Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Kwa mara nyingine, Iran yalaani jaribio la UK la kuwahamishia wakimbizi nchini Rwanda

    Kwa mara nyingine, Iran yalaani jaribio la UK la kuwahamishia wakimbizi nchini Rwanda

    Jun 15, 2022 07:31

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa mara nyingine tena amelaani jaribio la Uingereza la kuwahamishia kwa lazima wakimbizi wa nchi hiyo huko Rwanda na kusema kuwa hiyo ni aibu ya kihistoria.

  • Uingereza yafuta safari ya kwanza ndege ya kuwahamishia kwa lazima wakimbizi nchini Rwanda

    Uingereza yafuta safari ya kwanza ndege ya kuwahamishia kwa lazima wakimbizi nchini Rwanda

    Jun 15, 2022 02:49

    Safari ya kwanza ya ndege ambayo ilikusudiwa na Uingereza kuwasafirisha kwa lazima wakimbizi na kuwapeleka nchini Rwanda, imeakhirishwa.

  • UNHCR: Sera ya Uingereza ya kuhamishia watafuta hifadhi Rwanda si sahihi

    UNHCR: Sera ya Uingereza ya kuhamishia watafuta hifadhi Rwanda si sahihi

    Jun 14, 2022 07:57

    Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR Filippo Grandi, ametupilia mbali uamuzi wa serikali ya Uingereza wa kuwahamishia Rwanda watafuta hifadhi wanaokwenda nchini humo huku akisema makubaliano hayo ya kando kati ya nchi mbili hizo ni makosa.

  • UN yajitenga na mpango wa kuwahamishia wakimbizi wa UK nchini Rwanda

    UN yajitenga na mpango wa kuwahamishia wakimbizi wa UK nchini Rwanda

    Jun 11, 2022 10:20

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limejiweka mbali na madai kuwa linaunga mkono mpango wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi na watu wanaotafuta hifadhi nchini Uingereza.

  • DRC yaituhumu Rwanda kuwa imetuma mamia ya askari nchini humo

    DRC yaituhumu Rwanda kuwa imetuma mamia ya askari nchini humo

    Jun 09, 2022 23:21

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limedai kuwa Rwanda imetuma mamia ya askari ndani ya ardhi ya nchi hiyo, huku wasiwasi na taharuki ikiendelea kushuhudiwa kati ya nchi hizo jirani na kutishia uhusiano baina yao.

  • Rwanda : Awamu ya kwanza ya wahamiaji kutoka Uingereza watawasili hivi karibuni

    Rwanda : Awamu ya kwanza ya wahamiaji kutoka Uingereza watawasili hivi karibuni

    May 20, 2022 07:30

    Waziri mkuu wa Rwanda, Edouard Ngirente, amesema awamu ya kwanza ya wahamiaji kutoka nchini Uingereza, watawasili huko Rwanda hivi karibuni, na kwamba nchi hiyo imekamilisha matayarisho ya kuwapokea.

  • Burundi: Uhusiano na Rwanda utaimarika zaidi ikitukabidhi wahusika wa jaribio la mapinduzi

    Burundi: Uhusiano na Rwanda utaimarika zaidi ikitukabidhi wahusika wa jaribio la mapinduzi

    May 15, 2022 08:06

    Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi, amesema uhusiano wa nchi yake na Rwanda utakuwa mzuri zaidi iwapo watu waliopanga na kufadhili jaribio la mapinduzi ya kijeshi ya 2015 wanaodhaniwa kuwa wako mafichoni jijini Kigali watarejeshwa mjini Gitega kufunguliwa mashtaka.

  •  Kiongozi wa upinzani Rwanda aitahadharisha nchi hiyo kuhusu kuwapokea wakimbizi wa Uingereza

    Kiongozi wa upinzani Rwanda aitahadharisha nchi hiyo kuhusu kuwapokea wakimbizi wa Uingereza

    Apr 27, 2022 11:48

    Mbunge wa upinzani nchini Rwanda amekosoa makubaliano yaliyofikiwa baina ya nchi hiyo na Uingereza kuhusu kuwahamishia Rwanda raia wanaotafuta hifadhi huko Uingereza akisema kuwa, hatua hiyo itasababisha matatizo ya bajeti na kuyumbisha jamii kwa muda mrefu.

  • Eritrea yakosoa mpango 'haramu' wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi wa Uingereza

    Eritrea yakosoa mpango 'haramu' wa kuwahamishia Rwanda wakimbizi wa Uingereza

    Apr 20, 2022 02:48

    Serikali ya Eritrea imekosoa makubaliano ya kuwahamishia Rwanda wakimbizi kutoka Uingereza ikisisitiza kuwa, mpango huo haukubaliki, unashtua na unapaswa kupingwa na kulaaniwa vikali.

  • Jamhromi: Ufaransa ilihusika moja kwa moja katika mauaji ya kimbari Rwanda

    Jamhromi: Ufaransa ilihusika moja kwa moja katika mauaji ya kimbari Rwanda

    Apr 08, 2022 03:27

    Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Ufaransa ilihusika moja kwa moja katika mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS