-
Palestina yataka kusitishwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi
Apr 16, 2016 23:57Mwakilishi wa kudumu wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama la umoja huo kutekeleza majukumu yake na kuzuia ujenzi wa vitongoji zaidi vya walowezi wa Kizayuni unaofanywa na Israel katika ardhi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Maandamano ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Apr 15, 2016 23:42Wapalestina wa maeneo tofauti ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan wamefanya maandamano makubwa ya kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
HAMAS yaiomba OIC ichukue hatua za kuisaidia Palestina
Apr 14, 2016 23:45Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeiomba Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) ilisaidie taifa la Palestina katika kukabiliana na uvamizi na ukaliaji wa mabavu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wapalestina walaani Israel kumkamata Imam wa Masjid Al Aqsa
Apr 09, 2016 22:35Wapalestina wameendelea kulaani vikali hatua ya wanajeshi wa Israel kumkamata Imam na Khatibu wa Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.
-
Wapalestina wakumbuka ukatili wa Israel huko Deir Yassin
Apr 09, 2016 11:34Wapalestina leo wamekumbuka mwaka wa 68 wa mauaji ya raia 270 wa Kipalestina mikononi mwa kundi la kigaidi la Wazayuni kwenye mji wa Deir Yassin katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Wapalestina waandaa azimio jipya dhidi ya Israel
Apr 08, 2016 03:50Ujumbe wa Palestina katika Umoja wa Mataifa umeandaa rasimu ya azimio jipya la kulaani hatua ya utawala haramu wa Israel kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa kizayuni katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.
-
Askari wa Kizayuni wamewatia nguvuni mamia ya watoto wa Kipalestina
Apr 05, 2016 09:33Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewatia nguvuni watoto 1,899 wa Kipalestina tangu ilipoanza Intifadha ya Quds hadi sasa.
-
EU yatakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na Wazayuni
Apr 05, 2016 03:13Umoja wa Ulaya umetakiwa kususia bidhaa zinazozalishwa na utawala wa kizayuni wa Israel.
-
UN yapinga maonyesho ya kipropaganda ya Israel
Apr 03, 2016 23:08Umoja wa Mataifa umepinga maonyesho ya picha za kipropaganda za utawala wa Kizayuni wa Israel katika makao makuu ya umoja huo mjini New York.
-
Wazayuni wazuia kusomwa adhana katika Haram ya Nabii Ibrahim AS
Apr 03, 2016 03:01Wizara ya Wakfu ya Palestina imetangaza kuwa, mwezi uliopita wa Machi, wanajeshi wa utawala wa Kizayuni walizuia mara chungu nzima kusomwa adhana katika Haram ya Nabii Ibrahim AS mjini Alkhalil.