Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Mkuu wa AU atoa mwito wa kusitishwa vita Ukanda wa Gaza

    Mkuu wa AU atoa mwito wa kusitishwa vita Ukanda wa Gaza

    Jan 17, 2024 04:11

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU) kwa mara nyingine tena ametoa mwito wa kusitishwa vita katika Ukanda wa Gaza kwa misingi ya ubinadamu.

  • "Dunia ina wajibu wa kuunga mkono kesi ya Afrika Kusini dhidi ya Israel ICJ"

    Jan 15, 2024 04:35

    Mwakilishi wa Slovenia katika Bunge la Ulaya amesema dunia ina jukumu la kuunga mkono kesi iliyowasilishwa na Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) dhidi ya Israel, kutokana na jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • UN:

    UN: "Siku 100 za mashambulizi ya Israel huko Gaza zinahisika kama miaka 100" kwa Wapalestina

    Jan 15, 2024 01:03

    Philippe Lazzarini, Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), amesema siku 100 zilizopita za mashambulizi ya Israel huko Ukanda wa Gaza zimekuwa kama miaka 100 kwa watu wa Gaza.

  • Ebrahim Raisi: Palestina ni kadhia ya kwanza ya ulimwengu

    Ebrahim Raisi: Palestina ni kadhia ya kwanza ya ulimwengu

    Jan 14, 2024 10:00

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Palestina imegeuka na kuwa kadhia ya kwanza ulimwengu wa mwanadamu.

  • Walimwengu waandamana kulaani siku 100 za jinai za Israel Gaza

    Walimwengu waandamana kulaani siku 100 za jinai za Israel Gaza

    Jan 14, 2024 00:02

    Mamilioni ya watu jana Jumamosi walifanya maandamano katika pembe mbali mbali za dunia kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, na vile vile kuonyesha mshikamano wao na taifa la Palestina.

  • Juhudi za utawala wa Kizayuni za kupotosha uhakika wa kutisha wa vita vya Gaza

    Juhudi za utawala wa Kizayuni za kupotosha uhakika wa kutisha wa vita vya Gaza

    Jan 13, 2024 08:46

    Kikao cha kusikiliza kesi iliyowasilishwa na Afrika Kusini dhidi ya Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki, ICJ, yenye makao yake huko Hague Uholanzi kimeanza katika hali ambayo mauaji ya kimbari na jinai za kivita za utawala wa Israel unaoiklia Quds kwa mabavu zingali zinaendelea katika ardhi za Palestina; na kila siku wananchi wa Palestina wanaendelea kuuliwa shahidi.

  • US, UK zashambulia vituo vya Ansarullah Yemen kwa sababu ya msimamo wake wa kuwahami Wapalestina

    US, UK zashambulia vituo vya Ansarullah Yemen kwa sababu ya msimamo wake wa kuwahami Wapalestina

    Jan 12, 2024 00:25

    Marekani na Uingereza zimeshambulia vituo kadhaa vya harakati ya Ansarullah kukabiliana na hatua ya harakati hiyo ya wananchi wa Yemen ya kuzishambulia meli zenye uhusiano na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, kwa sababu ya vita vya mauaji ya kimbari na ya halaiki unavyoendesha utawala huo dhalimu dhidi ya Wapalestina wa Gaza.

  • DCI: Mwaka 2023 ndio mwaka umbaya zaidi kwa watoto wa Kipalestina

    DCI: Mwaka 2023 ndio mwaka umbaya zaidi kwa watoto wa Kipalestina

    Jan 11, 2024 23:14

    Kundi la kimataifa linalofanya kazi katika uwanja wa kulinda watoto duniani limeutaja mwaka 2023 kuwa mwaka wa mauaji ya kimbari ya watoto wa Kipalestina huko Gaza.

  • Wapalestina wakusanyika katika uwanja wa Mandela Ramallah kuishukuru Afrika Kusini kuhusu kesi ya ICJ

    Wapalestina wakusanyika katika uwanja wa Mandela Ramallah kuishukuru Afrika Kusini kuhusu kesi ya ICJ

    Jan 11, 2024 04:19

    Wapalestina jana Jumatano walikusanyika katika uwanja wa mwendazake mzee Nelson Mandela huko Ramallah lengo likiwa ni kuishukuru Afrika Kusini kwa hatua yake ya kuwasilisha kesi katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) dhidi ya utawala haramu wa Israel.

  • Ripoti: Israel inapanga kuwahamishia Afrika Wapalestina wa Gaza

    Ripoti: Israel inapanga kuwahamishia Afrika Wapalestina wa Gaza

    Jan 04, 2024 23:02

    Vyombo vya habari vya Israel vimethibitisha ripoti zinazodai kuwa, utawala wa Kizayuni unafanya mazungumzo ya siri ili kuwahamisha kwa nguvu mamilioni ya wakazi wa Ukanda wa Gaza na kuwapeleka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na katika nchi nyingine za Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS