Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia yaionya vikali Israel dhidi ya kuipa silaha Ukraine

    Russia yaionya vikali Israel dhidi ya kuipa silaha Ukraine

    Oct 18, 2022 04:10

    Rais wa zamani wa Russia ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel na kuutaka usithubutu kuipa silaha Ukraine.

  • Putin: NATO inaingilia mambo ya ndani ya mataifa mengi duniani

    Putin: NATO inaingilia mambo ya ndani ya mataifa mengi duniani

    Oct 13, 2022 23:15

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, jeshi la nchi za Magharibi NATO linaingilia mambo ya ndani ya nchi nyingi duniani kinyume cha sheria.

  • Russia yaiweka kampuni ya Meta kwenye orodha ya makundi ya kigaidi

    Russia yaiweka kampuni ya Meta kwenye orodha ya makundi ya kigaidi

    Oct 11, 2022 23:38

    Russia imeiweka kampuni ya Marekani ya Meta, mmiliki wa mitandao ya kijamii ya Facebook, Instagram na WhatsApp, kwenye orodha ya makundi ya kigaidi.

  • Nchi za Magharibi zashindwa kuitenga Russia

    Nchi za Magharibi zashindwa kuitenga Russia

    Oct 10, 2022 21:50

    Kufuatia kuzorota hali ya uchumi na usalama barani Ulaya, tofauti za mitazamo kuhusu sera za nje na usalama wa bara Ulaya zimeongezeka, hasa kuhusiana na suala la Russia. Huku viongozi wa Ulaya wakizungumzia siasa za kuitenga Russia, baadhi ya wanasiasa wa bara hilo wanaonya dhidi ya kukatwa kabisa uhusiano na nchi hiyo.

  • Pentagon: Hakuna dalili kwamba Putin anataka kutumia silaha za nyuklia

    Pentagon: Hakuna dalili kwamba Putin anataka kutumia silaha za nyuklia

    Oct 08, 2022 23:25

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani imetangaza kuwa hakuna dalili kwamba Rais wa Russia ana mpango wa kutumia silaha za nyuklia.

  • Russia: Rais wa Ukraine anachochea vita vya tatu vya dunia

    Russia: Rais wa Ukraine anachochea vita vya tatu vya dunia

    Oct 07, 2022 08:00

    Ikulu ya Russia, Kremlin imemshutumu Rais Vladimir Zelensky wa Ukraine kwa kujaribu kuzusha vita vya tatu vya dunia, baada ya kulitaka shirika la kijeshi la NATO lianzishe mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Russia ili kuizuia isitumie silaha za nyuklia.

  • Waziri Mkuu wa Ufaransa: Russia itabaki kuwa dola kuu lenye nguvu

    Waziri Mkuu wa Ufaransa: Russia itabaki kuwa dola kuu lenye nguvu

    Oct 04, 2022 22:37

    Waziri Mkuu wa Ufaransa Elizabeth Bourne amesema: Russia ilikuwa na itaendelea kuwa dola kuu lenye nguvu, na wala haitaweza kupuuzwa hata baada ya vita vya Ukraine.

  • Lavrov: Marekani inaisambaratisha Ukraine kwa ajili ya kuishinikiza Russia

    Lavrov: Marekani inaisambaratisha Ukraine kwa ajili ya kuishinikiza Russia

    Oct 03, 2022 22:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, Marekani inasababisha kupata hasara kubwa na kusambaratishwa Ukraine kwa ajili ya kutoa vitisho kwa Russia.

  • Umoja wa Ulaya wapendekeza kifurushi cha vikwazo vipya dhidi ya Russia

    Umoja wa Ulaya wapendekeza kifurushi cha vikwazo vipya dhidi ya Russia

    Sep 29, 2022 04:27

    Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya jana usiku alipendekeza duru mpya ya vikwazo dhidi ya Moscow; vikiwemo vikwazo katika bei ya mafuta na kuizuia Russia kuuza mafuta yake ya kiasi cha dola bilioni 7.

  • Russia na  China zinataka kuachiliwa fedha za Afghanistan zilizozuiwa

    Russia na China zinataka kuachiliwa fedha za Afghanistan zilizozuiwa

    Sep 29, 2022 04:23

    Wawakilishi wa Russia na China wametaka kuachiwa huru fedha zote za Afghanistan zilizozuiwa. Wamebainisha hayo katika kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS