Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Amnesty yaikosoa Marekani kwa kuungo mkono uporaji wa ardhi za Wapalestina

    Amnesty yaikosoa Marekani kwa kuungo mkono uporaji wa ardhi za Wapalestina

    May 14, 2020 19:58

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuunga mkono uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa kulinyakua eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuliunganisha na ardhi zingine unazozikalia kwa mabavu za Palestina (Israel).

  • Sayyid Nasrullah: Utawala wa Kizayuni umejiingiza kwenye vita vya kwenye ndoto na Iran

    Sayyid Nasrullah: Utawala wa Kizayuni umejiingiza kwenye vita vya kwenye ndoto na Iran

    May 14, 2020 03:28

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, washauri wa Kiirani walioko nchini Syria si wanajeshi na kwamba utawala wa Kizayuni umejiingiza kwenye vita vya kwenye ndogo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Ziara ya Pompeo katika ardhi za Palestina na malengo yake kadhaa

    Ziara ya Pompeo katika ardhi za Palestina na malengo yake kadhaa

    May 13, 2020 23:20

    Uhusiano wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel umepanuka sana kwa namna ambayo haijawahi kutokea katika wakati huu wa urais wa Donald Trump huko Marekani ambaye amechukua hatua nyingi za kutekeleza kivitendo matakwa haramu ya 'Israel.'

  • Vyama vya siasa na mashirika ya Norway yataka kuhitimishwa mzingiro wa Gaza

    Vyama vya siasa na mashirika ya Norway yataka kuhitimishwa mzingiro wa Gaza

    May 10, 2020 19:53

    Vyama vya kisiasa na mashirika 58 ya Norway yametoa mwito wa kufutwa haraka mzingiro wa Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza, hususan katika kipindi hiki cha janga la corona.

  • Haniyah: Kuufanya wa kawaida uhusiano na Israel ni kosa lisilosameheka

    Haniyah: Kuufanya wa kawaida uhusiano na Israel ni kosa lisilosameheka

    May 09, 2020 08:03

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema njama zozote zinazolenga kuufanya wa kawaida uhusiano baina ya mataifa ya Kiarabu na utawala haramu wa Israel ni kosa ambalo halina msahama.

  • Biden: Si sahihi kuiruhusu Israel iuteke Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    Biden: Si sahihi kuiruhusu Israel iuteke Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    May 07, 2020 08:47

    Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrats amesema kuwa, si sahihi kuiruhusu Israel iuteke Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuuingiza katika ardhi nyingine za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni zilizopachikwa jina bandia la Israel.

  • HAMAS yatahadharisha kuhusu njama za kuiyahudisha Palestina

    HAMAS yatahadharisha kuhusu njama za kuiyahudisha Palestina

    May 07, 2020 03:23

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeutaja mpango wa kuunganisha Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) kama njama hatari zaidi ya kuziyahudisha ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Vyama vya Palestina na Lebanon vyatoa radiamali kufuatia hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah

    Vyama vya Palestina na Lebanon vyatoa radiamali kufuatia hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah

    May 02, 2020 06:22

    Vyama na makundi tofauti ya Lebanon, Syria na Palestina vimeitaja hatua ya Ujerumani ya kuitangaza Harakati ya Muqawama ya Lebanon Hizbullah kuwa ni kundi la kigaidi ni kusalimu amri kwa njia ya kujidhalilisha nchi hiyo ya Magharibi kwa amri za Marekani na utawala haramu wa Kizayuni.

  • Hamas yatungua 'drone' ya jeshi la Israel Ukanda wa Gaza

    Hamas yatungua 'drone' ya jeshi la Israel Ukanda wa Gaza

    Apr 28, 2020 02:44

    Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imefanikiwa kutungua ndege isiyo na rubani ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • UN yaonya kuhusu njama za Wazayuni za kuunganisha na Israel, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    UN yaonya kuhusu njama za Wazayuni za kuunganisha na Israel, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

    Apr 24, 2020 02:38

    Mratibu maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Asia Magharibi ametahadharisha kuhusu siasa za kivamizi za utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina na kusema kuwa, siasa hizo ni uvunjaji wa wazi wa sheria za kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS