Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Helikopta ya Israel yawashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza

    Helikopta ya Israel yawashambulia Wapalestina wa Ukanda wa Gaza

    Dec 29, 2018 04:28

    Helikopta ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel imeshambulia maeneo ya kusini mwa Ukanda wa Gaza, kwa madai kuwa hujuma hiyo ni ya ulipizaji kisasi baada ya Wapalestina kuwavurumishia roketi.

  • Palestina yaomba uanachama wa kudumu katika Umoja wa Mataifa

    Palestina yaomba uanachama wa kudumu katika Umoja wa Mataifa

    Dec 26, 2018 22:58

    Riyad al Maliki, Waziri wa Mambo ya Nje wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, Rais Mahmoud Abbas wa mamlaka hiyo mwezi ujao wa Januari ataelekea mjini New York Marekani kuwasilisha rasmi ombi la serikali ya Palestina kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kuwa mwanachama wa kudumu wa umoja huo.

  • Jumanne 25 Disemba 2018

    Jumanne 25 Disemba 2018

    Dec 24, 2018 23:31

    Leo ni Jumanne tarehe 17 Rabiuthani 1440 Hijria sawa na tarehe 25 Disemba 2018.

  • Palestina yaitaka jamii ya kimataifa isitishe njama za Israel za kuuyahudisha mji wa Quds

    Palestina yaitaka jamii ya kimataifa isitishe njama za Israel za kuuyahudisha mji wa Quds

    Dec 24, 2018 23:28

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina imeitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua za haraka na za maana ili kusitisha njama za utawala haramu wa Israel za kuuyahudisha mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Kuunga mkono Palestina; Sera thabiti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran + Video

    Kuunga mkono Palestina; Sera thabiti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran + Video

    Dec 24, 2018 04:07

    Ujumbe wa wabunge wa Palestina ukiongozwa na Mahmoud Al Zahar Mkuu wa Mrengo wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, katika bunge, ambaye pia ni mwanachama wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas, uko mjini Tehran kwa lengo la kufanya mazungumzo na wakuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Az-Zahar: Muqawama utaendelea mpaka utawala wa Kizayuni uangamizwe kikamilifu

    Az-Zahar: Muqawama utaendelea mpaka utawala wa Kizayuni uangamizwe kikamilifu

    Dec 23, 2018 23:19

    Mkuu wa mrengo wa Muqawama katika Bunge la Palestina, ameashiria mchango na nafasi ya Palestina katika mhimili wa Muqawama na kusisitiza kwamba: Inapasa uwepo uratibu kati ya muqawama wa Palestina, Syria na Lebanon ili kuangamizwa kwa Israel kuthibiti kikamilifu.

  • Zarif: Kuiunga mkono Palestina ni katika siasa kuu za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Zarif: Kuiunga mkono Palestina ni katika siasa kuu za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Dec 23, 2018 11:51

    Waziri wa Mambo ya Nje Mohammad Javad Zarif amesema: Kuiunga mkono Palestina ni katika siasa kuu na za msingi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Bunge la Palestina latupilia mbali uamuzi wa kulivunja uliotolewa na mahakama

    Bunge la Palestina latupilia mbali uamuzi wa kulivunja uliotolewa na mahakama

    Dec 23, 2018 11:51

    Naibu Spika wa Bunge la Palestina amesisitiza kuwa bunge hilo linapinga hukumu iliyotolewa na mahakama ya katiba ya serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina ya kuamuru bunge hilo livunjwe.

  • Hamas yalaani azma ya Abbas ya kulivunja Bunge la Palestina

    Hamas yalaani azma ya Abbas ya kulivunja Bunge la Palestina

    Dec 23, 2018 03:47

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekosoa vikali mpango wa Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Mahoud Abbas wa kulivunja Bunge, ikisisitiza kuwa kitendo hicho hakitakuwa na matokeo mengine ghairi ya kushadidisha migawanyiko miongoni mwa makundi ya Palestina.

  • Larijani: Walimwengu wajulishwe kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni

    Larijani: Walimwengu wajulishwe kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni

    Dec 22, 2018 21:40

    Ali Larijani Spika wa Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, amesema kuna haja ya kuwafahamisha walimwengu kuwa jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel ndio sababu ya kuunga mkono malengo matukufu ya Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS