Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • HRW: Rwanda inawanyamazisha watumiaji wa YouTube kwa mfumo wa sheria wa ukandamizaji

    HRW: Rwanda inawanyamazisha watumiaji wa YouTube kwa mfumo wa sheria wa ukandamizaji

    Mar 16, 2022 14:12

    Viongozi wa upinzani, waandishi wa habari na watoa maoni nchini Rwanda wananyanyaswa na mamlaka za mahakama kwa hotuba na maoni wanayotoa, na hivyo kuzidisha utamaduni wa kutovumilia upinzani. Hayo yameelezwa na shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW).

  • Wanyarwanda wapatao 100 wakimbilia Kongo DR kukwepa chanjo ya Covid-19

    Wanyarwanda wapatao 100 wakimbilia Kongo DR kukwepa chanjo ya Covid-19

    Jan 13, 2022 04:12

    Raia wa Rwanda wapatao 100 wamevuka mpaka na kuingia nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kwa kile wanachosema, wanakimbia nchi yao kwa sababu ya kushurutishwa kupiga chanjo, ili kupambana na janga la Covid-19.

  • Wakazi wa Goma wapinga kupelekwa polisi wa Rwanda katika mji huo

    Wakazi wa Goma wapinga kupelekwa polisi wa Rwanda katika mji huo

    Dec 21, 2021 02:41

    Mamia ya wakazi wa mji wa Goma nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano kupinga kupelekwa askari polisi wa Rwanda katika mji huo.

  • Russia: Matatizo ya bara la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika

    Russia: Matatizo ya bara la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika

    Oct 08, 2021 02:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, matatizo ya baraza la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika na akaongeza kwamba Russia inaweza kuandaa mazingira ya kuwekwa askari wa kulinda amani barani humo.

  • 13 watiwa mbaroni Rwanda wakituhumiwa kupanga mashambulio ya

    13 watiwa mbaroni Rwanda wakituhumiwa kupanga mashambulio ya "kigaidi"

    Oct 02, 2021 07:41

    Polisi ya Rwanda imesema, imewatia mbaroni watu 13 wanaoshukiwa kupanga mashambulio ya "kigaidi" dhidi ya mji mkuu wa nchi hiyo Kigali na kuwaonyesha watuhumiwa hao kwa vyombo vya habari.

  • Rwanda yamhukumu shujaa wa

    Rwanda yamhukumu shujaa wa "Hotel Rwanda" kifungo cha miaka 25 jela kwa ugaidi

    Sep 21, 2021 07:29

    Paul Rusesabagina, nyota wa filamu iitwayo "Hotel Rwanda", aliyegeuka kuwa mkosoaji mkubwa wa serikali ya Rwanda, amehukumiwa kifungo cha miaka 25 jela baada ya kupatikana na hatia ya makosa ya ugaidi kufuatia kesi ambayo waungaji mkono wake wanasema ilikuwa ya kimaonyesho iliyochochewa na sababu za kisiasa.

  • Rwanda na Jamhuri ya Afrika ya Kati zafikia makubaliano ya kilimo + Sauti

    Rwanda na Jamhuri ya Afrika ya Kati zafikia makubaliano ya kilimo + Sauti

    Sep 15, 2021 04:24

    Nchi za Rwanda na Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) zimekubaliana kuunda tume maalumu itakayoratibu ushirikiano wa mataifa hayo mawili katika sekta ya kilimo na biashara,. Sylvanus Karemera na maelezo zaidi kutoka Kigali

  • Mkuu wa Jeshi la Polisi ya Tanzania: Polisi itakagua yanayofundishwa nyumba za ibada

    Mkuu wa Jeshi la Polisi ya Tanzania: Polisi itakagua yanayofundishwa nyumba za ibada

    Sep 11, 2021 13:30

    Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa litakuwa likipita katika nyumba za ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika madrasa na shule za Jumapili (Sunday Schools) kufahamu aina ya mafundisho yanayotolewa.

  • Rwanda yatangaza siku kumi za Lockdown kufuatia kuongezeka maambukizi ya Covid-19 + Sauti

    Rwanda yatangaza siku kumi za Lockdown kufuatia kuongezeka maambukizi ya Covid-19 + Sauti

    Jul 15, 2021 12:36

    Serikali ya Rwanda imetangaza marufuku ya kutoka nje kwa muda wa siku 10 katika mji mkuu, Kigali na wilaya nane baada ya kuripotiwa ongezeko la idadi ya vifo na wagonjwa wa COVID-19 nchini humo.

  • Alkhamisi tarehe Mosi Julai 2021

    Alkhamisi tarehe Mosi Julai 2021

    Jul 01, 2021 02:24

    Leo ni Alkhamisi tarehe 20 Dhulqaada 1442 Hijria sawa na tarehe Mosi Julai 2021.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS