Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Rais wa Russia aliamuru jeshi lisitishe mashambulizi dhidi ya Ukraine kwa muda wa siku tatu

    Rais wa Russia aliamuru jeshi lisitishe mashambulizi dhidi ya Ukraine kwa muda wa siku tatu

    Sep 05, 2026 13:45

    Rais Vladimir Putin wa Russia ameamuru kusitishwa mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Ukraine kwa muda wa siku tatu kabla ya mazungumzo na wapatanishi wakuu wa Marekani Steve Witkoff na Jared Kushner, ambao waliwasili mjini Moscow mapema leo Jumamosi.

  • Putin: Washirika wa Ukraine ni washirika wa ugaidi wa kimataifa

    Putin: Washirika wa Ukraine ni washirika wa ugaidi wa kimataifa

    Sep 04, 2026 03:16

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, kurejeshwa uhusiano wa nchi yake na Marekani kunategemea misimamo ya Washington na kusisitiza kwamba: Madola ya Magharibi yanayoshirikiana na Ukraine ni washirika wa ugaidi wa kimataifa.

  • Russia: Vituo vya kijeshi vya UK ndani ya Ukraine na kwengineko vinaweza vikawa walengwa wa mashambulizi yetu

    Russia: Vituo vya kijeshi vya UK ndani ya Ukraine na kwengineko vinaweza vikawa walengwa wa mashambulizi yetu

    Aug 28, 2026 03:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia Maria Zakharova ameonya kuwa, zana na vifaa vya kijeshi vya Uingereza vilivyoko nchini Ukraine na kwingineko vinaweza kuwa walengwa halali wa mashambulizi ya Russia ikiwa Kiev itaendelea kutumia silaha zinazotolewa na Uingereza kushambulia maeneo ya ardhi ya Russia.

  • Waziri wa ulinzi aliyetimuliwa Ukraine: Ufisadi mkubwa unazuia kuhitishwa vita

    Waziri wa ulinzi aliyetimuliwa Ukraine: Ufisadi mkubwa unazuia kuhitishwa vita

    Aug 24, 2026 05:58

    Waziri wa ulinzi aliyefukuzwa kazi wa Ukraine amekosoa kiwango cha ufisadi nchini humo, akisema kwamba ufisadi uliokita mizizi unazuia kukomeshwa vita na ujenzi mpya wa Ukraine.

  • Mufti Mkuu wa Russia asifu juhudi za Iran za kuunganisha Umma wa Kiislamu

    Mufti Mkuu wa Russia asifu juhudi za Iran za kuunganisha Umma wa Kiislamu

    Aug 24, 2026 04:38

    Mkuu wa Baraza la Mufti na Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu wa Russia amepongeza hatua za Tehran kuimarisha umoja wa Umma wa Kiislamu.

  • Lavrov: Wanajeshi wa Ukraine Wanahusika na Ugaidi dhidi ya Nchi za Afrika

    Lavrov: Wanajeshi wa Ukraine Wanahusika na Ugaidi dhidi ya Nchi za Afrika

    Aug 18, 2026 11:37

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov, amesema kuwa Moscow imetiwa wasiwasi na ripoti zinazoashiria kuwa wanajeshi wa Ukraine wanahusika katika operesheni zinazotekelezwa na makundi haramu ya wanamgambo dhidi ya nchi za ukanda wa Sahel barani Afrika.

  • Russia yashambulia eneo la kutengeneza makombora na ghala la mafuta la Ukraine huko Kyiv

    Russia yashambulia eneo la kutengeneza makombora na ghala la mafuta la Ukraine huko Kyiv

    Aug 08, 2026 12:46

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa vikosi vya ulinzi ya nchi hiyo vimeshambulia kituo cha kijeshi na viwanda cha Ukraine kinachotengeneza makombora ya cruise pamoja na ghala la mafuta huko Kyiv.

  • Meya wa Moscow: Zaidi ya droni 6,000 za Ukraine zililenga mji mkuu wa Russia mwezi Julai

    Meya wa Moscow: Zaidi ya droni 6,000 za Ukraine zililenga mji mkuu wa Russia mwezi Julai

    Aug 01, 2026 11:18

    Zaidi ya ndege zisizo na rubani (droni) 6,000 za Ukraine ziliulenga mji mkuu wa Russia, Moscow mwezi Julai mwaka huu. Haya yameelezwa na, Meya wa Moscow, Sergey Sobyanin.

  • Putin: Maadui wa Russia wamejielekeza katika mbinu za wazi za kigaidi

    Putin: Maadui wa Russia wamejielekeza katika mbinu za wazi za kigaidi

    Jul 28, 2026 03:50

    Rais wa Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa maadui wa nchi hiyo wameamua kutumia mbinu za wazi za kigaidi, na kwamba Moscow itatimiza malengo yake yote ya kijeshi katika vita vya Ukraine na iko tayari kutoa jibu kwa hatua yoyote ya uhasama.

  • Jumapili, 19 Julai, 2026

    Jumapili, 19 Julai, 2026

    Jul 19, 2026 03:48

    Leo ni Jumapili 4 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria mwafaka na 19 Julai 2026 Miladia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS