-
Human Rights Watch yakosoa kamatakamata ya wanaharakati nchini Saudia
Mar 18, 2020 03:57Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa taarifa likikosoa hatua ya serikali ya Saudi Arabia ya kuwatia nguvuni maafisa wa serikali, wanaharakati na wakosoaji wa utawala wa nchi hiyo.
-
Hamas yalaani kuendelea kushikiliwa Wapalestina nchini Saudi Arabia
Mar 09, 2020 04:26Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amelaani kutiwa mbaroni viongozi wa Wapalestina na kupandishwa kizimbani huko Saudi Arabia.
-
Shirika la ESOHR laionya Saudia isitekeleze hukumu ya kifo dhidi ya vijana watano
Mar 03, 2020 08:31Shirika moja la haki za binaadamu la barani Ulaya limetoa taarifa na kufichua kwamba Saudia inakusudia kutekeleza adhabu ya kifo dhidi ya vijana watano ambao iliwakamata wakiwa bado na umri mdogo.
-
Senegal na Saudia zaripoti kesi za kwanza za Corona, waliofariki Marekani wafika 6
Mar 03, 2020 04:00Saudi Arabia, Jordan na Tunisia ni nchi za hivi punde katika ulimwengu wa Kiarabu kuripoti kesi za kwanza za virusi vya Corona ambavyo vimeshaua watu zaidi ya elfu tatu kote duniani, hususan nchini China.
-
Kuhani mmoja Myahudi-Mzayuni akutana na mfalme wa Saudi Arabia
Feb 22, 2020 03:56Wizara ya Mambo ya Nje ya utawala wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa, kuhani mmoja Mzayuni ameonana na mfalme wa Saudi Arabia mjini Riyadh.
-
Ujerumani yaitaka Saudi Arabia ichunge haki za binadamu
Feb 22, 2020 03:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amewataka viongozi wa Saudi Arabia wafanyie marekebisho sheria zao na wachunge haki za binadamu.
-
Mousavi: Kimya cha jamii ya kimataifa kimewahamasisha watenda jinai kuuwa raia wa Yemen
Feb 16, 2020 09:55Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulio la watenda jinai wa muungano vamizi huko Yemen unaoongozwa na Saudi Arabia. Shambulio hilo lilifanywa juzi usiku na wanajeshi wa Saudia Arabia na washirika wake katika mji wa al Masloub mkoani al Jawf.
-
Saudia imeshindwa katika vita dhidi ya Yemen
Feb 16, 2020 07:30Kuvunjika makubaliano ya Riyadh, kuondoka kikamilifu askari wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kutoka Yemen na kutunguliwa ndege ya kivita aina ya Tornado ya muungano vamizi wa Saudia, kabla ya jambo lolote lile, ni mambo yanayoashiria kushindwa serikali ya Riyadh katika vita vyake vya kichokozi dhidi ya Yemen.
-
Libya: Misri, Saudia, Imarati zinavunja azimio la Baraza la Usalama
Dec 20, 2019 23:34Mwakilishi wa serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, nchi za Misri, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zinavunja azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa uungaji mkono wao kwa jenerali muasi, Khalifa Haftar.
-
Afrika Kusini yasitisha uuzaji silaha kwa Saudia, UAE
Nov 23, 2019 08:27Afrika Kusini imetangaza kuwa inasitisha uuzaji wa silaha zake kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) baada ya kubainika kuwa tawala hizo mbili zinawakabidhi wanamgambo wa Yemen baadhi ya silaha hizo na hivyo kukiuka mapatano ambayo yanazuia silaha zilizonunuliwa kutoka Afrika Kusini kufikia pande za tatu.