-
Jeshi la Israel lampiga risasi na kumuua shahidi binti wa Kipalestina
Nov 14, 2022 07:19Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamemuua shahidi msichana wa Kipalestina aliyekuwa na umri wa miaka 19 katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Ripoti: Tel Aviv inatumia "mbinu za kimafia" dhidi ya makundi ya haki za binadamu ya Palestina
Nov 08, 2022 23:18Shirika la kutetea haki za binadamu la Palestina limesema katika ripoti yake kwa kamati ya uchunguzi ya Umoja wa Mataifa kwamba Israel inatumia vitisho na mbinu za kimafia kuyanyamazisha mashirika ya kutetea haki za binadamu.
-
HAMAS: Wapalestina wataendeleza mapambano ya ukombozi
Nov 03, 2022 08:10Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesema wananchi wa Palestina wataendeleza kwa nguvu zote jitihada na mapambano ya kulikomboa kikamilifu taifa lao kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Algeria: Kadhia ya Palestina ipo ndani ya vipaumbele vyetu
Nov 02, 2022 04:14Akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Wakuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) katika mji mkuu Algiers, Rais wa Algeria ameitaja kadhia ya Palestina kuwa suala muhimu na nyeti.
-
Wanaharakati wa mitandao ya kijamii waanzisha kampeni ya kususiwa PUMA na kupeperusha bendera ya Palestina Qatar 2022
Oct 31, 2022 23:00Wanaharakati wa mitandao ya kijamii wameanzisha kampeni ya kusuusiwa kampuni ya vifaa vya michezo ya PUMA ya Ujerumani na kupeperushwa bendera ya Palestina wakati wa mashindano ya Kombe la Dunia Qatar 2022 ili kuwaazindua walimwengu kuhusumasaibu ya watu wa Palestina na umuhimu wa ukombozi wa ardhi hiyo inayokaliwa kwa mabavu na Israel.
-
Jukumu lililosahauliwa la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina
Oct 31, 2022 00:46Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limefanya kikao mara mbili asubuhi na jioni kujadili matukio mapya yanayojiri Palestina.
-
Kundi la 'Arin al Usud laapa kuendelea na muqawama dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Oct 29, 2022 23:01Kundi la mapambano ya Kiislamu la 'Arin al Usud (Pango la Simba) linaloendesha mapambano yake katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina limesisitiza kuwa, watu wanaodhani kuwa muqawama umeshindwa, wanajidanganya.
-
Jeshi la Israel laendelea kumwaga damu za Wapalestina Nablus
Oct 29, 2022 00:24Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameendeleza umwagaji damu dhidi ya Wapalestina madhulumu katika mji wa Nablus ulioko katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu, na kuua shahidi wawili miongoni mwao.
-
Iran: Uungaji mkono wa Magharibi kwa Israel ni mfano mkubwa zaidi wa ukiukaji wa haki za binadamu
Oct 26, 2022 03:41Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amelaani shambulio la utawala ghasibu wa Israel katika mji wa Nablus katika Ukingo wa Magharibi huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, na kuutaja uungaji mkono usio na kikomo wa Marekani na nchi nyingine za Magharibi kwa utawala dhalimu wa Israel kuwa ni kielelezo kikubwa zaidi cha ukiukwaji wa haki za binadamu.
-
Wapalestina 5 wauawa shahidi na jeshi katili la Israel Ukingo wa Magharibi
Oct 25, 2022 07:49Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambulia makazi ya Wapalestina katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu, na kuua shahidi Wapalestina watano.