Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • 13 wauawa, 21 wajeruhiwa katika shambulio la ufyatuaji risasi kwenye skuli moja ya Russia

    13 wauawa, 21 wajeruhiwa katika shambulio la ufyatuaji risasi kwenye skuli moja ya Russia

    Sep 26, 2022 07:32

    Polisi ya Russia imetangaza kuwa watu 13 wameuawa na wengine 21 wamejeruhiwa katika shambulio la ufyatuaji risasi lililotokea kwenye skuli moja kusini mwa nchi hiyo.

  • Hotuba ya Biden katika Umoja wa Mataifa na lawama zisizo na msingi kuhusu masuala mbalimbali

    Hotuba ya Biden katika Umoja wa Mataifa na lawama zisizo na msingi kuhusu masuala mbalimbali

    Sep 23, 2022 03:33

    Katika hotuba yake kwenye Baraza Kuu la 77 la Umoja wa Mataifa siku ya Jumatano, Rais Joe Biden wa Marekani aliashiria masuala mbalimbali na kufafanua msimamo wa Washington kuhusu masuala hayo.

  • Uchunguzi wa maoni: Nusu ya wananchi wa Russia hawaoni kuwepo tishio la kushambuliwa kijeshi nchi yao

    Uchunguzi wa maoni: Nusu ya wananchi wa Russia hawaoni kuwepo tishio la kushambuliwa kijeshi nchi yao

    Sep 21, 2022 22:36

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni huko Russia unaonyesha kuwa asilimia 50 ya wananchi wa Russia wanaamini kuwa hakuna kitisho chochote cha kushambuliwa kijeshi nchi hiyo.

  • Upinzani wa marais wa Russia na China dhidi ya ulimwengu wa kambi moja

    Upinzani wa marais wa Russia na China dhidi ya ulimwengu wa kambi moja

    Sep 16, 2022 20:53

    Rais wa Russia, Vladimir Putin, alisema Alkhamisi iliyopita katika mazungumzo yake na mwenzake wa China Xi Jinping yaliyofanyika kando ya mkutano wa kilele wa "Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai" huko Samarkand, nchini Uzbekistan kwamba jitihada za kuunda ulimwengu wa kambi moja hazikubalika.

  • Rais Putin: Kampuni kubwa 80 za Russia kwenda Iran wiki ijayo

    Rais Putin: Kampuni kubwa 80 za Russia kwenda Iran wiki ijayo

    Sep 15, 2022 23:37

    Rais Vladmir Putin wa Russia amesema Moscow imefanya kila iwezalo kuhakikisha kuwa Iran inakua mwanachama kamili wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO).

  • Ombi la kuilazimisha Marekani itimize wajibu wake wa uenyeji wa Umoja wa Mataifa

    Ombi la kuilazimisha Marekani itimize wajibu wake wa uenyeji wa Umoja wa Mataifa

    Sep 13, 2022 00:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema katika mahojiano kwamba Marekani na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres wana wajibu wa kuhakikisha ushiriki wa wawakilishi wote wa nchi wanachama katika mikutano ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa unatimia.

  • Ugiriki: Vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia vimetudhuru wenyewe

    Ugiriki: Vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia vimetudhuru wenyewe

    Sep 12, 2022 02:32

    Waziri Mkuu wa Ugiriki amesema kuwa, vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Moscow vimetoa pigo la kiuchumi kwa nchi zenyewe za Ulaya kabla ya hata Russia.

  • Ujumbe wa ngazi za juu wa HAMAS wawasili katika mji mkuu wa Russia, Moscow

    Ujumbe wa ngazi za juu wa HAMAS wawasili katika mji mkuu wa Russia, Moscow

    Sep 11, 2022 03:03

    Ujumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS umewasili katika mji mkuu wa Russia, Moscow.

  • Kwa nini Biden amekataa kuitangaza Russia kuwa ni nchi inayofadhili ugaidi?

    Kwa nini Biden amekataa kuitangaza Russia kuwa ni nchi inayofadhili ugaidi?

    Sep 08, 2022 22:15

    Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Marekani, White House, Karine Jean-Pierre alitangaza Jumanne wiki hii kwamba uamuzi wa Joe Biden wa kutoitangaza Russia kuwa ni mfadhili ugaidi ni wa mwisho.

  • Zakharova: Kuchaguliwa Truss ni ishara ya mgogoro wa demokrasia nchini Uingereza

    Zakharova: Kuchaguliwa Truss ni ishara ya mgogoro wa demokrasia nchini Uingereza

    Sep 07, 2022 22:19

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia amesema kuwa kuchaguliwa Liz Truss kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza ni ishara ya mgogoro katika demokrasia ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS