-
Mwakilishi wa Palestina UN ataka kufuatiliwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina
Jun 24, 2020 22:41Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametaka kuchunguzwa na kufuatiliwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wa Palestina.
-
Jumatano tarehe 24 Juni, 2020
Jun 23, 2020 21:57Leo ni Jumatano tarehe Pili Mfunguo Pili Dhulqaada 1441 Hijriia sawa na Juni 24 mwaka 2020.
-
Hamas yalaani hatua ya Wazayuni ya kubomoa vituo vya Wapalestina
Jun 17, 2020 22:22Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kubomoa vituo vya Wapalestina huko Quds inayokaliwa kwa mabavu ni jitihada za utawala huo zinazolenga kubadili utambulisho wa Quds; njama ambazo hazitafikia popote.
-
Hamas yataka wanazuoni wa Kiislamu waunde kamati ya kuzima njama za Israel
Jun 14, 2020 22:41Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ametoa mwito kwa wanazuoni wa Kiislamu kuunda kamati ya uratibu itakayopewa jukumu la kuunda na kutekeleza mpango wa kistratajia wa kuunga mkono kadhia ya Palestina na kukabiliana na njama za utawala wa Kizayuni wa Israel na Rais Donald Trump wa Marekani zilizopewa jina la "Muamala wa Karne."
-
Nchi nane za Ualaya: Tuko tayari kutambua rasmi nchi huru ya Palestina
Jun 12, 2020 05:34Mjumbe wa Kamati Kuu ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema kuwa nchi 8 za Ulaya zimetangaza kuwa ziko tayari kutambua rasmi nchi huru ya Palestina iwapo Israel itatwaa ardhi zaidi ya Ukingo wa Magharibi.
-
OIC yatahadharisha matokeo mabaya ya mpango wa kughusubu eneo la Ukingo wa Magharibi
Jun 11, 2020 07:35Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetahadharisha juu ya matokeo mabaya ya uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kutaka kuzipora na kuzikalia kwa mabavu ardhi zaidi za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kulaani vikali hatua hiyo.
-
Iran: Taifa la Palestina halina chaguo jingine ghairi ya muqawama
Jun 10, 2020 22:58Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala ya Sheria na Kimataifa amesema wananchi wa Palestina hawana chaguo jingine isipokuwa mapambano na muqawama ili waweze kupata haki zao za msingi na kujiamulia mustakabali wao.
-
Barua ya Ismail Hania kwa viongozi 40 wa nchi za Kiarabu kwa ajili ya kusambaratisha mpango wa Israel
Jun 10, 2020 03:26Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) amewatumia barua tofauti wakuu na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu zaidi ya 40 akiwataka kuchukua hatua za harakati kusitisha mpango wa Israel wa kutaka kuyaunganisha baadhi ya maeneo ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Hamas yasisitiza ulazima wa kuchukuliwa hatua za kivitendo ili kuzuia kutwaliwa maeneo ya Ukingo wa Magharibi
Jun 09, 2020 08:20Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imezitolea wito nchi za Kiarabu na jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dhati na kivitendo kuzuia utawala wa Kizayuni kutekeleza mpango wa kutwaa maeneo ya Ukingo wa Magharibi mwa Mto Jordan na kuyaunganisha na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Kuaga dunia Ramadhan Abdallah; nembo ya Jihadi ya Palestina
Jun 09, 2020 00:23Ramadhan Abdallah Shalah, Katibu Mkuu wa zamani wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 62 kutokana na maradhi ambayo yamekuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.