-
Jumatatu tarehe 4 Februari 2019
Feb 03, 2019 21:33Leo ni Jmatatu tarehe 28 Jamadil Awwal 1440 Hijria sawa na tarehe 4 Februari 2019.
-
Wizara ya Elimu Palestina yaonya kuhusu kubadilishwa muundo wa masomo
Feb 02, 2019 22:00Wizara ya Elimu ya Juu ya Palestina imeonya kuhusiana na njama yoyote ile inayolenga kubadilishwa muhtawa wa masomo wa Wapalestina.
-
Miaka 40 na juhudi za kuunganisha madhehebu za Kiislamu
Feb 02, 2019 01:05Katika mada ya 11 ya Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kwa msingi wa Aya ya Qur'ani Tukufu inayosema: Hakika umma wenu huu ni umma mmoja, na Mimi ni Mola wenu, kwa hivyo niabuduni Mimi, serikali ya Jamhuri ya Kiislamu inawajibika kuratibu siasa zake kuu kwa msingi wa kuleta umoja na mshikamano wa kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kati ya mataifa yote ya Kiislamu.
-
Jeshi la Israel limeua shahidi Wapalestina 11 mwezi mmoja uliopita
Feb 01, 2019 23:17Jeshi la Utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina 11 katika mwezi uliopita wa Januari.
-
Kuzinduliwa Ensaiklopidia kubwa kabisa ya historia ya Palestina kutauumbua utawala wa Kizayuni wa Israel
Jan 26, 2019 10:44Ensiakolopidia kubwa kabisa kuhusu historia ya Palestina inayoashiria maisha ya kisiasa, kiuchumi na kijamii ya watu wa Palestina kuanzia mwaka 1516 hadi mwaka 2018 imezinduliwa.
-
Russia yaamua kususia mkutano wa Marekani wa Warsaw
Jan 24, 2019 00:35Ikiwa ni katika fremu ya malengo yake inayoyafuatilia katika eneo la Mashariki ya Kati, Marekani ina mpango wa kuitisha mkutano hapo tarehe 13 na 14 mwezi ujao wa Februari huko Warsaw mji mkuu wa Poland chini ya anwani ya "Mkutano wa Amani na Usalama katika Mashariki ya Kati".
-
Palestina: Hatutaki tena msaada wowote wa Marekani
Jan 23, 2019 04:12Katibu wa Kamati ya Utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema Wapalestina hawataki msaada wowote kutoka kwa Marekani, baada ya Washington kutangaza kuwa itapunguza kiwango cha msaada wake wa kibinadamu kwa wananchi wa Palestina.
-
Palestina yalaani chokochoko mpya za Israel dhidi ya Syria
Jan 22, 2019 04:03Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) na harakati ya Jihad al-Islami ya Palestina zimelaani mashambulizi mapya ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria.
-
Palestina yakabidhiwa uenyekiti wa kundi la G77, Marekani yapinga
Jan 16, 2019 12:45Palestina imekabidhiwa uenyekiti wa kundi la nchi 77 yaani G-77 licha ya Marekani kupinga vikali uamuzi huo.
-
Askari katili wa Israel wamuua shahidi kwa risasi mwanamke wa Kipalestina
Jan 12, 2019 04:10Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limemuua shahidi kwa kumpiga risasi mwanamke wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza.