-
Al Barghuthi: Jenin haitabaki pekee yake,Wapalestina wataiunga mkono
Apr 14, 2022 02:50Katibu Mkuu wa harakati ya Palestinian Initiative, Mustafa Barghouthi ameeleza kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel unaoikalia Quds Tukufu kwa mabavu unamwaga daumu za Wapalestina katika juhudi za kuficha kushindwa kwake kisiasa na kiusalama.
-
Makundi ya muqawama wa Palestina yaitisha kikao cha dharura kujadili jinai za Israel
Apr 13, 2022 06:55Makundi mbalimbali ya mapambano ya Palestina yameitisha kikao cha dharura mjini Ghaza kutokana na kuongezeka mno uhalifu na jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina.
-
HAMAS: Vitisho vya Israel haviwezi kuwababaisha Wapalestina
Apr 13, 2022 03:07Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amejibu matamshi ya kifedhuli ya Waziri wa Vita wa Israel, Benny Gantz na kusisitiza kuwa: Vitisho kamwe haviwezi kuwababaisha na kuwashtua Wapalestina
-
Kiongozi Muadhamu: Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umeyavutia mataifa mengi duniani
Apr 12, 2022 23:38Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema changamoto zote zinazolikabili taifa hili zinaweza kupatiwa ufumbuzi na kusisitiza kuwa, Mfumo wa Uongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umepata mafanikio mengi katika sekta tofauti na kuwa kivutio kikubwa kwa mataifa mengi duniani.
-
Nasrullah: Watu wa Palestina hawatashindwa katika mapambano yao dhidi ya Wazayuni
Apr 11, 2022 22:58Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah amesema kuwa, wananchi wa Palestina hawatashindwa katika mapambano yao ya ukombozi dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.
-
"Mapambano ya Wapalestina yameingia katika marhala mpya"
Apr 10, 2022 22:05Mkuu wa Kituo cha Intifadha ya Palestina na Quds katika Baraza la Kuratibu Tablighi ya Kiislamu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Mapambano ya Wapalestina dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel yameingia katika marhala mpya.
-
Hizbullah ya Lebanon: Operesheni ya kijana wa Kipalestina Tel Aviv imedhihirisha udhaifu wa utawala wa Kizayuni
Apr 08, 2022 22:03Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah imesema kuwa, operesheni ya kujitolea kufa shahidi iliyofanywa na kijana mmoja Mpalestina katikati ya Tel Aviv imedhihirisha udhaifu wa utawala wa Kizayuni na kufeli vyombo vya usalama vya utawala huo pandikizi.
-
Israel yashadidisha kamatakamata dhidi ya Wapalestina mwezi huu wa Ramadhani
Apr 07, 2022 09:13Vikosi vya utawala haramu wa Israel vimewashambulia Wapalestina katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuwatia mbaroni 13 miongoni mwao.
-
Ripoti: Israel imewateka nyara watoto 9,000 wa Kipalestina tokea 2015
Apr 05, 2022 02:47Utawala wa Kizayuni wa Israel umewateka nyara maelfu ya watoto wa Kipalestina katika kipindi cha miaka saba iliyopita.
-
Kijana wa Algeria awapa watoto Wapalestina dola 2,800 alizoshinda kwenye mashindano ya Qurani
Apr 04, 2022 21:55Kijana wa Algeria aliyeibuka kidedea katika mashindano ya kuhifadhi Qurani tukufu, ametoa dola karibu elfu tatu alizoshinda kwenye mashindano hayo kwa ajili ya watoto wa Kipalestina.