Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Palestina yateuliwa kuongoza Kundi la 77 la UN

    Palestina yateuliwa kuongoza Kundi la 77 la UN

    Jul 27, 2018 03:36

    Palestina imeteuliwa kuwa mwenyekiti wa kiduru wa Kundi la 77 (G77) linalojihusisha na masuala ya uchumi wa nchi zinazostawi, ambazo zinaunda asilimia 80 ya idadi ya watu wote duniani.

  • Fawzi Barhoum: Kunyamazia mashambulio ya Israel ni jambo lisilokubalika

    Fawzi Barhoum: Kunyamazia mashambulio ya Israel ni jambo lisilokubalika

    Jul 26, 2018 09:55

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, kunyamazia kimya hujuma na mashambulio ya utawala unaomwaga damu na unaotenda jinai wa Israel ni jambo lisilokubalika.

  • Jeshi la Israel lashambulia Gaza, Wapalestina 3 wauawa shahidi

    Jeshi la Israel lashambulia Gaza, Wapalestina 3 wauawa shahidi

    Jul 26, 2018 02:43

    Kwa akali Wapalestina watatu wameuawa shahidi katika wimbi jipya la mashambulizi ya angani na nchi kavu ya jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya makazi ya raia katika Ukanda wa Gaza.

  • Israel yabomoa kituo cha watoto wa Kipalestina mashariki wa mji wa Quds

    Israel yabomoa kituo cha watoto wa Kipalestina mashariki wa mji wa Quds

    Jul 25, 2018 22:36

    Duru za habari kutoka Palestina zimeripoti kwamba maboldoza ya utawala haramu wa Kizayuni, yamebomoa kituo cha kulelea watoto wadogo pamoja na kituo cha wanawake katika eneo la Jabal al Baba karibu na mji wa al-Eizariya, mashariki mwa mji wa Quds.

  • Wizara ya Afya ya Palestina: Hospitali zote za Gaza zinakaribia kufungwa

    Wizara ya Afya ya Palestina: Hospitali zote za Gaza zinakaribia kufungwa

    Jul 24, 2018 20:49

    Wizara ya Afya ya Palestina imetahadharisha kuwa hospitali na vituo vyote vya afya katika eneo la Ukanda wa Gaza vinakaribia kufungwa kutokana na kuishiwa na nishati ya kuendeshea mitambo ya umeme.

  • Jumatano Julai 25, 2018

    Jumatano Julai 25, 2018

    Jul 24, 2018 20:48

    Leo ni Jumatano tarehe 11 Dhulqaada 1439 Hijria sawa na Julai 25, 2018.

  • Erdogan: Israel ndio utawala wa kifashisti na kibaguzi zaidi duniani

    Erdogan: Israel ndio utawala wa kifashisti na kibaguzi zaidi duniani

    Jul 24, 2018 11:50

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ameutaja utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ndio utawala wa kifashisti na wa kibaguzi zaidi duniani.

  • Kiongozi Muadhamu: Ndoto potovu ya kuyahudisha Palestina na 'Muamala wa Karne' haitatimia

    Kiongozi Muadhamu: Ndoto potovu ya kuyahudisha Palestina na 'Muamala wa Karne' haitatimia

    Jul 23, 2018 09:58

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria njama chafu ya Marekani na Utawala wa Kizayuni inayojulikana kama 'Muamala wa Karne' dhidi ya Palestina na Quds Tukufu na kusema: "Uyahudishaji Palestina ni ndoto potovu ambayo haitatimia"

  • UN yaitaka Israel isitishe uchokozi wake Ghaza

    UN yaitaka Israel isitishe uchokozi wake Ghaza

    Jul 22, 2018 03:10

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameutaka utawala haramu wa Israel usitishe uchokozi wake katika Ukanda wa Ghaza.

  • Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yataka kufanyike uchunguzi kuhusu jinai za Israel  huko Palestina

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yataka kufanyike uchunguzi kuhusu jinai za Israel huko Palestina

    Jul 21, 2018 10:36

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ametoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusu uhalifu na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya taifa la Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS