Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Upinzani DRC wakosoa vikali mikakati ya Rais Tshisekedi ya kukabiliana na Rwanda

    Upinzani DRC wakosoa vikali mikakati ya Rais Tshisekedi ya kukabiliana na Rwanda

    Aug 07, 2022 02:59

    Wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamemlaumu vikali Rais Felix Tshisekedi na mikakati yake ya kuamiliana na Rwanda kufuatia ripoti iliyotolewa hivi karibuni na wataalamu wa Umoja wa Mataifa inayoeleza kwamba serikali ya Kigali imekuwa ikilisaidia na kuliunga mkono kundi la waasi wa M23 linalopigana na serikali ya Kinshasa.

  • Wataalamu wa UN: Rwanda inawaunga mkono waasi wa M23 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Wataalamu wa UN: Rwanda inawaunga mkono waasi wa M23 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

    Aug 05, 2022 08:13

    Vikosi vya jeshi la Rwanda viliwashambulia askari ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na vililisaidia na kulipatia na silaha kundi la waasi wa M23.

  • Kagame asema atagombea tena urais wa Rwanda 2024

    Kagame asema atagombea tena urais wa Rwanda 2024

    Jul 10, 2022 02:46

    Rais Paul Kagame wa Rwanda, ambaye amekuweko madarakani tangu yalipohitimishwa mauaji ya kimbari nchini humo mwaka 1994, amedokeza kuwa atagombea tena urais katika uchaguzi unaotazamiwa kufanyika 2024.

  • Waasi wa M23: Makubaliano ya DRC na Rwanda hayatuhusu

    Waasi wa M23: Makubaliano ya DRC na Rwanda hayatuhusu

    Jul 08, 2022 10:04

    Kundi la waasi wa M23 linaloendesha harakati zake mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limesema halitaheshimu wala kufungamana na makubaliano ya usitishaji vita yaliyoafikiwa Jumatano baina ya viongozi wa DRC na Rwanda.

  • DRC na Rwanda zakubaliana kupunguza mivutano kwa sababu ya waasi wa M23

    DRC na Rwanda zakubaliana kupunguza mivutano kwa sababu ya waasi wa M23

    Jul 07, 2022 11:25

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC na Rwanda zimekubaliana kutekeleza "mchakato wa kupunguza mvutano" baina yao kufuatia mazungumzo ya siku moja yaliyofanywa na marais wa nchi hizo mbili kwa upatanishi wa rais wa Angola.

  • Marais wa Rwanda na DRC kufanya mazungumzo Luanda chini ya upatanishi wa rais wa Angola

    Marais wa Rwanda na DRC kufanya mazungumzo Luanda chini ya upatanishi wa rais wa Angola

    Jul 06, 2022 02:31

    Serikali ya Angola imesema, marais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Rwanda wanakutana leo Jumatano kwa mazungumzo ya kutafuta suluhu baina yao yatakayofanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo Luanda kwa upatanishi wa Rais Joao Lourenco.

  • Ijumaa tarehe Mosi Julai 2022

    Ijumaa tarehe Mosi Julai 2022

    Jul 01, 2022 01:01

    Leo ni Ijumaa tarehe Mosi Dhulqaada 1443 Hijria sawa na tarehe Mosi Julai 2022.

  • EAC yataka waasi wa M23 waondoke mara moja mashariki mwa DRC

    EAC yataka waasi wa M23 waondoke mara moja mashariki mwa DRC

    Jun 21, 2022 08:02

    Jumuiya ya Afrika Mashariki imelitaka kundi la waasi la M23 liondoke mara moja katika mji wa Bunagana unaodhibitiwa na wanamgambo hao, huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • DRC yafunga mpaka na Rwanda baada ya askari wake kuuawa

    DRC yafunga mpaka na Rwanda baada ya askari wake kuuawa

    Jun 18, 2022 12:27

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kufunga mpaka wake na Rwanda baada ya askari wa jeshi la DRC kuuawa kwa kupigwa risasi wakati jeshi hilo lilipowashambulia askari wanaolinda mpaka ndani ya ardhi ya Rwanda.

  • Kufuta Uingereza safari ya kwanza ya ndege ya kuwahamishia kwa lazima wakimbizi nchini Rwanda

    Kufuta Uingereza safari ya kwanza ya ndege ya kuwahamishia kwa lazima wakimbizi nchini Rwanda

    Jun 17, 2022 02:17

    Katika hali ambayo, viongozi wa Uingereza wanang'ang'ania msimamo wao wa kuhamishia nchini Rwanda wakimbizi wanaoomba hifadhi nchini humo, safari ya kwanza ya ndege ambayo ilikusudiwa na Uingereza kuwasafirisha kwa lazima wakimbizi na kuwapeleka nchini Rwanda, imeakhirishwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS