Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Vikao vya Bunge la Afrika vyaanza mjini Kigali Rwanda + Sauti

    Vikao vya Bunge la Afrika vyaanza mjini Kigali Rwanda + Sauti

    Oct 22, 2018 13:32

    Bunge la Afrika limefungua kikao chake cha wiki mbili mjini Kigali Rwanda ambapo kwa muda wa wiki mbili wabunge wake watajadili mambo kadhaa kuhusu demokrasia,uongozi bora na kurahisisha mafungamano ya biashara baina ya waafrika wenyewe. Ni kikao kilichofunguliwa na Rais Paul Kagame wa Rwanda ambaye pia ni mwenyekiti wa Umoja wa Afrika.

  • SAUTI, Waliohusika na mauaji ya kimbari ya 1994 nchini Rwanda sasa kuanza kusakwa kwa udi na uvumba

    SAUTI, Waliohusika na mauaji ya kimbari ya 1994 nchini Rwanda sasa kuanza kusakwa kwa udi na uvumba

    Oct 16, 2018 14:33

    Bunge la Rwanda limeanzisha zoezi la kuihoji tume ya taifa ya nchi hiyo inayoshughulikia faili la mauaji ya kimbari ya 1994, juu ya idadi kubwa ya watu waliokutikana na hatia ya mauaji hayo na kukwepa mkono wa sheria.

  • Ubelgiji yakubali kuirejeshea Rwanda sehemu ya utajiri wake wa kihistoria + Sauti

    Ubelgiji yakubali kuirejeshea Rwanda sehemu ya utajiri wake wa kihistoria + Sauti

    Oct 15, 2018 23:31

    Kwa mara ya kwanza Ubelgiji imekubali kuirejeshea Rwanda baadhi ya nyaraka na turadhi za kihistoria za kabla, wakati na baada ya ukoloni. Ubelgiji ni moja ya madola ya Ulaya yaliyozikoloni kidhulma nchi za Afrika na kupora utajiri mkubwa wa nchi za bara hilo. Mwandishi wetu Sylvanus Karemera na ripoti zaidi

  • Hadithi ya Uongofu (129)

    Hadithi ya Uongofu (129)

    Oct 12, 2018 05:46

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu.

  • SAUTI, Serikali ya Rwanda kwa kushirikiana na UNHCR zimeanza kuwapatia wakimbizi vibali vya kusafiria nje ya nchi

    SAUTI, Serikali ya Rwanda kwa kushirikiana na UNHCR zimeanza kuwapatia wakimbizi vibali vya kusafiria nje ya nchi

    Oct 11, 2018 12:44

    Kwa mara ya kwanza serikali ya Rwanda imeanza kutoa vibali vya kusafiria 'pasipoti' kwa wakimbizi wote walioko nchi hiyo.

  • Chama cha FDU-Inkingi nchini Rwanda chakataa taarifa ya serikali kuwa kiongozi wa chama hicho ametoroka jela

    Chama cha FDU-Inkingi nchini Rwanda chakataa taarifa ya serikali kuwa kiongozi wa chama hicho ametoroka jela

    Oct 09, 2018 13:00

    Chama cha upinzani cha FDU-Inkingi nchini Rwanda kimepinga taarifa ya serikali kwamba, kiongozi namba mbili wa chama hicho, Boniface Twagirimana, alitoroka jela kwa kuruka ukuta.

  • Mkosoaji mkubwa wa Rais Kagame wa Rwanda, Diane Rwigara aachiwa huru

    Mkosoaji mkubwa wa Rais Kagame wa Rwanda, Diane Rwigara aachiwa huru

    Oct 05, 2018 11:54

    Vyombo vya Mahakama nchini Rwanda vimemuachia huru kwa dhamana mwanasiasa wa upinzani na mkosoaji mashuhuri wa Rais Paul Kagame wa nchi hiyo Diane Rwigara, ingawaje kwa masharti.

  • Ulimwengu wa Michezo, Sep 10

    Ulimwengu wa Michezo, Sep 10

    Sep 09, 2018 23:38

    Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa

  • AU: Uchaguzi wa bunge la Rwanda ulikuwa huru na wa haki

    AU: Uchaguzi wa bunge la Rwanda ulikuwa huru na wa haki

    Sep 07, 2018 09:55

    Mkuu wa Timu ya uangalizi wa uchaguzi ya Umoja wa Afrika Bi. Aichatou Mindaoudou Souleymane, amesema kuwa, uchaguzi wa bunge la Rwanda umefanyika kwa uhuru na haki.

  • SAUTI, Kura za uchaguzi wa bunge uliofanyika nchini Rwanda leo, zimeanza kuhesabiwa, chama tawala kinaongoza

    SAUTI, Kura za uchaguzi wa bunge uliofanyika nchini Rwanda leo, zimeanza kuhesabiwa, chama tawala kinaongoza

    Sep 03, 2018 11:58

    Zoezi la kuhesabu kura za uchaguzi wa bunge uliofanyika mapema leo nchini Rwanda limeanza na chama ambapo chama tawala cha RPF kinaonekana kuongoza matokeo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS