Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Abdul-Malik al-Houthi: Saudia na waitifaki wake wasubiri matokeo mabaya ya uvamizi wao

    Abdul-Malik al-Houthi: Saudia na waitifaki wake wasubiri matokeo mabaya ya uvamizi wao

    Nov 10, 2019 04:22

    Kiongozi wa wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameuonya vikali muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa, wavamizi hao wataendelea kuandamwa na vipigo na wajiandae kwa matokeo mabaya ya uvamizi wao.

  • Kuwait yazifikishia Saudia na Bahrain ujumbe wa amani kutoka Iran

    Kuwait yazifikishia Saudia na Bahrain ujumbe wa amani kutoka Iran

    Nov 06, 2019 04:25

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait Khaled al-Jarallah amesema nchi yake imezifikishia Saudi Arabia na Bahrain ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kutaka amani katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • Shutuma na lawama za Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki kwa Saudia na Imarati

    Shutuma na lawama za Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki kwa Saudia na Imarati

    Nov 01, 2019 04:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Mevlüt Çavuşoğlu amezikosoa na kuzilaumu Saudi Arabia na Imarati kwa sababu ya kadhia tofauti za eneo na kimataifa na akasisitiza kwamba Saudia inapasa iwajibishwe kwa kuishambulia kijeshi Yemen.

  • Mamia ya raia wa Ethiopia waondoka Saudia Arabia

    Mamia ya raia wa Ethiopia waondoka Saudia Arabia

    Oct 26, 2019 23:09

    Serikali ya Ethiopia imewaondoa mamia ya raia wake kutoka Saudi Arabia katika kipindi cha wiki za hivi karibuni.

  • Watu sita watiwa mbaroni Saudia kwa kumkosoa mpambe wa Bin Salman

    Watu sita watiwa mbaroni Saudia kwa kumkosoa mpambe wa Bin Salman

    Oct 25, 2019 23:05

    Wanaharakati wa haki za binaadamu nchini Saudia wameripoti habari ya kutiwa mbaroni na maafisa usalama wa nchi hiyo watu sita, kwa tuhuma ya kumkosoa mmoja wa watu wa karibu na Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa nchi hiyo.

  • Wapalestina waliotiwa mbaroni Saudia wakabiliwa na mateso

    Wapalestina waliotiwa mbaroni Saudia wakabiliwa na mateso

    Oct 21, 2019 23:50

    Mwanachama wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa raia wa Palestina waliokamatwa nchini Saudi Arabia wanakabiliwa na mateso mbalimbali.

  • Larijani: Marekani ndiye mchochezi mkuu wa uhasama kati ya Iran na Saudia

    Larijani: Marekani ndiye mchochezi mkuu wa uhasama kati ya Iran na Saudia

    Oct 16, 2019 01:06

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haina tatizo lolote wala haipingi mpango wowote wa kupatiwa ufumbuzi mikwaruzano na uhasama uliopo kati yake na Saudi Arabia, lakini Marekani ndiyo kizingiti kikuu katika kuafikiwa jambo hilo.

  • Saudi Arabia yaendeleza jinai dhidi ya Waislamu wa Shia maeneo ya mashariki mwa nchi

    Saudi Arabia yaendeleza jinai dhidi ya Waislamu wa Shia maeneo ya mashariki mwa nchi

    Oct 15, 2019 01:19

    Duru za habari nchini Saudi Arabia zimeeleza kwamba, tangu mwaka 2011 hadi sasa, utawala wa Aal-Saudi umewaua Waislamu wa Shia wapatao 128 katika mji wa Al Qatif mashariki mwa nchi hiyo.

  • Saudi Arabia yavunja rekodi yake ya kunyonga watu

    Saudi Arabia yavunja rekodi yake ya kunyonga watu

    Oct 07, 2019 04:25

    Katika kipindi cha miezi 9 iliyopita ya mwaka huu wa 2019, Saudi Arabia imeshatekeleza adhabu ya kifo kwa watu 160 na kuvunja rekodi yake ya huko nyuma ya kutekeleza adhabu hiyo kwa watu wengi zaidi duniani.

  • Rais wa zamani wa Benin: Saudia inawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram

    Rais wa zamani wa Benin: Saudia inawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram

    Oct 05, 2019 11:35

    Rais wa zamani wa Benin amefichua kuwa, utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia unawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram wanaoendesha vitendo vya kigaidi magharibi mwa bara la Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS