• Holocaust halisi ya karne ya 21 yafanyika Palestina

    Holocaust halisi ya karne ya 21 yafanyika Palestina

    Nov 20, 2023 04:18

    Mwakilishi wa harakati ya wanaqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas nchini Iran amesisitiza kuwa holocaust ya kweli ya karne ya 21 inajiri huko Palestina.

  • Palestina, Suala Kuu la Umma wa Kiislamu (2)

    Palestina, Suala Kuu la Umma wa Kiislamu (2)

    Nov 19, 2023 03:06

    Hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran na karibuni kusikiliza sehemu ya pili ya kipindi cha Palestina, Suala Kuu la Umma wa Kiislamu.

  • Palestina, Suala Kuu la Umma wa Kiislamu (1)

    Palestina, Suala Kuu la Umma wa Kiislamu (1)

    Nov 19, 2023 03:03

    Katika kikao chake na viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na mabalozi wa nchi za Kiislamu tarehe 18 Februari mwaka huu, Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran alisema suala la Palestina ni moja ya masuala muhimu zaidi ya ulimwengu wa Kiislamu. Alisema hali ya kusikitisha na kuhuzunisha ya hivi sasa huko Palestina ni matokeo ya kupuuzwa suala hilo na baadhi ya nchi za Kiislamu.

  • Iran: US ndiyo sababu ya kushtadi mgogoro Ukanda wa Gaza

    Iran: US ndiyo sababu ya kushtadi mgogoro Ukanda wa Gaza

    Nov 18, 2023 00:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haitaki vita vya Gaza vipanuke, lakini yumkini vitasambaa zaidi katika maeneo mengine kwa kuwa Marekani inachochea mgogoro huo kwa kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • WSJ: Rais Biden anakabiliwa na uasi ndani ya serikali kwa sababu ya himaya yake kwa Israel

    WSJ: Rais Biden anakabiliwa na uasi ndani ya serikali kwa sababu ya himaya yake kwa Israel

    Nov 16, 2023 10:01

    Jarida la Wall Street Journal limeripoti kuwa Rais wa Marekani, Joe Biden, anakabiliwa na uasi kutoka kwa baadhi ya taasisi za serikali yake zinazopinga uungaji mkono wake kwa Israel katika vita vyake dhidi ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).

  • Wake wa wakuu wa nchi watoa wito wa kusitishwa uhalifu wa Israel huko Gaza

    Wake wa wakuu wa nchi watoa wito wa kusitishwa uhalifu wa Israel huko Gaza

    Nov 16, 2023 07:49

    Wake wa wakuu wa nchi na serikali wamelaani mashambulizi ya utawala haramu wa Israel yanayolenga raia, haswa watoto na wanawake, katika vita vya Gaza. Tamko la wake wa maraisi na viongozi wa nchi mbalimbali duniani limetolewa katika mkutano ulioandaliwa na Emine Erdoğan, mke wa Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, huko Istanbul jana, Jumatano.

  • Belize yasimamisha uhusiano wa kidiplomasia na Israel

    Belize yasimamisha uhusiano wa kidiplomasia na Israel

    Nov 16, 2023 02:59

    Serikali ya Belize imetangaza kusimamisha uhusiano wake wa kidiplomasia na Israel kutokana na hatua ya utawala huo wa Kizayuni kukataa kusitisha vita; huku idadi ya mashahidi wa mashambulizi ya utawala huo pandikizi huko Gaza tokea Oktoba 7 hadi sasa ikikaribia watu 12,000.

  • Iran: Marekani inaipa Israel silaha zilizopigwa marufuku kimataifa

    Iran: Marekani inaipa Israel silaha zilizopigwa marufuku kimataifa

    Nov 16, 2023 00:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameikosoa vikali Marekani kwa kuipa Israel silaha zilizoharamishwa kimataifa kama vile mabomu ya fosforasi ili utawala huo wa Kizayuni utumie silaha hizo dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Rais Erdogan wa Uturuki: Israel ni dola la kigaidi

    Rais Erdogan wa Uturuki: Israel ni dola la kigaidi

    Nov 16, 2023 00:45

    Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan amesema Israel ni 'dola la kigaidi' ambalo linafanya jinai za kivita na kukanyaga sheria za kimataifa katika Ukanda wa Gaza, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Abdollahian: Hakuna uwezekano wa Israel kushinda vita vya Gaza

    Abdollahian: Hakuna uwezekano wa Israel kushinda vita vya Gaza

    Nov 15, 2023 10:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa mwito wa kusitishwa mara moja uvamizi na mashambulizi ya kikatili ya Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, utawala huo wa Kizayuni hauna nafasi na uwezo wa kupata ushindi katika vita hivyo.