Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Lavrov: Wanajeshi wa Ukraine Wanahusika na Ugaidi dhidi ya Nchi za Afrika

    Lavrov: Wanajeshi wa Ukraine Wanahusika na Ugaidi dhidi ya Nchi za Afrika

    Aug 18, 2026 11:37

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov, amesema kuwa Moscow imetiwa wasiwasi na ripoti zinazoashiria kuwa wanajeshi wa Ukraine wanahusika katika operesheni zinazotekelezwa na makundi haramu ya wanamgambo dhidi ya nchi za ukanda wa Sahel barani Afrika.

  • Russia yashambulia eneo la kutengeneza makombora na ghala la mafuta la Ukraine huko Kyiv

    Russia yashambulia eneo la kutengeneza makombora na ghala la mafuta la Ukraine huko Kyiv

    Aug 08, 2026 12:46

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa vikosi vya ulinzi ya nchi hiyo vimeshambulia kituo cha kijeshi na viwanda cha Ukraine kinachotengeneza makombora ya cruise pamoja na ghala la mafuta huko Kyiv.

  • Meya wa Moscow: Zaidi ya droni 6,000 za Ukraine zililenga mji mkuu wa Russia mwezi Julai

    Meya wa Moscow: Zaidi ya droni 6,000 za Ukraine zililenga mji mkuu wa Russia mwezi Julai

    Aug 01, 2026 11:18

    Zaidi ya ndege zisizo na rubani (droni) 6,000 za Ukraine ziliulenga mji mkuu wa Russia, Moscow mwezi Julai mwaka huu. Haya yameelezwa na, Meya wa Moscow, Sergey Sobyanin.

  • Putin: Maadui wa Russia wamejielekeza katika mbinu za wazi za kigaidi

    Putin: Maadui wa Russia wamejielekeza katika mbinu za wazi za kigaidi

    Jul 28, 2026 03:50

    Rais wa Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa maadui wa nchi hiyo wameamua kutumia mbinu za wazi za kigaidi, na kwamba Moscow itatimiza malengo yake yote ya kijeshi katika vita vya Ukraine na iko tayari kutoa jibu kwa hatua yoyote ya uhasama.

  • Jumapili, 19 Julai, 2026

    Jumapili, 19 Julai, 2026

    Jul 19, 2026 03:48

    Leo ni Jumapili 4 Mfunguo Tano Safar 1448 Hijria mwafaka na 19 Julai 2026 Miladia.

  • Balozi wa Iran: BRICS ina jukumu muhimu katika usalama wa nishati duniani

    Balozi wa Iran: BRICS ina jukumu muhimu katika usalama wa nishati duniani

    Jun 07, 2026 11:12

    Balozi wa Iran: BRICS ina jukumu muhimu katika usalama wa nishati duniani

  •  Russia yaunga mkono msukumo wa Afrika wa kudai fidia kutoka kwa madola ya kikoloni

    Russia yaunga mkono msukumo wa Afrika wa kudai fidia kutoka kwa madola ya kikoloni

    May 27, 2026 03:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia, Sergey Lavrov, amesema nchi yake inaunga mkono msukumo wa Afrika wa kutaka fidia kutoka kwa madola ya kikoloni. Akizungumza katika hafla ya kuadhimisha Siku ya Afrika mjini Moscow, Lavrov amesema suala hilo ni sehemu ya mapambano mapana dhidi ya ukoloni mambo-leo.

  • Russia: Suala la nyuklia linaweza kutatuliwa kwa kuzingatia maslahi ya Iran

    Russia: Suala la nyuklia linaweza kutatuliwa kwa kuzingatia maslahi ya Iran

    May 23, 2026 02:38

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova, anasema kwamba mgogoro unaoendelezwa na Marekani kuhusu suala la nyuklia la Iran unaweza tu kutatuliwa kwa njia za kidiplomasia na kwa kutilia maanani maslahi ya Iran.

  • Putin na Xi walaani vita vya uchokozi vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Putin na Xi walaani vita vya uchokozi vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    May 21, 2026 04:28

    Rais wa Russia, Vladimir Putin, na mwenzake wa Jamhuri ya Watu wa China, Xi Jinping, wamekemea kwa pamoja vita vya hivi karibuni vya uchokozi vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wakisisitiza kwamba njia pekee ya kumaliza mzozo huo unaotishia uthabiti wa kanda ni kupitia mazungumzo na diplomasia.

  • Viongozi wa China na Russia: Tunafanya kazi ili kuasisi utaratibu wa kiadilifu na haki zaidi duniani

    Viongozi wa China na Russia: Tunafanya kazi ili kuasisi utaratibu wa kiadilifu na haki zaidi duniani

    May 20, 2026 11:04

    Viongozi wa China na Russia wamesisitiza mwanzoni mwa mazungumzo yao kuhusu azimio la pamoja la nchi hizo mbili la kuasisi utaratibu wa haki zaidi wa kimataifa na ulimwengu wa kambi kadhaa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS