Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Quds

  • Utawala wa Kizayuni unapanga njama ya kuzima sauti ya adhana Baitul Muqaddas Mashariki

    Utawala wa Kizayuni unapanga njama ya kuzima sauti ya adhana Baitul Muqaddas Mashariki

    Jan 02, 2019 23:41

    Televisheni ya utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa manispaa ya utawala huo haramu katika eneo la Baitul Muqaddas Mashariki (East Jerusalem) ina mpango wa kuzuia sauti ya adhana isisikike katika misikiti ya eneo hilo la Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Abbas: Palestina haitaruhusu Marekani iiuzie Israel Quds Tukufu

    Abbas: Palestina haitaruhusu Marekani iiuzie Israel Quds Tukufu

    Jan 01, 2019 04:47

    Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema Wapalestina katu hawataruhusu Marekani iuuze mji mtukufu wa Quds kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, akisisitiza kuwa mji huo unaokaliwa kwa mabavu ni mji mkuu wa daima wa taifa la Palestina.

  • Palestina yaitaka jamii ya kimataifa isitishe njama za Israel za kuuyahudisha mji wa Quds

    Palestina yaitaka jamii ya kimataifa isitishe njama za Israel za kuuyahudisha mji wa Quds

    Dec 24, 2018 23:28

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina imeitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua za haraka na za maana ili kusitisha njama za utawala haramu wa Israel za kuuyahudisha mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Arab League yazilaani Brazil, Australia kwa kuitambua Quds kuwa eti mji mkuu wa Israel

    Arab League yazilaani Brazil, Australia kwa kuitambua Quds kuwa eti mji mkuu wa Israel

    Dec 19, 2018 04:10

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imepasisha azimio la kulaani hatua ya Brazil na Australia ya kuutambua mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel kuwa eti ni mji mkuu wa utawala huo pandikizi.

  • Australia yafuata mkumbo, yaitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    Australia yafuata mkumbo, yaitambua Quds kuwa mji mkuu wa Israel

    Dec 15, 2018 03:23

    Australia imesema inautambua mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu kuwa eti ni mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

  • Arab League yaonya kuhusu azma ya Brazil ya kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds

    Arab League yaonya kuhusu azma ya Brazil ya kuuhamishia ubalozi wake mjini Quds

    Dec 11, 2018 03:45

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeitahadharisha Brazil dhidi ya mpango wake wa kuuhamishia ubalozi katika mji wa Quds kutoka Tel Aviv, ikisisitiza kwamba hatua hiyo itakuwa na athari mbaya katika uhusiano wa nchi hiyo na nchi za Kiarabu.

  • Hizbullah: Quds tukufu haiwezi kugawanyika

    Hizbullah: Quds tukufu haiwezi kugawanyika

    Nov 25, 2018 04:37

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema ni muhali na jambo lisiloyumkinika kuugawanya mara mbili mji mtukufu wa Quds (Jerusalem).

  • Makanisa ya Marekani yalaani jinai za Israel dhidi ya Wakristo wa Palestina

    Makanisa ya Marekani yalaani jinai za Israel dhidi ya Wakristo wa Palestina

    Nov 11, 2018 01:07

    Makumi ya makanisa ya nchini Marekani yamemwandikia barua kali waziri wa mambo ya nje wa nchi hiyo Mike Pompeo na kumtaka aulazimishe utawala wa Kizayuni ukomeshe vitendo vyake dhidi ya makanisa ya mji wa Quds huko Palestina.

  • Misri yafuta safari ya waziri wa Brazil nchini humo kutokana na Quds

    Misri yafuta safari ya waziri wa Brazil nchini humo kutokana na Quds

    Nov 06, 2018 04:34

    Misri imesimamisha safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Brazil aliyetazamiwa kuitembelea nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika wiki hii, kulalamikia kitendo cha Rais Mteule wa nchi hiyo ya Amerika ya Latini kusema kuwa nchi hiyo itauhamishia ubalozi wake ulioko Israel katika mji wa Quds Tukufu.

  • Viongozi wa Kikristo mjini Quds wakosoa ubaguzi wa Netanyahu

    Viongozi wa Kikristo mjini Quds wakosoa ubaguzi wa Netanyahu

    Nov 06, 2018 04:30

    Wakuu wa Kanisa Katoliki katika mji wa Quds tukufu unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel wamemuandikia barua Waziri Mkuu wa utawala huo ghasibu wakikosoa misimamo yake ya kibaguzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS