Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Wapalestina waandamana dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi

    Wapalestina waandamana dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi

    Jun 08, 2020 23:14

    Makumi ya Wapalestina wanaoishi katika mji wa Ramallah katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan wameandamana kupinga mpango wa utawala wa Kizayuni ambao unalenga kuteka ardhi zaidi za Wapalestina katika eneo hilo.

  • Hania aitaka PLO kuchukua uamuzi wa kihistoria kuhusu mapambano dhidi ya Wazayuni

    Hania aitaka PLO kuchukua uamuzi wa kihistoria kuhusu mapambano dhidi ya Wazayuni

    Jun 07, 2020 07:40

    Mkuu wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Palestina (Hamas) ameitaka Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) inayoongozwa na Mahmoud Abbas kuchukua uamuzi wa kihistoria na kuungana na makundi na harakati nyingine za kitaifa na Kiislamu za Palestina.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amuomboleza Ramadhan Shalah

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amuomboleza Ramadhan Shalah

    Jun 07, 2020 03:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kuaga dunia katibu mkuu wa zamani wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina.

  • UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya uchumi wa Palestina wakati wa corona

    UN yatahadharisha kuhusu hali mbaya ya uchumi wa Palestina wakati wa corona

    Jun 01, 2020 05:23

    Umoja wa Mataifa umeonya kuhusu hatari ya matatizo ya kiuchumi na kuenea kirusi cha corona huko Palestina.

  • Familia: Mpalestina aliyeuawa na jeshi la Israel alikuwa mlemavu

    Familia: Mpalestina aliyeuawa na jeshi la Israel alikuwa mlemavu

    May 31, 2020 06:58

    Kijana wa Kipalestina aliyeuawa jana Jumamosi na wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kupigwa risasi katika mji mtakatifu wa Quds alikuwa mlemavu.

  • Sayyid Nasrullah: Utawala wa kibaguzi wa Israel utaangamia

    Sayyid Nasrullah: Utawala wa kibaguzi wa Israel utaangamia

    May 27, 2020 03:31

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema utawala wa Kizayuni wa Israel utasambaratika na kuangamia na kwamba matukio yote yanayoshuhudiwa hivi sasa katika eneo la Asia Magharibi yapo dhidi ya maslahi ya utawala huo pandikizi.

  • Israel yawashambulia wasimamishaji swala wa Palestina katika mwaka wa 53 wa kutekwa Masjidul Aqsa

    Israel yawashambulia wasimamishaji swala wa Palestina katika mwaka wa 53 wa kutekwa Masjidul Aqsa

    May 25, 2020 01:56

    Wanajeshi wa utawala ghasibu wa Israel wamewashambulia waumini wa Palestina na kuwazuia kusimamisha swala ya Idul Fitr katika Msikiti wa al-Aqsa.

  • Zarif: Natumai ulimwengu wa Kiislamu utapata ushindi dhidi ya maadui

    Zarif: Natumai ulimwengu wa Kiislamu utapata ushindi dhidi ya maadui

    May 24, 2020 06:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza matumaini yake kuwa ulimwengu wa Kiislamu utaibuka na ushindi dhidi ya maadui.

  • Askari wa Kizayuni washambulia Wapalestina katika Swala ya Idi

    Askari wa Kizayuni washambulia Wapalestina katika Swala ya Idi

    May 24, 2020 03:27

    Wanjeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewashambulia Wapalestina waliokuwa wamefika katika Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds kwa ajili ya ibada.

  • Hotuba ya Kiongozi Muadhamu kwa mnasaba na Siku ya Kimataifa ya Quds

    Hotuba ya Kiongozi Muadhamu kwa mnasaba na Siku ya Kimataifa ya Quds

    May 23, 2020 06:00

    Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo (Ijumaa) katika hotuba yake kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Quds amezungumzia suala la kuanza awamu mpya ya mapambano ya Palestina baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kudhihiri mrengo wa muqawama sambamba kubadilika mlingano wa nguvu kwa maslahi ya wanamapambano na ametoa miongozo saba muhimu kuhusu jinsi ya kuendeleza Jihadi kubwa na takatifu ya sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS