Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Russia

  • Russia and China: Shughuli za kibaolojia za Marekani zimeuweka hatarini usalama wa dunia

    Russia and China: Shughuli za kibaolojia za Marekani zimeuweka hatarini usalama wa dunia

    Oct 08, 2021 23:58

    Russia na China zimetoa taarifa ya pamoja zikikosoa shughuli za vituo vya kibaolojia vya Marekani na kusema vinauweka hatarini usalama wa dunia.

  • Russia: Matatizo ya bara la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika

    Russia: Matatizo ya bara la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika

    Oct 07, 2021 23:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, matatizo ya baraza la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika na akaongeza kwamba Russia inaweza kuandaa mazingira ya kuwekwa askari wa kulinda amani barani humo.

  • Russia: OPCW imekuwa fimbo ya kisiasa ya Wamagharibi dhidi ya nchi nyingine

    Russia: OPCW imekuwa fimbo ya kisiasa ya Wamagharibi dhidi ya nchi nyingine

    Oct 05, 2021 23:35

    Naibu mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuzuia Matumizi ya Silaha za Kemikali (OPCW) linaelekea kuwa wenzo wa kisiasa unaotumiwa na nchi za Magharibi kwa ajili ya kuzinyanyasa nchi nyingine.

  • Lavrov: Kuna tishio la kigaidi huko Idlib, Syria

    Lavrov: Kuna tishio la kigaidi huko Idlib, Syria

    Oct 04, 2021 22:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa kuna tishio la kigaidi katika mkoa wa Idlib kaskazini mwa Syria na kwamba tishio hilo linaongezeka pia katika baadhi ya maeneo nchini humo.

  • Russia: Marekan inawahamishia Afghanistan magaidi wa Daesh

    Russia: Marekan inawahamishia Afghanistan magaidi wa Daesh

    Oct 03, 2021 01:09

    Naibu Kamanda wa Wilaya ya Kati ya Jeshi la Russia amesema kuwa jeshi la Marekani linawahamisha magaidi walioko Syria na kuwapeleka Afghanistan.

  • Baada ya kuzozana na Ufaransa, Mali yaamua kununua silaha kutoka Russia

    Baada ya kuzozana na Ufaransa, Mali yaamua kununua silaha kutoka Russia

    Oct 02, 2021 09:53

    Wakuu wa kijeshi nchini Mali wametangaza habari ya kuwasili nchini humo silaha kutoka Russia. Hatua hiyo imekuja baada ya kushadidi mzozo baina ya Mali na mkoloni kizee wa Ulaya, yaani Ufaransa.

  • Putin asisitiza kuendelezwa mashirikiano ya pamoja kati ya Russia na China

    Putin asisitiza kuendelezwa mashirikiano ya pamoja kati ya Russia na China

    Oct 01, 2021 09:46

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza kuendelezwa mashirikiano ya pamoja baina ya nchi yake na China.

  • Marekani yatoa onyo kwa Uturuki dhidi ya kununua tena silaha kutoka Russia

    Marekani yatoa onyo kwa Uturuki dhidi ya kununua tena silaha kutoka Russia

    Sep 27, 2021 22:55

    Marekani imesema kuna uwezekano wa kuiwekea Uturuki vikwazo vipya kwa sababu ya ununuzi wa mtambo wa ulinzi wa anga wa S-400 kutoka Russia.

  • Taliban yasisitiza nia yake ya kustawisha uhusiano na Iran na Russia

    Taliban yasisitiza nia yake ya kustawisha uhusiano na Iran na Russia

    Sep 25, 2021 03:50

    Msemaji wa kundi la Taliban ametaka kustawishwa uhusiano wa pande mbili kati ya kundi hilo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia.

  • Baada ya kuongezeka mzozo, wakuu wa majeshi ya Marekani na Russia wakutana Finland

    Baada ya kuongezeka mzozo, wakuu wa majeshi ya Marekani na Russia wakutana Finland

    Sep 23, 2021 01:07

    Baada ya kupamba moto mzozo katika uhusiano wa Marekani na Russia na kuingia kwenye hatua hatari na kufikia hadi viongozi wa Washington kusema kuwa Russia ni adui mkubwa wa Marekani kuliko China, juhudi za kupunguza mivutano hiyo zimeanza kuchukuliwa kupitia kukutanishwa wakuu wa majeshi ya nchi hizo mbili katika mji mkuu wa Finland, Halsinki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS