN liuadhibu utawala wa Kizayuni wa Israel

    Dec 30, 2020 03:38

    Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametuma barua tofauti kwa viongozi wa umoja huo akitaka jamii ya kimataifa kukabiliana ipasavyo na jinai za utawala wa Kizayuni na kuuadhibu utawala huo kwa hatua yake ya kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina.

  • Kiongozi wa Hamas ataka Saudia iwaachilie huru wafungwa Wapalestina

    Kiongozi wa Hamas ataka Saudia iwaachilie huru wafungwa Wapalestina

    Dec 30, 2020 00:54

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), Ismail Haniya, ameitaka Saudi Arabia iwaachilie huru wafungwa wote Wapalestina inaowashikilia akiwamo afisa wa Hamas.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS