• Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na kufuata kigezo cha Qur'ani katika kupambana na Uistikbari

    Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na kufuata kigezo cha Qur'ani katika kupambana na Uistikbari

    Feb 04, 2020 04:44

    Assalamu Alaykum mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Nakukaribisha kutegea sikio mfululizo mwengine wa vipindi maalumu tulivyokuandalia kwa mnasaba wa kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, ambapo leo tutazungumzia namna mapinduzi hayo yanavyofuata kigezo cha mafundisho ya Qur'ani kwa ajili ya kupambana na Uistikbari duniani. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Taasisi za Kiislamu Norway zagawa nakala za Qur'ani kwa raia baada ya kitabu hicho kuvunjiwa heshima

    Taasisi za Kiislamu Norway zagawa nakala za Qur'ani kwa raia baada ya kitabu hicho kuvunjiwa heshima

    Dec 05, 2019 10:52

    Taasisi tatu za Waislamu wa Norway zimesambaza na kugawa bure nakala za Qur'ani tukufu baina ya raia wa nchi hiyo siku chache baada ya kundi moja lenye misimamo mikali kukivunjia heshima kitabu hicho kitakatifu na matukufu mengine ya Kiislamu.

  • Iran yawasilisha malalamiko kwa serikali ya Norway baada ya Qur'ani kuchomwa moto nchini humo

    Iran yawasilisha malalamiko kwa serikali ya Norway baada ya Qur'ani kuchomwa moto nchini humo

    Nov 27, 2019 08:21

    Kaimu balozi wa Norway mjini Tehran ameitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran na kukabidhiwa malalamiko ya Jamhuri ya Kiislamu baada ya kiongozi wa kundi lenye misimamo mikali la SIAN kuchoma moto kitabu kitakatifu cha Qur'ani nchini humo.

  • Balozi wa Norway aonywa na serikali ya Pakistan kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'an Tukufu

    Balozi wa Norway aonywa na serikali ya Pakistan kufuatia kuvunjiwa heshima Qur'an Tukufu

    Nov 25, 2019 08:14

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Pakistan imemwita balozi wa Norway mjini Islamabad kufuatia maandamano makubwa yaliyofanywa na raia wa Pakistan kulaani kitendo cha kuvunjiwa heshima kitabu cha Mwenyezi Mungu (Qur'an Tukufu) katika moja ya miji ya nchi hiyo ya Ulaya.

  • Sura ya S’aad, aya ya 84-88 (Darsa ya 836)

    Sura ya S’aad, aya ya 84-88 (Darsa ya 836)

    Jul 10, 2019 10:40

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur’ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu. Kwa taufiki yake Mola Karima aliyetupa uhai na uzima tumekutana tena katika mfululizo mwengine wa Darsa ya Qur’ani.

  • Sura ya S’aad, aya ya 79-83 (Darsa ya 835)

    Sura ya S’aad, aya ya 79-83 (Darsa ya 835)

    Jul 10, 2019 10:37

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur’ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu. Kwa taufiki yake Mola Karima aliyetupa uhai na uzima tumekutana tena katika mfululizo mwengine wa Darsa ya Qur’ani.

  • Sura ya S’aad, aya ya 75-78 (Darsa ya 834)

    Sura ya S’aad, aya ya 75-78 (Darsa ya 834)

    Jul 10, 2019 10:33

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur’ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu. Kwa taufiki yake Mola Karima aliyetupa uhai na uzima tumekutana tena katika mfululizo mwengine wa Darsa ya Qur’ani.

  • Sura ya S’aad, aya ya 67-74 (Darsa ya 833)

    Sura ya S’aad, aya ya 67-74 (Darsa ya 833)

    Jul 10, 2019 10:17

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur’ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu. Kwa taufiki yake Mola Karima aliyetupa uhai na uzima tumekutana tena katika mfululizo mwengine wa Darsa ya Qur’ani.

  • Sura ya S’aad, aya ya 59-66 (Darsa ya 832)

    Sura ya S’aad, aya ya 59-66 (Darsa ya 832)

    Jun 27, 2019 06:09

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur’ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu.

  • Sura ya S’aad, aya ya 49-58 (Darsa ya 831)

    Sura ya S’aad, aya ya 49-58 (Darsa ya 831)

    Jun 27, 2019 05:59

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur’ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu.