-
Bunge la Iran: Quds ni kibla cha kwanza cha Waislamu na ni ya Umma wote wa Kiislamu
Dec 12, 2017 12:56Wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, wamesema uamuzi wa Rais wa Marekani kutambua Quds Tukufu (Jerusalem) kama mji mkuu wa utawala bandia wa Israel ni dalili ya wazi kabisa ya kutokuwa na utambulisho utawala huo wa Kizayuni.
-
Jenerali Qassem Soleimani: Iran iko tayari kuvisaidia vikosi vya Muqawama vya Palestina kwa kila hali
Dec 12, 2017 12:48Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) ametangaza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kutoa msukumo na kuvisaidia kwa kila hali vikosi vya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina.
-
Rais Rouhani kushiriki mkutano wa dharura wa OIC, Quds ndiyo ajenda kuu
Dec 12, 2017 04:49Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo anaelekea Uturuki kwa shabaha ya kushiriki katika kikao cha dharura cha viongozi wa nchi wanachama katika Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) nchini Uturuki.
-
Trump, White House watengwa kutokana na uamuzi dhidi ya Quds
Dec 12, 2017 04:47Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema kitendo cha Donald Trump cha kuitangaza Quds ambayo ina Kibla cha Kwanza cha Waislamu kuwa eti ni mji mkuu wa Israel imeifanya Ikulu ya White House na rais huyo wa Marekani watengwe kimataifa.
-
Rouhani: Mataifa ya Kiislamu yatazima njama ya Marekani na Israel
Dec 11, 2017 23:30Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema umoja, muqawama na mapambano ya Wapalestina na nchi nyingine za Kiislamu bila shaka yatapelekea kusambaratika kwa njama ya Marekani na utawala wa Kizayuni ya kuitambua Quds tukufu kuwa 'mji mkuu' wa utawala haramu wa Israel.
-
Larijani: Hatua ya Trump dhidi ya Quds ni kujaribu kuficha kushindwa Marekani katika eneo hili
Dec 11, 2017 23:07Mkuu wa Chombo cha Mahakama cha Iran amesema kuwa, kitendo cha rais wa Marekani, Donald Trump cha kuitangaza Quds ambayo ina Kibla cha Kwanza cha Waislamu kuwa eti ni mji mkuu wa Israel, ni kujaribu kuficha kufeli siasa za Marekani katika eneo hili.
-
Iran: Dunia imeungana kumlaani Donald Trump
Dec 11, 2017 11:19Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran leo amezungumza na waandishi wa habari kuhusiana na masuala mengi tofauti ikiwemo ziara ya waziri wa mambo ya nje wa Uingereza hapa mjini Tehran, suala la Quds, Yemen na masuala mengine mbalimbali.
-
Mogherini: Umoja wa Ulaya hautoitambua Quds kuwa ni mji mkuu wa Israel
Dec 11, 2017 11:13Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amepinga wito wa Tel Aviv wa kuutaka umoja huo kufuata mkono wa Marekani na kuutambua mji wa Quds (Jerusalem) kuwa mji mkuu wa Israel.
-
Wananchi wa Mauritania waandamana kumlaani Donald Trump
Dec 11, 2017 11:02Wananchi wa Mauritania wameungana na Waislamu na wapenda haki katika kona zote za dunia kuendeleza maandamano ya kumlaani rais wa Marekani, Donald Trump kwa hatua yake ya kuitambua Quds kuwa mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.
-
Watawala vibaraka wa Kiarabu wabanwa; wananchi wataka viongozi wapya
Dec 11, 2017 09:39Malalamiko na maandamano ya wananchi wa nchi za Kiarabu si tu kwamba yamewalenga Rais Donald Trump wa Marekani na Benjamin Netanyahi, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel pekee bali pia watawala vibaraka wa Kiarabu wanafanya eti mapatano ya amani na Wazayuni kwa madhara ya ulimwengu wa Kiarabu na Kiislamu.