• Matukio ya Yemen

    Matukio ya Yemen

    Apr 01, 2016 12:24

    Jinai za muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia zimeendelea nchini Yemen kufuatia ndege za kivita za Saudia kushambulia maeneo ya makazi ya raia kusini mwa nchi hiyo.

  • Vibara 80 wa Saudia wauawa nchini Yemen

    Vibara 80 wa Saudia wauawa nchini Yemen

    Mar 20, 2016 23:04

    Jeshi la Yemen limetangaza kuwa limetoa pigo kubwa na kuwashinda vibaraka wa Saudi Arabia katika eneo la Taiz na kuua 80 miongoni mwao licha ya kusaidiwa na ndege za kivita za utawala wa kifalme wa Aal Saud na washirika wao.

  • Dunia yaendelea kulaani jinai za Saudi Arabia nchini Yemen

    Dunia yaendelea kulaani jinai za Saudi Arabia nchini Yemen

    Mar 19, 2016 13:28

    Saudi Arabia na washirika wake wameendelea kufanya jinai na mauaji ya watu wasio na hatia nchini Yemen.

  • UN: Saudia inawalenga raia katika vita  nchini Yemen

    UN: Saudia inawalenga raia katika vita nchini Yemen

    Mar 18, 2016 23:39

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu katika Umoja wa Mataifa amesema Saudia na waitifaki wake wanadondosha mabomu katika shule, mahospitali na vituo vya afya nchini Yemen.

  • Saudia imewanyonga watu 75 tangu ulipoanza mwaka huu

    Saudia imewanyonga watu 75 tangu ulipoanza mwaka huu

    Mar 18, 2016 04:36

    Wizara ya Mambo ya ndani ya Saudia imetangaza kuwa imewanyonga watu wengine wawili ambao ni raia mmoja wa nchi hiyo na mwengine wa Yemen na hivyo kuifanya idadi ya watu waliouliwa kwa njia hiyo ya kunyongwa nchini Saudia tangu mwanzoni mwa mwaka huu kufikia 75.

  • Saudia kuwapiga kalamu nyekundu Wayemeni 35 elfu

    Saudia kuwapiga kalamu nyekundu Wayemeni 35 elfu

    Mar 15, 2016 23:27

    Saudi Arabia imesema kuwa karibuni hivi itawafuta kazi raia wa Yemen wapatao 35 elfu wanaofanya kazi nchini humo.

  • Hizbollah yalaani 'hujuma' ya Jumuiya ya nchi za Kiarabu

    Hizbollah yalaani 'hujuma' ya Jumuiya ya nchi za Kiarabu

    Mar 13, 2016 04:05

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, imelaani hatua ya hivi karibuni ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuitaja harakati hiyo kuwa "kundi la kigaidi" na kusema uamuzi huo ni sawa na "tangazo la hujuma" kutoka Saudi Arabia.

  • Amnesty: Huenda Saudia ikamnyonga mpwa wa Sheikh Nimr kesho!

    Amnesty: Huenda Saudia ikamnyonga mpwa wa Sheikh Nimr kesho!

    Mar 12, 2016 11:55

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeelezea hofu yake kuwa yumkini utawala wa Saudi Arabia hapo kesho ukamnyonga Ali Nimr, mpwa wa Shahidi Sheikh Nimr Baqir al-Nimr, mwanachuoni mkuu na maarufu wa Kiislamu aliyenyongwa na watawala wa Aal-Saud mapema mwaka huu.

  • Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kwa jinai za Saudia nchini Yemen

    Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kwa jinai za Saudia nchini Yemen

    Mar 10, 2016 03:56

    Raia watatu wa Yemen wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mashambulizi ya jana Jumatano ya ndege za muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia kwenye maeneo ya makazi ya raia katika mkoa wa al Jawf, kaskazini mwa Yemen.

  • Zarif: Saudia inachochea machafuko Mashariki ya Kati

    Zarif: Saudia inachochea machafuko Mashariki ya Kati

    Mar 06, 2016 03:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema Saudi Arabia inalenga kuchochea ghasia na machafuko Mashariki ya Kati.