-
Hossein Amir-Abdollahian: Iran inakitetea kibla cha kwanza cha Waislamu
Dec 11, 2017 04:44Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, Iran daima imekuwa mtetezi wa haki za wananchi madhulumu wa Palestina na kibla cha kwanza cha Waislamu na itaendelea kufanya hivyo.
-
Kikao cha dharura cha nchi za Kiarabu kuhusu Quds Tukufu na maamuzi yaisyoweza kutekelezeka
Dec 11, 2017 04:28Mawaziri wa mashauri ya kigeni kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu Jumamosi walikutana katika kikao cha dharura mjini Cairo Misri kujadili na kulaani uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kutambua Quds Tukufu (Jerusalem) kama mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Rais wa Iran: Uamuzi usio sahihi wa Trump ni sawa na kumwagia petroli kwenye moto
Dec 10, 2017 13:05Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uamuzi wa hivi karibuni wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuitangaza Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa Israel na kutoa amri ya kuhamishiwa ubalozi wa Washington katika mji huo ulikuwa sawa na kumwagia mafuta ya petroli katika moto katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Al Azhar yataka kufanyika mkutano wa kimataifa kujadili suala la Quds
Dec 10, 2017 10:57Sheikh Mkuu wa al Azhar ya Misri ametahadharisha kuhusu taathira za uamuzi wa Trump wa kuutambua rasmi mji mtakatifu wa Quds kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni na kutaka kufanyika mkutano wa kimataifa wa kujadili suala hilo.
-
Somalia yasema hatua ya Trump dhidi ya Quds ni 'hatari'
Dec 10, 2017 00:10Somalia imejiunga na nchi nyingine za Afrika kulaani hatua ya Rais wa Marekani, Donald Trump ya kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Jenerali Jaafari: Quds Tukufu Itakuwa kaburi la utawala bandia wa Kizayuni
Dec 09, 2017 23:26Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, lengo kuu la Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuubomoa Msikiti wa Al Aqsa ulio katika mji wa Quds. Ameongeza kuwa: Mji wa Quds utakuwa kaburi la utawala bandia wa Kizayuni.
-
Njia za kukabiliana na misimamo ya kichokozi ya Donald Trump kuhusu Quds
Dec 09, 2017 23:24Mbali na katika kona mbalimbali za dunia, maandamano makubwa ya Wapalestina na fikra za walio wengi katika ulimwengu wa Kiislamu zinaendelea kumuandama rais wa Marekani, Donald Trump kutokana na chokochoko zake za kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa eti ni mji mkuu wa Israel.
-
Wajordan waandamana kumlaani Rais wa Marekani
Dec 09, 2017 11:51Wananchi wa Jordan pamoja na viongozi wa sekta mbalimbali akiwemo spika wa bunge la nchi hiyo wamefanya maandamano karibu na ubalozi wa Marekani mjini Amman kulaani hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump, ya kuitambua Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala ghasibu wa Kizayuni.
-
Balozi wa Iran UN: Hatua ya Marekani kuhusu Quds ni kuhalalisha uvamizi na ukaliaji wa mabavu
Dec 09, 2017 04:03Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema, kukaliwa kwa mabavu Palestina ndilo chimbuko la migogoro yote ya eneo la Mashariki ya Kati na kusisitiza kwamba hatua ya Rais wa Marekani Donald Trump ya kuitangaza Quds kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni ni kujaribu kuhalalisha ukaliaji wa mabavu.
-
Sheikh Mkuu wa Azhar afuta mkutano na Makamu wa Rais wa Marekani
Dec 09, 2017 03:59Imam Mkuu wa Msikiti wa al Azhar nchini Misri amefutilia mbali mkutano uliotazamiwa kufanyika hivi karibuni kati yake na Makamu wa Rais wa Marekani, Mike Pence, ikiwa ni radiamali kwa kitendo cha Rais Donald Trump wa Marekani kuitangaza Baytul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel.