Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Macron akiri, Ufaransa ilihusika katika mauaji ya kimbari ya Rwanda mwaka 1994

    Macron akiri, Ufaransa ilihusika katika mauaji ya kimbari ya Rwanda mwaka 1994

    May 28, 2021 07:12

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amekiri kwamba, nchi yake ilihusika katika mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda.

  • Rwanda mbioni kuwa nchi ya kwanza Afrika kuzalisha chanjo ya Corona

    Rwanda mbioni kuwa nchi ya kwanza Afrika kuzalisha chanjo ya Corona

    May 08, 2021 12:18

    Huku bara la Afrika likiendelea kukabiliwa na uhaba wa chanjo za Corona, Rwanda imesema inafanya mashauriano na kampuni kadhaa zinazotengeneza chanjo hizo, ili kuhakikisha zinaanza kuzalishwa katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Rwanda: Kuifunga Kigali kumezuia maambukizi ya corona kwa 72%

    Rwanda: Kuifunga Kigali kumezuia maambukizi ya corona kwa 72%

    Feb 10, 2021 02:30

    Serikali ya Rwanda imesema hatua yake ya kuweka zuio la kutoka nje katika mji mkuu Kigali kwa lengo la kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona imezaa matunda, na kwamba maambukizi ya virusi hivyo katika mji mkuu huo yamepungua kwa asilimia 72.

  • Wanaokaidi karantini ya corona Kigali Rwanda, kukiona + Sauti

    Wanaokaidi karantini ya corona Kigali Rwanda, kukiona + Sauti

    Jan 21, 2021 18:08

    Siku tatu baada ya mji mkuu wa Rwanda Kigali kuwekwa kwenye zuio la wakazi wake kukaa nyumbani, baadhi ya wananchi wameonekana kukaidi miito hiyo na polisi wameonya kuwachukulia hatua kali ikiwa wataendelea kufanya hivyo. Serikali ya Rwanda iliamua kuweka zuio la wiki mbili kwa wakazi wa mji mkuu Kigali kutokana na ongezeko la maambukizi ya kirusi cha corona. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi.

  • Rwanda na Malawi zafunga shule tena baada ya maambukizo ya corona kuongezeka

    Rwanda na Malawi zafunga shule tena baada ya maambukizo ya corona kuongezeka

    Jan 18, 2021 11:52

    Serikali za Rwanda na Malawi kuanzia leo Jumatatu zimefunga shule zikiwemo za chekechea kutokana na ongezeko la kesi za maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 katika nchi hizo.

  • Rwanda yazinduwa maabara ya kupima COVID-19 katika uwanja wa ndege wa Kigali

    Rwanda yazinduwa maabara ya kupima COVID-19 katika uwanja wa ndege wa Kigali

    Dec 26, 2020 07:27

    Wizara ya Afya ya Rwanda imezindua maabara ya kupima COVID-19 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kigali ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa wageni wanaoingia Rwanda.

  • Vipimo vya COVID-19 kupatikana kwa wingi na rahisi nchini Rwanda + Sauti

    Vipimo vya COVID-19 kupatikana kwa wingi na rahisi nchini Rwanda + Sauti

    Dec 18, 2020 13:25

    Serikali ya Rwanda imeziruhusu zahanati zote binafsi nchini humo kupima maambukizo ya kirusi cha corona tena kwa kutumia vifaa vya kisasa zaidi vinavyotoa majibu chini ya dakika 15. Rwanda inasema inafanya hivyo kukabiliana na kasi ya ongezeko zaidi la wagonjwa wa COVID-19 nchini humo. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi.

  • Vita vya kupambana na rushwa vinaendelea nchini Rwanda + Sauti

    Vita vya kupambana na rushwa vinaendelea nchini Rwanda + Sauti

    Dec 10, 2020 16:45

    Serikali ya Rwanda imesema kuwa, utashi wa serikali na mikakati inayoendelea kuwekwa, ndivyo vitakavyokuwa suluhisho la kutokomeza ulaji rushwa nchini humo. Licha ya Rwanda kutajwa na mashirika ya kimataifa kuwa miongoni mwa nchi zinazofanya vizuri kwenye mapambano ya ulaji rushwa lakini bado nchi hiyo inasema juhudi kali za kuikabili rushwa zitaendelea. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi…

  • Wamarekani wenye asili  ya Afrika wapatao 100 waiomba serikali ya Rwanda idhini ya kuishi nchini humo + SAUTI

    Wamarekani wenye asili ya Afrika wapatao 100 waiomba serikali ya Rwanda idhini ya kuishi nchini humo + SAUTI

    Dec 08, 2020 16:32

    Wamarekani wenye asili wapatao 100 wameiomba serikali ya Rwanda idhini ya kuishi nchini humo

  • Kabuga afikishwa katika Mahakama ya Umoja wa Mataifa, asema hana hatia

    Kabuga afikishwa katika Mahakama ya Umoja wa Mataifa, asema hana hatia

    Nov 12, 2020 04:21

    Mshukiwa wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda, Felicien Kabuga jana Jumatano alifikishwa katika Mahakama ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania ambapo alisisitiza kuwa hana hatia katika mashitaka ya jinai yanayomkabili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS