Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Iran yajibu tuhuma za Saudia na Utawala wa Kizayuni

    Iran yajibu tuhuma za Saudia na Utawala wa Kizayuni

    Apr 15, 2016 03:14

    Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametoa jibu kali kwa matamshi yasiyo na msingi ya mabalozi wa Utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudia dhidi ya Iran.

  • Kikao cha OIC Istanbul na mifarakano inayozushwa na Saudia

    Kikao cha OIC Istanbul na mifarakano inayozushwa na Saudia

    Apr 14, 2016 07:56

    Kikao cha viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC wanakutana leo Alkhamisi na kesho Ijumaa katika mji wa Istanbul nchini Uturuki.

  • Al Sisi atetea hatua  ya kuipatia Saudia visiwa viwili

    Al Sisi atetea hatua ya kuipatia Saudia visiwa viwili

    Apr 13, 2016 10:03

    Rais wa Misri ametetea uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kuikabidhi Saudi Arabia visiwa viwili.

  • Onyo la Ansarullah kwa kutoheshimiwa usitishaji vita nchini Yemen

    Onyo la Ansarullah kwa kutoheshimiwa usitishaji vita nchini Yemen

    Apr 13, 2016 02:26

    Siku chache zikiwa zimepita tangu kutangazwa kusimamishwa vita nchini Yemen, msemaji wa harakati Ansarullah ya nchi hiyo amesema kuwa, iwapo makubaliano hayo hayataheshimiwa, basi fursa za kufanikiswa mazungumzo ya kutatua mgogoro wa nchi hiyo zitapotea.

  • Wamisri kufanyika maandamano ya kupinga makubaliano ya Cairo na Riyadh

    Wamisri kufanyika maandamano ya kupinga makubaliano ya Cairo na Riyadh

    Apr 12, 2016 11:51

    Muungano wa kitaifa unaounga mkono serikali ya kidemokrasia na kupinga mapinduzi ya jeshi nchini Misri umetaka kufanyika maandamano kote nchini humo kulalamikia hatua ya Rais wa nchi hiyo ya kuipatia Saudi Arabia visiwa viwili vya nchi hiyo.

  • Al Sisi akabiliwa na upinzani mkubwa wa Wamisri kwa hatua yake ya kuipatia Saudia visiwa viwili

    Al Sisi akabiliwa na upinzani mkubwa wa Wamisri kwa hatua yake ya kuipatia Saudia visiwa viwili

    Apr 11, 2016 23:15

    Wananchi wa Misri kuanzia wale wa matabaka ya kawaida, wanaharakati hadi maafisa wa zamani na wanasiasa wameungana katika safu moja kuonyesha kukasirishwa kwao na uamuzi wa Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi hiyo wa kuipatia Saudi Arabia visiwa viwili vilivyoko katika Bahari Nyekundu.

  • Hali mbaya na ya kutisha katika jela za Saudia

    Hali mbaya na ya kutisha katika jela za Saudia

    Apr 11, 2016 03:23

    Maafisa wa utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia wameendela kuzuia huduma ya tiba kwa wafungwa wa kisaisa wanaoshikiliwa katika jela za nchi hiyo.

  • Kuanza usitishwaji vita Yemen

    Kuanza usitishwaji vita Yemen

    Apr 11, 2016 00:17

    Usitishwaji vita unaosimamiwa na Umoja wa Mataifa Yemen ulianza jana usiku (Jumapili) kabla ya kuanza mazungumzo ya amani baina ya pande hasimu nchini Kuwait.

  • Ndege za kivita za Saudia zaua raia 5 nchini Yemen

    Ndege za kivita za Saudia zaua raia 5 nchini Yemen

    Apr 09, 2016 11:33

    Kwa akali raia watano Wayemen wameuawa kufuatia mashambulio mapya ya ndege za kivita za utawala wa Saudia katika mkoa wa Tai'zz wa kusini magharibi mwa Yemen.

  • Kukosolewa jinai zinazoendelea kufanywa na Saudia dhidi ya wananchi wa Yemen

    Kukosolewa jinai zinazoendelea kufanywa na Saudia dhidi ya wananchi wa Yemen

    Apr 03, 2016 02:37

    Mfalme Salman bin Abdul aziz wa Saudi Arabia amepuuza na kudharau maonyo yanayotolewa kimataifa yakiwemo ya asasi za kutetea haki za binadamu na kuamua kuendeleza jinai zake dhidi ya wananchi wa Yemen.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS