Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Israel yanyunyizia kemikali za sumu katika mashamba ya Wapalestina wa Gaza

    Israel yanyunyizia kemikali za sumu katika mashamba ya Wapalestina wa Gaza

    Jan 11, 2019 23:24

    Katika kile kinachoonekana ni kushadidisha ukatili dhidi ya Wapalestina, utawala wa Kizayuni wa Israel umeripotiwa kunyunyizia kemikali za sumu katika mashamba ya kilimo ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Jan 11, 2019 00:43

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamevamia tena Msikiti wa al-Aqswa wakisaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kufanya vitendo vya kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu na kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Mwaka 2019 na kujiondoka Marekani na Israel katika shirika la UNESCO

    Mwaka 2019 na kujiondoka Marekani na Israel katika shirika la UNESCO

    Jan 09, 2019 05:18

    Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel tarehe Mosi mwezi huu wa Januari 2019 zilijiondoa rasmi katika Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) zikilalamikia kile kilichotajwa ni mwelekeo wa jumuiya hiyo dhidi ya Israel.

  • HAMAS: Mahmoud Abbas anatekeleza kifungu cha mpango wa Trump wa 'Muamala wa Karne'

    HAMAS: Mahmoud Abbas anatekeleza kifungu cha mpango wa Trump wa 'Muamala wa Karne'

    Jan 07, 2019 04:18

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amekosoa uamuzi wa serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina wa kuwaondoa askari na wafanyakazi wa mamlaka hiyo katika kivuko cha mpakani cha Rafah kwenye mpaka wa pamoja wa kusini mwa Ukanda wa Gaza na Misri.

  • Abbas: Palestina haitaruhusu Marekani iiuzie Israel Quds Tukufu

    Abbas: Palestina haitaruhusu Marekani iiuzie Israel Quds Tukufu

    Jan 01, 2019 04:47

    Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema Wapalestina katu hawataruhusu Marekani iuuze mji mtukufu wa Quds kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, akisisitiza kuwa mji huo unaokaliwa kwa mabavu ni mji mkuu wa daima wa taifa la Palestina.

  • Nukta za ushindi wa taifa la Palestina kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi

    Nukta za ushindi wa taifa la Palestina kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi

    Jan 01, 2019 04:35

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Palestina itaendelea kuwa taifa lenye nguvu na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu, katika kipindi si cha mbali sana taifa hilo litaweza kupata ushindi kamili.

  • Shamkhani: Wananchi wa mataifa ya Mashariki ya Kati watazuia lengo la

    Shamkhani: Wananchi wa mataifa ya Mashariki ya Kati watazuia lengo la "Muamala wa Karne" lisifikiwe

    Dec 30, 2018 23:14

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa, makundi ya muqawama na wananchi wa mataifa ya Mashariki ya Kati wenye mwamko hawataruhusu lengo la mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne" lifikiwe.

  • Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina yalalamikia kuendelea kuchimbwa mashimo chini ya Masjid al-Aqswa

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina yalalamikia kuendelea kuchimbwa mashimo chini ya Masjid al-Aqswa

    Dec 30, 2018 23:13

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetoa taarifa ikitaka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusu uchimbaji mashimbo unaofanywa na Wazayuni chini ya Msikiti wa al-Aqswa na maeneo ya kandokando na msikiti huo.

  • Jamhuri ya Kiislamu itaendelea daima kuwa pamoja na watu wa Palestina + Video

    Jamhuri ya Kiislamu itaendelea daima kuwa pamoja na watu wa Palestina + Video

    Dec 30, 2018 03:45

    "Jamhuri ya Kiislamu itaendelea daima kuwa bega kwa bega na watu wa Palestina na kuyaunga mkono malengo yao matukufu."

  • Zarif: Iran itaendelea daima kuunga mkono malengo matukufu ya Palestina

    Zarif: Iran itaendelea daima kuunga mkono malengo matukufu ya Palestina

    Dec 29, 2018 23:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: Jamhuri ya Kiislamu itaendelea daima kuwa bega kwa bega na watu wa Palestina na kuyaunga mkono malengo yao matukufu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS