Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Rwanda

  • Mkuu wa Jeshi la Polisi ya Tanzania: Polisi itakagua yanayofundishwa nyumba za ibada

    Mkuu wa Jeshi la Polisi ya Tanzania: Polisi itakagua yanayofundishwa nyumba za ibada

    Sep 11, 2021 09:00

    Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa litakuwa likipita katika nyumba za ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika madrasa na shule za Jumapili (Sunday Schools) kufahamu aina ya mafundisho yanayotolewa.

  • Rwanda yatangaza siku kumi za Lockdown kufuatia kuongezeka maambukizi ya Covid-19 + Sauti

    Rwanda yatangaza siku kumi za Lockdown kufuatia kuongezeka maambukizi ya Covid-19 + Sauti

    Jul 15, 2021 08:06

    Serikali ya Rwanda imetangaza marufuku ya kutoka nje kwa muda wa siku 10 katika mji mkuu, Kigali na wilaya nane baada ya kuripotiwa ongezeko la idadi ya vifo na wagonjwa wa COVID-19 nchini humo.

  • Alkhamisi tarehe Mosi Julai 2021

    Alkhamisi tarehe Mosi Julai 2021

    Jun 30, 2021 21:54

    Leo ni Alkhamisi tarehe 20 Dhulqaada 1442 Hijria sawa na tarehe Mosi Julai 2021.

  • Macron akiri, Ufaransa ilihusika katika mauaji ya kimbari ya Rwanda mwaka 1994

    Macron akiri, Ufaransa ilihusika katika mauaji ya kimbari ya Rwanda mwaka 1994

    May 28, 2021 02:42

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amekiri kwamba, nchi yake ilihusika katika mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 nchini Rwanda.

  • Rwanda mbioni kuwa nchi ya kwanza Afrika kuzalisha chanjo ya Corona

    Rwanda mbioni kuwa nchi ya kwanza Afrika kuzalisha chanjo ya Corona

    May 08, 2021 07:48

    Huku bara la Afrika likiendelea kukabiliwa na uhaba wa chanjo za Corona, Rwanda imesema inafanya mashauriano na kampuni kadhaa zinazotengeneza chanjo hizo, ili kuhakikisha zinaanza kuzalishwa katika nchi hiyo ya Kiafrika.

  • Rwanda: Kuifunga Kigali kumezuia maambukizi ya corona kwa 72%

    Rwanda: Kuifunga Kigali kumezuia maambukizi ya corona kwa 72%

    Feb 09, 2021 23:00

    Serikali ya Rwanda imesema hatua yake ya kuweka zuio la kutoka nje katika mji mkuu Kigali kwa lengo la kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona imezaa matunda, na kwamba maambukizi ya virusi hivyo katika mji mkuu huo yamepungua kwa asilimia 72.

  • Wanaokaidi karantini ya corona Kigali Rwanda, kukiona + Sauti

    Wanaokaidi karantini ya corona Kigali Rwanda, kukiona + Sauti

    Jan 21, 2021 14:38

    Siku tatu baada ya mji mkuu wa Rwanda Kigali kuwekwa kwenye zuio la wakazi wake kukaa nyumbani, baadhi ya wananchi wameonekana kukaidi miito hiyo na polisi wameonya kuwachukulia hatua kali ikiwa wataendelea kufanya hivyo. Serikali ya Rwanda iliamua kuweka zuio la wiki mbili kwa wakazi wa mji mkuu Kigali kutokana na ongezeko la maambukizi ya kirusi cha corona. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi.

  • Rwanda na Malawi zafunga shule tena baada ya maambukizo ya corona kuongezeka

    Rwanda na Malawi zafunga shule tena baada ya maambukizo ya corona kuongezeka

    Jan 18, 2021 08:22

    Serikali za Rwanda na Malawi kuanzia leo Jumatatu zimefunga shule zikiwemo za chekechea kutokana na ongezeko la kesi za maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 katika nchi hizo.

  • Rwanda yazinduwa maabara ya kupima COVID-19 katika uwanja wa ndege wa Kigali

    Rwanda yazinduwa maabara ya kupima COVID-19 katika uwanja wa ndege wa Kigali

    Dec 26, 2020 03:57

    Wizara ya Afya ya Rwanda imezindua maabara ya kupima COVID-19 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kigali ili kurahisisha utoaji wa huduma kwa wageni wanaoingia Rwanda.

  • Vipimo vya COVID-19 kupatikana kwa wingi na rahisi nchini Rwanda + Sauti

    Vipimo vya COVID-19 kupatikana kwa wingi na rahisi nchini Rwanda + Sauti

    Dec 18, 2020 09:55

    Serikali ya Rwanda imeziruhusu zahanati zote binafsi nchini humo kupima maambukizo ya kirusi cha corona tena kwa kutumia vifaa vya kisasa zaidi vinavyotoa majibu chini ya dakika 15. Rwanda inasema inafanya hivyo kukabiliana na kasi ya ongezeko zaidi la wagonjwa wa COVID-19 nchini humo. Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS