-
Amnesty yaikosoa Marekani kwa kuungo mkono uporaji wa ardhi za Wapalestina
May 14, 2020 19:58Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuunga mkono uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa kulinyakua eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuliunganisha na ardhi zingine unazozikalia kwa mabavu za Palestina (Israel).
-
Sayyid Nasrullah: Utawala wa Kizayuni umejiingiza kwenye vita vya kwenye ndoto na Iran
May 14, 2020 03:28Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, washauri wa Kiirani walioko nchini Syria si wanajeshi na kwamba utawala wa Kizayuni umejiingiza kwenye vita vya kwenye ndogo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ziara ya Pompeo katika ardhi za Palestina na malengo yake kadhaa
May 13, 2020 23:20Uhusiano wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel umepanuka sana kwa namna ambayo haijawahi kutokea katika wakati huu wa urais wa Donald Trump huko Marekani ambaye amechukua hatua nyingi za kutekeleza kivitendo matakwa haramu ya 'Israel.'
-
Vyama vya siasa na mashirika ya Norway yataka kuhitimishwa mzingiro wa Gaza
May 10, 2020 19:53Vyama vya kisiasa na mashirika 58 ya Norway yametoa mwito wa kufutwa haraka mzingiro wa Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza, hususan katika kipindi hiki cha janga la corona.
-
Haniyah: Kuufanya wa kawaida uhusiano na Israel ni kosa lisilosameheka
May 09, 2020 08:03Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema njama zozote zinazolenga kuufanya wa kawaida uhusiano baina ya mataifa ya Kiarabu na utawala haramu wa Israel ni kosa ambalo halina msahama.
-
Biden: Si sahihi kuiruhusu Israel iuteke Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan
May 07, 2020 08:47Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrats amesema kuwa, si sahihi kuiruhusu Israel iuteke Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuuingiza katika ardhi nyingine za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni zilizopachikwa jina bandia la Israel.
-
HAMAS yatahadharisha kuhusu njama za kuiyahudisha Palestina
May 07, 2020 03:23Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imeutaja mpango wa kuunganisha Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) kama njama hatari zaidi ya kuziyahudisha ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Vyama vya Palestina na Lebanon vyatoa radiamali kufuatia hatua ya Ujerumani dhidi ya Hizbullah
May 02, 2020 06:22Vyama na makundi tofauti ya Lebanon, Syria na Palestina vimeitaja hatua ya Ujerumani ya kuitangaza Harakati ya Muqawama ya Lebanon Hizbullah kuwa ni kundi la kigaidi ni kusalimu amri kwa njia ya kujidhalilisha nchi hiyo ya Magharibi kwa amri za Marekani na utawala haramu wa Kizayuni.
-
Hamas yatungua 'drone' ya jeshi la Israel Ukanda wa Gaza
Apr 28, 2020 02:44Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imefanikiwa kutungua ndege isiyo na rubani ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
UN yaonya kuhusu njama za Wazayuni za kuunganisha na Israel, Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan
Apr 24, 2020 02:38Mratibu maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Asia Magharibi ametahadharisha kuhusu siasa za kivamizi za utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina na kusema kuwa, siasa hizo ni uvunjaji wa wazi wa sheria za kimataifa.