-
Upinzani DRC wakosoa vikali mikakati ya Rais Tshisekedi ya kukabiliana na Rwanda
Aug 07, 2022 02:59Wapinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamemlaumu vikali Rais Felix Tshisekedi na mikakati yake ya kuamiliana na Rwanda kufuatia ripoti iliyotolewa hivi karibuni na wataalamu wa Umoja wa Mataifa inayoeleza kwamba serikali ya Kigali imekuwa ikilisaidia na kuliunga mkono kundi la waasi wa M23 linalopigana na serikali ya Kinshasa.
-
Wataalamu wa UN: Rwanda inawaunga mkono waasi wa M23 Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Aug 05, 2022 08:13Vikosi vya jeshi la Rwanda viliwashambulia askari ndani ya ardhi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na vililisaidia na kulipatia na silaha kundi la waasi wa M23.
-
Kagame asema atagombea tena urais wa Rwanda 2024
Jul 10, 2022 02:46Rais Paul Kagame wa Rwanda, ambaye amekuweko madarakani tangu yalipohitimishwa mauaji ya kimbari nchini humo mwaka 1994, amedokeza kuwa atagombea tena urais katika uchaguzi unaotazamiwa kufanyika 2024.
-
Waasi wa M23: Makubaliano ya DRC na Rwanda hayatuhusu
Jul 08, 2022 10:04Kundi la waasi wa M23 linaloendesha harakati zake mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limesema halitaheshimu wala kufungamana na makubaliano ya usitishaji vita yaliyoafikiwa Jumatano baina ya viongozi wa DRC na Rwanda.
-
DRC na Rwanda zakubaliana kupunguza mivutano kwa sababu ya waasi wa M23
Jul 07, 2022 11:25Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC na Rwanda zimekubaliana kutekeleza "mchakato wa kupunguza mvutano" baina yao kufuatia mazungumzo ya siku moja yaliyofanywa na marais wa nchi hizo mbili kwa upatanishi wa rais wa Angola.
-
Marais wa Rwanda na DRC kufanya mazungumzo Luanda chini ya upatanishi wa rais wa Angola
Jul 06, 2022 02:31Serikali ya Angola imesema, marais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Rwanda wanakutana leo Jumatano kwa mazungumzo ya kutafuta suluhu baina yao yatakayofanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo Luanda kwa upatanishi wa Rais Joao Lourenco.
-
Ijumaa tarehe Mosi Julai 2022
Jul 01, 2022 01:01Leo ni Ijumaa tarehe Mosi Dhulqaada 1443 Hijria sawa na tarehe Mosi Julai 2022.
-
EAC yataka waasi wa M23 waondoke mara moja mashariki mwa DRC
Jun 21, 2022 08:02Jumuiya ya Afrika Mashariki imelitaka kundi la waasi la M23 liondoke mara moja katika mji wa Bunagana unaodhibitiwa na wanamgambo hao, huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
DRC yafunga mpaka na Rwanda baada ya askari wake kuuawa
Jun 18, 2022 12:27Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imetangaza kufunga mpaka wake na Rwanda baada ya askari wa jeshi la DRC kuuawa kwa kupigwa risasi wakati jeshi hilo lilipowashambulia askari wanaolinda mpaka ndani ya ardhi ya Rwanda.
-
Kufuta Uingereza safari ya kwanza ya ndege ya kuwahamishia kwa lazima wakimbizi nchini Rwanda
Jun 17, 2022 02:17Katika hali ambayo, viongozi wa Uingereza wanang'ang'ania msimamo wao wa kuhamishia nchini Rwanda wakimbizi wanaoomba hifadhi nchini humo, safari ya kwanza ya ndege ambayo ilikusudiwa na Uingereza kuwasafirisha kwa lazima wakimbizi na kuwapeleka nchini Rwanda, imeakhirishwa.