-
Khatibzadeh: Uhawabi ndio chimbuko la chuki na ugaidi katika eneo na nje yake
Dec 04, 2020 03:58Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, makundi yote ya kigaidi katika eneo la Asia Magharibi yamepewa mafunzo ya elimu katika madrasa zinazofadhiliwa kifedha na Saudi Arabia.
-
Baraza la Maulamaa Wakuu wa Saudia laishambulia vikali Ikhwanul Muslimin ya Misri
Nov 11, 2020 11:33Baraza la Maulamaa Wakuu wa Saudi Arabia limeiita harakati ya Kiislamu ya Ikhwanul Muslimin ya Misri "kundi la kigaidi" na kudai kwamba fikra zote za kufurutu mpaka katika Uislamu zimetokana na harakati hiyo.
-
Kukosoa Maulamaa wa Afghanistan kimya cha Saudi Arabia mbele ya kuvunjiwa heshima Bwana Mtume SAW
Nov 01, 2020 23:02Maulamaa nchini Afghanistan wamekosoa vikali kimya cha Saudi Arabia mbele ya kuvunjiwa heshima Bwana Mtume SAW.
-
Amnesty: Mwakilishi wa HAMAS aliyeko jela Saudia amewekwa kwenye mazingira yasiyo ya kibinadamu
Oct 06, 2020 00:11Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International limesema, mwakilishi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS aliyeko jela nchini Saudi Arabia anaishi kwenye mazingira yasiyo ya kibinadamu.
-
Saudia kupokea mahujaji wa ibada ya Umra mwezi mmoja ujao
Oct 03, 2020 23:16Serikali ya Saudi Arabia imetangaza kuwa itaanza kupokea mahujaji wa kigeni wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu kwa ajili ya ibada ya Umra mwezi mmoja ujao baada ya ibada hiyo kusitishwa kwa miezi 8.
-
Amir-Abdollahian: Israel inapanga njama ya kuigawanya vipande vipande Saudi Arabia
Oct 02, 2020 04:37Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesema: Utawala wa Kizayuni unapanga njama ya kuigawanya vipande vipande Saudi Arabia.
-
Bunge la Ulaya lataka kusitishwa mauzo ya silaha kwa Saudi Arabia na Imarati
Sep 15, 2020 07:30Bunge la Ulaya limetoa wito wa kupasishwa muswada wa kusitishwa uuzaji wa silaha kwa nchi za Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).
-
Mfalme wa Saudia atoa sharti kwa Marekani kabla nchi yake kuanzisha uhusiano na Israel
Sep 07, 2020 09:48Mfalme Salman bin Abdul-aziz wa Saudi Arabia amesema, nchi yake itaanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwa sharti la kuundwa kwanza nchi huru ya Palestina.
-
UN: Muungano wa Saudia ungali unaishambulia Yemen kwa mabomu yaliyopigwa marufuku
Sep 02, 2020 10:35Umoja wa Mataifa umeeleza katika ripoti kuwa, muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia unatumia mabomu yaliyopigwa marufuku ya vishada katika mashambulio yake dhidi ya mji wa al Hudaydah, magharibi mwa Yemen.
-
Amnesty yaitaka Saudia imwachie huru mwakilishi wa Hamas na mwanawe
Aug 21, 2020 07:15Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty international limeeleza wasiwasi wake kuhusu afya ya mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS, anayeshikiliwa jela nchini Saudi Arabia akisumbuliwa na ugonjwa wa saratani.