-
Helikopta ya Israel yawashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza
Dec 29, 2018 04:28Helikopta ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel imeshambulia maeneo ya kusini mwa Ukanda wa Gaza, kwa madai kuwa hujuma hiyo ni ya ulipizaji kisasi baada ya Wapalestina kuwavurumishia roketi.
-
Palestina yaomba uanachama wa kudumu katika Umoja wa Mataifa
Dec 26, 2018 22:58Riyad al Maliki, Waziri wa Mambo ya Nje wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, Rais Mahmoud Abbas wa mamlaka hiyo mwezi ujao wa Januari ataelekea mjini New York Marekani kuwasilisha rasmi ombi la serikali ya Palestina kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kuwa mwanachama wa kudumu wa umoja huo.
-
Jumanne 25 Disemba 2018
Dec 24, 2018 23:31Leo ni Jumanne tarehe 17 Rabiuthani 1440 Hijria sawa na tarehe 25 Disemba 2018.
-
Palestina yaitaka jamii ya kimataifa isitishe njama za Israel za kuuyahudisha mji wa Quds
Dec 24, 2018 23:28Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina imeitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua za haraka na za maana ili kusitisha njama za utawala haramu wa Israel za kuuyahudisha mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.
-
Kuunga mkono Palestina; Sera thabiti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran + Video
Dec 24, 2018 04:07Ujumbe wa wabunge wa Palestina ukiongozwa na Mahmoud Al Zahar Mkuu wa Mrengo wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, katika bunge, ambaye pia ni mwanachama wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas, uko mjini Tehran kwa lengo la kufanya mazungumzo na wakuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Az-Zahar: Muqawama utaendelea mpaka utawala wa Kizayuni uangamizwe kikamilifu
Dec 23, 2018 23:19Mkuu wa mrengo wa Muqawama katika Bunge la Palestina, ameashiria mchango na nafasi ya Palestina katika mhimili wa Muqawama na kusisitiza kwamba: Inapasa uwepo uratibu kati ya muqawama wa Palestina, Syria na Lebanon ili kuangamizwa kwa Israel kuthibiti kikamilifu.
-
Zarif: Kuiunga mkono Palestina ni katika siasa kuu za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Dec 23, 2018 11:51Waziri wa Mambo ya Nje Mohammad Javad Zarif amesema: Kuiunga mkono Palestina ni katika siasa kuu na za msingi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Bunge la Palestina latupilia mbali uamuzi wa kulivunja uliotolewa na mahakama
Dec 23, 2018 11:51Naibu Spika wa Bunge la Palestina amesisitiza kuwa bunge hilo linapinga hukumu iliyotolewa na mahakama ya katiba ya serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina ya kuamuru bunge hilo livunjwe.
-
Hamas yalaani azma ya Abbas ya kulivunja Bunge la Palestina
Dec 23, 2018 03:47Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekosoa vikali mpango wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahoud Abbas wa kulivunja Bunge, ikisisitiza kuwa kitendo hicho hakitakuwa na matokeo mengine ghairi ya kushadidisha migawanyiko miongoni mwa makundi ya Palestina.
-
Larijani: Walimwengu wajulishwe kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni
Dec 22, 2018 21:40Ali Larijani Spika wa Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, amesema kuna haja ya kuwafahamisha walimwengu kuwa jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ndio sababu ya kuunga mkono malengo matukufu ya Wapalestina.