-
Mkuu wa Jeshi la Polisi ya Tanzania: Polisi itakagua yanayofundishwa nyumba za ibada
Sep 11, 2021 09:00Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa litakuwa likipita katika nyumba za ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika madrasa na shule za Jumapili (Sunday Schools) kufahamu aina ya mafundisho yanayotolewa.
-
Rwanda yatangaza siku kumi za Lockdown kufuatia kuongezeka maambukizi ya Covid-19 + Sauti
Jul 15, 2021 08:06Serikali ya Rwanda imetangaza marufuku ya kutoka nje kwa muda wa siku 10 katika mji mkuu, Kigali na wilaya nane baada ya kuripotiwa ongezeko la idadi ya vifo na wagonjwa wa COVID-19 nchini humo.
-
Alkhamisi tarehe Mosi Julai 2021
Jun 30, 2021 21:54Leo ni Alkhamisi tarehe 20 Dhulqaada 1442 Hijria sawa na tarehe Mosi Julai 2021.
-
Macron akiri, Ufaransa ilihusika katika mauaji ya kimbari ya Rwanda mwaka 1994
May 28, 2021 02:42Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amekiri kwamba, nchi yake ilihusika katika mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda.
-
Rwanda mbioni kuwa nchi ya kwanza Afrika kuzalisha chanjo ya Corona
May 08, 2021 07:48Huku bara la Afrika likiendelea kukabiliwa na uhaba wa chanjo za Corona, Rwanda imesema inafanya mashauriano na kampuni kadhaa zinazotengeneza chanjo hizo, ili kuhakikisha zinaanza kuzalishwa katika nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Rwanda: Kuifunga Kigali kumezuia maambukizi ya corona kwa 72%
Feb 09, 2021 23:00Serikali ya Rwanda imesema hatua yake ya kuweka zuio la kutoka nje katika mji mkuu Kigali kwa lengo la kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona imezaa matunda, na kwamba maambukizi ya virusi hivyo katika mji mkuu huo yamepungua kwa asilimia 72.
-
Wanaokaidi karantini ya corona Kigali Rwanda, kukiona + Sauti
Jan 21, 2021 14:38Siku tatu baada ya mji mkuu wa Rwanda Kigali kuwekwa kwenye zuio la wakazi wake kukaa nyumbani, baadhi ya wananchi wameonekana kukaidi miito hiyo na polisi wameonya kuwachukulia hatua kali ikiwa wataendelea kufanya hivyo. Serikali ya Rwanda iliamua kuweka zuio la wiki mbili kwa wakazi wa mji mkuu Kigali kutokana na ongezeko la maambukizi ya kirusi cha corona. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi.
-
Rwanda na Malawi zafunga shule tena baada ya maambukizo ya corona kuongezeka
Jan 18, 2021 08:22Serikali za Rwanda na Malawi kuanzia leo Jumatatu zimefunga shule zikiwemo za chekechea kutokana na ongezeko la kesi za maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 katika nchi hizo.
-
Rwanda yazinduwa maabara ya kupima COVID-19 katika uwanja wa ndege wa Kigali
Dec 26, 2020 03:57Wizara ya Afya ya Rwanda imezindua maabara ya kupima COVID-19 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kigali ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa wageni wanaoingia Rwanda.
-
Vipimo vya COVID-19 kupatikana kwa wingi na rahisi nchini Rwanda + Sauti
Dec 18, 2020 09:55Serikali ya Rwanda imeziruhusu zahanati zote binafsi nchini humo kupima maambukizo ya kirusi cha corona tena kwa kutumia vifaa vya kisasa zaidi vinavyotoa majibu chini ya dakika 15. Rwanda inasema inafanya hivyo kukabiliana na kasi ya ongezeko zaidi la wagonjwa wa COVID-19 nchini humo. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi.