Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rouhani

  • Rais Rouhani: Mlioiwekea vikwazo Iran, pelekeni siasa zenu ghalati katika kapu la historia

    Rais Rouhani: Mlioiwekea vikwazo Iran, pelekeni siasa zenu ghalati katika kapu la historia

    Dec 16, 2020 03:14

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wale wote wanaofanya njama za kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu kwa siasa kama za vikwazo, wanapaswa wasahau kabisa misimamo na siasa zao ghalati zilizoshindwa, na wazitupe katika kapu la historia.

  • Rais Rouhani: Vikwazo vya kidhulma dhidi ya Iran lazima vifutwe

    Rais Rouhani: Vikwazo vya kidhulma dhidi ya Iran lazima vifutwe

    Dec 14, 2020 15:02

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vya kidhulma dhidi ya Iran lazima vifutwe.

  • Rais Rouhani: Azma ya Iran ni kustawisha uhusiano wake na Azerbaijan

    Rais Rouhani: Azma ya Iran ni kustawisha uhusiano wake na Azerbaijan

    Dec 10, 2020 01:31

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, uhusiano wa Tehran na Baku ni mzuri na wa kidugu na akaongeza kuwa, azma ya Iran ni kustawisha uhusiano wake na Azerbaijan.

  • Rais Rouhani: Serikali mpya ya Marekani ifidie makosa yaliyopita

    Rais Rouhani: Serikali mpya ya Marekani ifidie makosa yaliyopita

    Dec 09, 2020 12:20

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumza kuhusu udharura wa pande zingine zilizoafiki mapatano ya nyuklia ya JCPOA kufungamana na mapatano hayo na kusema: "Serikali mpya ya Marekani inapaswa kufidia makosa yaliyopita na kutekeleza kikamilifu ahadi zake kuhusu JCPOA."

  • Rouhani: Iran itaendelea kuwa pamoja na serikali na taifa la  Syria hadi ushindi wa mwisho

    Rouhani: Iran itaendelea kuwa pamoja na serikali na taifa la Syria hadi ushindi wa mwisho

    Dec 08, 2020 12:28

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesemam kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendeleza maamuzi na irada ambayo imekuwa ikichukua katika kuiunga mkono serikali na taifa la Syria kama nchi muitifakii wake wa kistratejia na itakuwa bega kwa bega na Syria hadi kupatikana ushindi wa mwisho.

  • Rais Rouhani: Trump anaondoka na ndoto zake za kufikisha mauzo ya mafuta ya Iran kiwango cha sifuri

    Rais Rouhani: Trump anaondoka na ndoto zake za kufikisha mauzo ya mafuta ya Iran kiwango cha sifuri

    Dec 06, 2020 11:54

    Rais Hassan Rouhani ameashiria vizingiti mbalimbali vya vita vya kiuchumi vya Marekani dhidi ya mauzo ya mafuta na bidhaa za petrokemikali za Iran na kusema kuwa, Rais Donald Trump ameshindwa kutekeleza tumaini lake la kutaka mauzo ya mafuta ya Iran yafikie kiwango cha sifuri na sasa ataondoka madarakani pamoja na tarajio lake hilo.

  • Rais Rouhani: Wananchi wa Iran wamekabiliana vilivyo na vita vya kiuchumi, kisiasa na kisaikolojia

    Rais Rouhani: Wananchi wa Iran wamekabiliana vilivyo na vita vya kiuchumi, kisiasa na kisaikolojia

    Dec 03, 2020 11:08

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amegusia vita vya pande zote vya kiuchumi vilivyoanzishwa na Marekani dhidi ya Tehran na kusema kuwa, wananchi wa Iran wamekabiliana vilivyo na vita vya kiuchumi, kisiasa na kisaikolojia vya adui.

  • Rais Rouhani: Marekani haina budi kusalimu amri mbele ya muqawama wa taifa la Iran

    Rais Rouhani: Marekani haina budi kusalimu amri mbele ya muqawama wa taifa la Iran

    Dec 02, 2020 11:10

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kushindwa 'siasa za Marekani za mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa' ni jambo ambalo linaifanya serikali mpya ijayo nchini humo isiwe na budi ila kusalimu amri mbele ya muqawama na kusimama kidete taifa hili la Kiislamu.

  •  Rouhani atuma ujumbe UN; aitolea wito jamii ya kimataifa kukabiliana na utawala wa Kizayuni

    Rouhani atuma ujumbe UN; aitolea wito jamii ya kimataifa kukabiliana na utawala wa Kizayuni

    Dec 02, 2020 02:39

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe kwa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kushikamana na Wananchi wa Palestina na kuitolea mwito jamii ya kimataifa kukabiliana na hatua za utawala wa Kizayuni unaouwa watoto.

  • Rouhani: Adui ameghadhibika baada ya kushindwa kuangamiza uchumi wa Iran

    Rouhani: Adui ameghadhibika baada ya kushindwa kuangamiza uchumi wa Iran

    Dec 01, 2020 13:00

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria kusambaratika 'mashinikizo ya juu zaidi' ya Marekani dhidi ya Iran na kusema adui ameghadhibika baada ya kushindwa kufikia lengo lake la kuangamiza uchumi wa Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS