Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • UNCTAD: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kutokana na mzingiro wa Israel

    UNCTAD: Wapalestina Ghaza wanakabiliwa na hali mbaya kutokana na mzingiro wa Israel

    Sep 14, 2018 02:23

    Ukanda wa Ghaza umegeuka kuwa janga la kibinadamu lililogubikwa na madhila na utegemezi wa misaada kila uchao kutokana na mzingiro wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ardhi hiyo ya Palestina.

  • Kijana mlemavu wa Kipalestina afungwa jela miaka 35 na Israel

    Kijana mlemavu wa Kipalestina afungwa jela miaka 35 na Israel

    Sep 12, 2018 22:57

    Mahakama moja ya utawala haramu wa Israel imemhukumu kifungo cha miaka 35 jela kijana mlemavu wa Kipalestina kwa madai ya kuwashambulia askari wawili wa utawala huo katili.

  • Utafiti: Wapalestina wengi hawana imani na Trump

    Utafiti: Wapalestina wengi hawana imani na Trump

    Sep 12, 2018 09:21

    Utafiti mpya uliofanywa na Kituo cha Utafiti na Sera cha Palestina umeonesha kuwa, aghalabu ya Wapalestina hawana imani na Rais Donald Trump wa Marekani na wala hawataki serikali ya Washington ijihusishe na mazungumzo ya amani ya nchi yao.

  • Radiamali ya Wapalestina kwa uamuzi wa Marekani wa kufunga ofisi ya PLO mjini Washington

    Radiamali ya Wapalestina kwa uamuzi wa Marekani wa kufunga ofisi ya PLO mjini Washington

    Sep 11, 2018 20:48

    Husam Badran, mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, uamuzi wa serikali ya Marekani wa kufunga ofisi ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina PLO mjini Washington inabainisha kutokuwa na matunda mwenendo wa mapatano.

  • Palestina: Marekani ni mlinda maslahi ya Israel

    Palestina: Marekani ni mlinda maslahi ya Israel

    Sep 11, 2018 02:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina amesema kuhusiana na kufungwa ofisi ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) nchini Marekani kwamba hatua hiyo imethibitisha kwa mara nyingine kuwa Washington ni mwakilishi pekee wa Israel na mlinda maslahi ya utawala huo wa Kizayuni.

  • Trump kuwafukuza Wapalestina nchini Marekani

    Trump kuwafukuza Wapalestina nchini Marekani

    Sep 10, 2018 02:54

    Gazeti moja la nchini Marekani limeripoti kuwa, mshauri wa usalama wa taifa wa White House, leo Jumatatu atatangaza kufungwa ofisi ya Chama cha Ukombozi wa Palestina PLO mjini Washington.

  • Uamuzi kwa manufaa ya Palestina; Paraguay yaurejesha ubalozi wake Tel Aviv

    Uamuzi kwa manufaa ya Palestina; Paraguay yaurejesha ubalozi wake Tel Aviv

    Sep 06, 2018 03:03

    Luis Alberto Castiglioni Waziri wa Mambo ya Nje wa Paraguay amesema kuwa nchi hiyo itaurajesha ubalozi wake Tel Aviv kutoka Quds Tukufu.

  • Maandamano ya Wapalestina mbele ya ubalozi mdogo wa Marekani

    Maandamano ya Wapalestina mbele ya ubalozi mdogo wa Marekani

    Sep 05, 2018 22:25

    Idadi kubwa ya Wapalestina wamefanya maandamano mbele ya ubalozi mdogo wa Marekani katika mji wa Ramallah katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan wakilalamikia hatua ya serikali ya Washington ya kukata misaada yake kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira kwa Ajili ya Wapalestina (UNRWA).

  • Uhispania: Marekani haina ustahiki wa kuwa mpatanishi katika kadhia ya Palestina

    Uhispania: Marekani haina ustahiki wa kuwa mpatanishi katika kadhia ya Palestina

    Sep 05, 2018 03:30

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uhispania amesema, Marekani imepoteza ustahiki wa kuwa msuluhishi katika suala la Palestina kutokana na kwenda sambamba na misimamo ya Israel.

  • HAMAS: Matamshi ya Rais Mahmoud Abbas sio msimamo wa taifa la Palestina

    HAMAS: Matamshi ya Rais Mahmoud Abbas sio msimamo wa taifa la Palestina

    Aug 29, 2018 23:07

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, matamshi Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina katu hayaakisi msimamo wa wananchi wa taifa hilo madhulumu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS