Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Mtuhumiwa na mauaji ya kimbari ya Rwanda akabidhiwa kwa mahakama ya nchi hiyo

    Mtuhumiwa na mauaji ya kimbari ya Rwanda akabidhiwa kwa mahakama ya nchi hiyo

    Mar 20, 2016 22:16

    Ladislas Ntaganzwa ambaye anayetuhumiwa kuhusika na mauaji ya kimbari yaliyofanyika mwaka 1994 nchini Rwanda jana alikabidhiwa kwa vyombo vya mahakama ya nchi hiyo baada ya kukamatwa nchini Congo DR mwaka jana.

  • Rwanda na Guinea Conakry kuimarisha uhusiano wao

    Rwanda na Guinea Conakry kuimarisha uhusiano wao

    Mar 10, 2016 04:37

    Rwanda na Guinea Conakry zimesaini mikataba takriban saba ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika nyuga tofauti.

  • Nchi za Afrika Mashariki kupiga marufuku mitumba

    Nchi za Afrika Mashariki kupiga marufuku mitumba

    Feb 27, 2016 22:59

    Viongozi wa nchi za Afrika Mashariki watakutana Arusha, Tanzania Jumatano ijayo kujadili upigaji marufuku uingizaji wa nguo zilizotumika au mitumba, magari yaliyotumika na bidhaa za ngozi kutoka nje ya eneo eneo hilo.

  • Rwanda yataka wakimbizi wa Burundi waondoke

    Rwanda yataka wakimbizi wa Burundi waondoke

    Feb 24, 2016 07:09

    Rwanda imesema ni lazima wakimbizi wa Burundi walioko kwenye nchi hiyo wahamishiwe kwenye nchi ya tatu.

  • Rwanda na Tanzania zaahidi kuboresha uhusiano

    Rwanda na Tanzania zaahidi kuboresha uhusiano

    Feb 19, 2016 04:11

    Serikali za Rwanda zimetangaza azma ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa pande mbili, kikanda na kimataifa na kuweka kando hitilafu zilizolemaza muamala wa pande mbili hizo katika miaka ya hivi karibuni.

  • Matatizo ya wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania

    Matatizo ya wakimbizi wa Burundi nchini Tanzania

    Feb 18, 2016 21:57

    Karibu wakimbizi 130,000 kutoka Burundi wameingia Tanzania kufuatia mgogoro unaoendelea ndani ya nchi yao.

  • Paspoti za kielektroniki kuzinduliwa Afrika Mashariki

    Paspoti za kielektroniki kuzinduliwa Afrika Mashariki

    Feb 17, 2016 03:55

    Raia wa Nchi za Afrika Mashariki wataanza kutumia paspoti za kielektroniki ambazo zitatumika kurahisisha usafiri kwa wananchi wa eneo hilo.

  • Warundi waandamana kulaani 'hujuma' ya Rwanda

    Warundi waandamana kulaani 'hujuma' ya Rwanda

    Feb 13, 2016 11:57

    Katika kile kinachoonekana ni kuzidi kuharibika uhusiano kati ya Kigali na Bujumbura, maelfu ya wananchi wa Burundi wamefanya maandamano kuilaani Rwanda kwa kile wanachodai kuwa inafanya hujuma ya moja kwa moja dhidi ya nchi yao.

  • Rwanda 'kuwatimua' wakimbizi wa Burundi

    Rwanda 'kuwatimua' wakimbizi wa Burundi

    Feb 12, 2016 04:48

    Rwanda imesema itaanza kukabidhi wakimbizi raia wa Burundi walioko nchini humo kwa nchi ambazo ziko tayari kuwapokea.

  • Rwanda yakanusha kuwasaidia waasi wa Burundi (Sauti)

    Rwanda yakanusha kuwasaidia waasi wa Burundi (Sauti)

    Feb 11, 2016 14:46

    Kwa mara ya kwanza tangu Rwanda iliposhutumiwa na Umoja wa Mataifa kuwa inawaunga mkono waasi ambao Burundi inasema wanahatarisha usalama wake, serikali ya Kigali imekanusha rasmi madai hayo

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS