• HRW: Saudia inatumia mabomu ya vishada ya Marekani nchini Yemen

    HRW: Saudia inatumia mabomu ya vishada ya Marekani nchini Yemen

    May 06, 2016 23:49

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeikosoa Marekani kwa kuiuzia Saudi Arabia mabomu ya vishada yanayotumiwa na utawala huo wa kifalme dhidi ya raia wasio na hatia wa Yemen.

  • Wanajeshi wa Marekani wavamia kusini mwa Yemen

    Wanajeshi wa Marekani wavamia kusini mwa Yemen

    May 02, 2016 23:27

    Ripoti zinasema kuwa, wanajeshi wa kikosi maalumu cha Marekani wamevamia eneo la Kusini mwa Yemen kwa kisingizio cha kuwasaidia wanajeshi wa Imarati katika kile kinachodaiwa ni vita dhidi ya wanamgambo wa al Qaeda katika eneo hilo.

  • Mtawala wa Misri El Sisi aendelea kukiuka haki za binadamu

    Mtawala wa Misri El Sisi aendelea kukiuka haki za binadamu

    Apr 28, 2016 03:19

    Rais Abdel Fatah el Sisi nchini Misri ameendelea kukiuka haki za binaadamu huku akikosolewa kitaifa na kimataifa kutokana na kuendelea kuzorota hali ya mambo nchini humo.

  • Israel inawapa mafunzo askari wa Saudia

    Israel inawapa mafunzo askari wa Saudia

    Apr 26, 2016 09:52

    Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amefichua kuwa utawala haramu wa Israel unatoa mafunzo ya kijeshi kwa askari wa Saudi Arabia katika mpango wa siri wa uhusiano wa tawala hizo mbili.

  • Saudia yakiuka makubaliano ya kusitisha vita Yemen

    Saudia yakiuka makubaliano ya kusitisha vita Yemen

    Apr 23, 2016 03:21

    Raia wanne wa Yemen wameuawa shahidi akiwemo mtoto mchanga katika mashambulizi yaliyofanywa na vibaraka wa Saudi Arabia dhidi ya makazi na nyumba zao katika eneo la al Zahir kwenye mkoa wa Baidha. Hatua hiyo inatambuliwa kuwa ni ukiukwaji wa makubaliano ya kusitisha vita unaoendelea nchini Yemen.

  • Uganda: Saudia inawashikilia wanawake 12 raia wetu

    Uganda: Saudia inawashikilia wanawake 12 raia wetu

    Apr 21, 2016 10:53

    Bunge la Uganda limearifiwa kuwa wanawake 12 raia wa nchi hiyo wanashikiliwa chini ya mazingira magumu nchini Saudi Arabia.

  • Tofauti juu ya Yemen zashadidi baina ya wavamizi wa Saudia na Imarat

    Tofauti juu ya Yemen zashadidi baina ya wavamizi wa Saudia na Imarat

    Apr 19, 2016 03:34

    Duru za habari zimeripoti kuibuka tofauti kubwa baina ya nchi mbili vamizi za Saudia na Imarat kuhusiana na kadhia ya Yemen.

  • Hali yaendelea kuwa tete Misri katika kupinga uamzi wa serikali na Saudia

    Hali yaendelea kuwa tete Misri katika kupinga uamzi wa serikali na Saudia

    Apr 15, 2016 23:43

    Wizara ya Mambo ya Ndani nchini Misri imetaka polisi kuchukua hatua za dharura kwa ajili ya kuzima kwa njia yoyote ile, maandamano ya wananchi wanaopinga hatua ya Rais Abdel Fattah el-Sisi kumpa visiwa viwili vya nchi hiyo Mfalme Salman wa Saudi Arabia.

  • Misri yawaonya wanaopinga Saudia kupewa visiwa

    Misri yawaonya wanaopinga Saudia kupewa visiwa

    Apr 15, 2016 03:38

    Serikali ya Misri imesema itawachukulia hatua wanaopanga kushiriki katika maandamano ya leo Ijumaa kupinga hatua ya rais wa nchi hiyo kuipa Saudia visiwa viwili muhimu katika Bahari ya Sham.