-
Russia and China: Shughuli za kibaolojia za Marekani zimeuweka hatarini usalama wa dunia
Oct 08, 2021 23:58Russia na China zimetoa taarifa ya pamoja zikikosoa shughuli za vituo vya kibaolojia vya Marekani na kusema vinauweka hatarini usalama wa dunia.
-
Russia: Matatizo ya bara la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika
Oct 07, 2021 23:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, matatizo ya baraza la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika na akaongeza kwamba Russia inaweza kuandaa mazingira ya kuwekwa askari wa kulinda amani barani humo.
-
Russia: OPCW imekuwa fimbo ya kisiasa ya Wamagharibi dhidi ya nchi nyingine
Oct 05, 2021 23:35Naibu mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuzuia Matumizi ya Silaha za Kemikali (OPCW) linaelekea kuwa wenzo wa kisiasa unaotumiwa na nchi za Magharibi kwa ajili ya kuzinyanyasa nchi nyingine.
-
Lavrov: Kuna tishio la kigaidi huko Idlib, Syria
Oct 04, 2021 22:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa kuna tishio la kigaidi katika mkoa wa Idlib kaskazini mwa Syria na kwamba tishio hilo linaongezeka pia katika baadhi ya maeneo nchini humo.
-
Russia: Marekan inawahamishia Afghanistan magaidi wa Daesh
Oct 03, 2021 01:09Naibu Kamanda wa Wilaya ya Kati ya Jeshi la Russia amesema kuwa jeshi la Marekani linawahamisha magaidi walioko Syria na kuwapeleka Afghanistan.
-
Baada ya kuzozana na Ufaransa, Mali yaamua kununua silaha kutoka Russia
Oct 02, 2021 09:53Wakuu wa kijeshi nchini Mali wametangaza habari ya kuwasili nchini humo silaha kutoka Russia. Hatua hiyo imekuja baada ya kushadidi mzozo baina ya Mali na mkoloni kizee wa Ulaya, yaani Ufaransa.
-
Putin asisitiza kuendelezwa mashirikiano ya pamoja kati ya Russia na China
Oct 01, 2021 09:46Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza kuendelezwa mashirikiano ya pamoja baina ya nchi yake na China.
-
Marekani yatoa onyo kwa Uturuki dhidi ya kununua tena silaha kutoka Russia
Sep 27, 2021 22:55Marekani imesema kuna uwezekano wa kuiwekea Uturuki vikwazo vipya kwa sababu ya ununuzi wa mtambo wa ulinzi wa anga wa S-400 kutoka Russia.
-
Taliban yasisitiza nia yake ya kustawisha uhusiano na Iran na Russia
Sep 25, 2021 03:50Msemaji wa kundi la Taliban ametaka kustawishwa uhusiano wa pande mbili kati ya kundi hilo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia.
-
Baada ya kuongezeka mzozo, wakuu wa majeshi ya Marekani na Russia wakutana Finland
Sep 23, 2021 01:07Baada ya kupamba moto mzozo katika uhusiano wa Marekani na Russia na kuingia kwenye hatua hatari na kufikia hadi viongozi wa Washington kusema kuwa Russia ni adui mkubwa wa Marekani kuliko China, juhudi za kupunguza mivutano hiyo zimeanza kuchukuliwa kupitia kukutanishwa wakuu wa majeshi ya nchi hizo mbili katika mji mkuu wa Finland, Halsinki.