Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rais

  • Uchaguzi wa Rais wa Syria kufanyika mwezi ujao wa Mei

    Uchaguzi wa Rais wa Syria kufanyika mwezi ujao wa Mei

    Apr 18, 2021 22:16

    Syria imeanisha Mei 26 mwaka huu kuwa tarehe ya kufanyika uchaguzi wa Rais katika taifa hilo la Kiarabu linalosakamwa na mapigano, hujuma za kigaidi na uingilaji wa kigeni kwa zaidi ya muongo mmoja sasa.

  • Hatua mpya za serikali ya Biden dhidi ya Russia; vikwazo vipya na kufukuzwa wanadiplomasia

    Hatua mpya za serikali ya Biden dhidi ya Russia; vikwazo vipya na kufukuzwa wanadiplomasia

    Apr 17, 2021 07:40

    Serikali ya Marekani juzi Alhamisi iliwawekea vikwazo Shakhsia 12 wa serikali ya Russia wakiwemo viongozi kadhaa wa serikali, wa masuala ya intelijensia wa nchi hiyo pamoja na taasisi 20 za Russia.

  • Rais Ramaphosa ataka Afrika ianze kujizalishia chanjo ya Covid-19

    Rais Ramaphosa ataka Afrika ianze kujizalishia chanjo ya Covid-19

    Apr 13, 2021 02:21

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema bara la Afrika linahitaji ujuzi na uwezo wa kujitengenezea chanjo za kupambana na ugonjwa wa Covid-19, wakati huu ambapo bara hilo linakumbwa na uhaba mkubwa wa chanjo hizo.

  • Ali Hassan Mwinyi: Rais Samia ameanza vizuri, kila mtu ana furaha

    Ali Hassan Mwinyi: Rais Samia ameanza vizuri, kila mtu ana furaha

    Apr 12, 2021 07:41

    Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili nchini Tanzania, Dkt. Ali Hassan Mwinyi leo amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ambaye amempongeza kwa kuanza vizuri majukumu yake ya kuongoza nchi.

  • Dunia yaendelea kukosoa azimio la Seneti ya Ufaransa kuhusu marufuku ya hijabu

    Dunia yaendelea kukosoa azimio la Seneti ya Ufaransa kuhusu marufuku ya hijabu

    Apr 10, 2021 23:06

    Watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Ufaransa na maeneo mengine ya dunia wameanzisha kampeni iliyopewa jina la Hands Off My Hijab (@handsoffmyhijab) wakieleza hasira zao dhidi ya azimio la Baraza la Seneti la Ufaransa la kuzidisha vizuizi na marufuku dhidi ya vazi la staha la mwanamke wa Kiislamu, Hijabu. Watu wengi wamesema kuwa azimio hilo linapiga vita Uislamu. 

  • Guelleh (73) ashinda muhula wa 5 wa uchaguzi wa rais Djibouti

    Guelleh (73) ashinda muhula wa 5 wa uchaguzi wa rais Djibouti

    Apr 10, 2021 03:13

    Rais Ismail Omar Guelleh wa Djibouti ameibuka mshindi katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana Ijumaa.

  • Rais wa Tanzania kuunda kamati ya Corona, ataka vyombo vya habari vifunguliwe

    Rais wa Tanzania kuunda kamati ya Corona, ataka vyombo vya habari vifunguliwe

    Apr 06, 2021 09:19

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesema ataunda kamati ya wataalamu watakaochambua kwa kina ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na virusi vya Corona na kuishauri Serikali hatua za kuchukua.

  • Sisitizo la Marekani la kuiunga mkono Saudi Arabia; utendaji wa kindumakuwili wa serikali ya Biden

    Sisitizo la Marekani la kuiunga mkono Saudi Arabia; utendaji wa kindumakuwili wa serikali ya Biden

    Apr 05, 2021 04:58

    John Kirby, msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) alitangaza Jumamosi ya juzi katika mkutano wake na waandishi wa habari kwamba, Washington itaendelea kuiunga mkono na kuihami Saudi Arabia.

  • Rais mpya wa Niger aapishwa baada ya jaribio la mapinduzi

    Rais mpya wa Niger aapishwa baada ya jaribio la mapinduzi

    Apr 02, 2021 22:08

    Mohamed Bazoum ameapishwa kuwa Rais mpya wa Niger, siku chache baada ya kujiri jaribio la mapinduzi lililofeli nchini humo.

  • Kuimarishwa uhusiano wa Venezuela na Russia, jibu muafaka kwa uadui wa Marekani

    Kuimarishwa uhusiano wa Venezuela na Russia, jibu muafaka kwa uadui wa Marekani

    Apr 02, 2021 22:04

    Russia na Venezuela zimechukua hatua nyingine ya kuimarisha uhusiano wao kwa kuanzisha kamisheni ya viongozi wa nchi mbili na vile vile kuanzisha kamisheni tano za pamoja za kiufundi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS