Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • "Ramani ya mfumo mpya wa ulimwengu", msisitizo wa Kiongozi Muadhamu juu ya jinsi Marekani inavyofaidika na vita vya Ukraine

    Apr 09, 2023 10:51

    Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jumanne ya tarehe 15 Aprili alizungumzia na kufafanua masuala kadhaa katika kikao chake na viongozi na maafisa wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Lavrov: Mazungumzo ya amani kuhusu Ukraine lazima yazingatie 'maslahi na wasiwasi ilionao Russia'

    Lavrov: Mazungumzo ya amani kuhusu Ukraine lazima yazingatie 'maslahi na wasiwasi ilionao Russia'

    Apr 08, 2023 22:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema mazungumzo yoyote ya amani ya Ukraine lazima yalenge kuanzisha "nidhamu mpya wa dunia" na kuzingatia "maslahi ya Russia na wasiwasi ilionao".

  • Marekani imekithirisha uwekaji wa silaha zake za nyuklia katika bara la Ulaya

    Marekani imekithirisha uwekaji wa silaha zake za nyuklia katika bara la Ulaya

    Apr 08, 2023 22:46

    Shirika la habari la Sputnik limetangaza kuwa Marekani imekithirisha uwekaji silaha zake za nyuklia barani Ulaya.

  • Ombi la Ufaransa na Marekani kwa China kuitaka iwe msuluhishi katika vita vya Ukraine

    Ombi la Ufaransa na Marekani kwa China kuitaka iwe msuluhishi katika vita vya Ukraine

    Apr 07, 2023 04:49

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa siku ya Jumatano aliwasili Beijing kwa ziara ya siku tatu nchini China. Ziara hiyo ni ya kwanza kufanywa na Macron nchini China tangu mwaka 2019. Rais huyo wa Ufaransa jana alifanya mazungumzo na mwenyeji wake Rais Xi Jinping.

  • Russia: Wakati wa kustaafu NATO umefika

    Russia: Wakati wa kustaafu NATO umefika

    Apr 06, 2023 22:50

    Akizungumzia kufeli kwa shughuli za Jumuiya ya Kujihami ya Nchi za Magharibi (NATO), msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema wakati wa kustaafu muungano wa NATO umewadia.

  • Lavrov: Russia na Marekani sasa zimeingia kwenye awamu ya Vita Moto

    Lavrov: Russia na Marekani sasa zimeingia kwenye awamu ya Vita Moto

    Apr 06, 2023 03:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov amebainisha kuwa, nchi hiyo na Marekani sasa zimeingia katika awamu ya vita moto kutokana na muendelezo wa utumaji silaha kutoka nchi za Magharibi hususan Marekani kuelekea Ukraine kwa kisingizio cha vita katika nchi hiyo.

  • Putin: Uhusiano wa Russia na Belarus unaimarika licha ya mashinikizo ya Magharibi

    Putin: Uhusiano wa Russia na Belarus unaimarika licha ya mashinikizo ya Magharibi

    Apr 02, 2023 23:52

    Rais wa Russia amemhutubu Rais wa Belarus akisema: uhusiano wa Russia na Belarus unazidi kuimarika kuliko ikilinganishwa na huko nyuma licha ya vikwazo vya Magharibi. Rais Vladimir Putin wa Russia amebainisha hayo katika ujumbe wa pongezi aliomtumia Rais wa Belarus kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Muungano wa Moscow na Minsk.

  • Maafisa wa chama tawala Afrika Kusini wako Russia kujadili

    Maafisa wa chama tawala Afrika Kusini wako Russia kujadili "Nidhamu Mpya ya Kimataifa"

    Apr 02, 2023 07:21

    Chama tawala nchini Afrika Kusini ANC kimesema, kimetuma maafisa wake wakuu nchini Russia kujadiliana na wenzao wa chama tawala cha nchi hiyo kinachoongozwa na Rais Vladimir Putin juu ya namna ya "kurekebisha upya Nidhamu ya Kimataifa" (Global Order).

  • Russia yapinga vitendo vya uchochezi vya Marekani nchini Syria

    Russia yapinga vitendo vya uchochezi vya Marekani nchini Syria

    Apr 02, 2023 04:35

    Kamanda wa ngazi za juu nchini Russia alitangaza siku ya Ijumaa kuwa Moscow iimelalmikia "vitendo vya uchochezi" vya vikosi vamizi vya Marekani nchini Syria.

  • kufutwa sarafu ya dola katika mabadilishano ya kibiashara kati ya Brazil na China

    kufutwa sarafu ya dola katika mabadilishano ya kibiashara kati ya Brazil na China

    Apr 01, 2023 22:53

    Serikali za Brazil na China Jumatano, Machi 29, zilitangaza makubaliano ambapo dola ya Marekani utatupiliwa mbali na kuondolewa katika miamala ya kibiashara kati ya nchi hizo mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS