-
Abdul-Malik al-Houthi: Saudia na waitifaki wake wasubiri matokeo mabaya ya uvamizi wao
Nov 10, 2019 04:22Kiongozi wa wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ameuonya vikali muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa, wavamizi hao wataendelea kuandamwa na vipigo na wajiandae kwa matokeo mabaya ya uvamizi wao.
-
Kuwait yazifikishia Saudia na Bahrain ujumbe wa amani kutoka Iran
Nov 06, 2019 04:25Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait Khaled al-Jarallah amesema nchi yake imezifikishia Saudi Arabia na Bahrain ujumbe wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa kutaka amani katika eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Shutuma na lawama za Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki kwa Saudia na Imarati
Nov 01, 2019 04:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Mevlüt Çavuşoğlu amezikosoa na kuzilaumu Saudi Arabia na Imarati kwa sababu ya kadhia tofauti za eneo na kimataifa na akasisitiza kwamba Saudia inapasa iwajibishwe kwa kuishambulia kijeshi Yemen.
-
Mamia ya raia wa Ethiopia waondoka Saudia Arabia
Oct 26, 2019 23:09Serikali ya Ethiopia imewaondoa mamia ya raia wake kutoka Saudi Arabia katika kipindi cha wiki za hivi karibuni.
-
Watu sita watiwa mbaroni Saudia kwa kumkosoa mpambe wa Bin Salman
Oct 25, 2019 23:05Wanaharakati wa haki za binaadamu nchini Saudia wameripoti habari ya kutiwa mbaroni na maafisa usalama wa nchi hiyo watu sita, kwa tuhuma ya kumkosoa mmoja wa watu wa karibu na Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa nchi hiyo.
-
Wapalestina waliotiwa mbaroni Saudia wakabiliwa na mateso
Oct 21, 2019 23:50Mwanachama wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa raia wa Palestina waliokamatwa nchini Saudi Arabia wanakabiliwa na mateso mbalimbali.
-
Larijani: Marekani ndiye mchochezi mkuu wa uhasama kati ya Iran na Saudia
Oct 16, 2019 01:06Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu haina tatizo lolote wala haipingi mpango wowote wa kupatiwa ufumbuzi mikwaruzano na uhasama uliopo kati yake na Saudi Arabia, lakini Marekani ndiyo kizingiti kikuu katika kuafikiwa jambo hilo.
-
Saudi Arabia yaendeleza jinai dhidi ya Waislamu wa Shia maeneo ya mashariki mwa nchi
Oct 15, 2019 01:19Duru za habari nchini Saudi Arabia zimeeleza kwamba, tangu mwaka 2011 hadi sasa, utawala wa Aal-Saudi umewaua Waislamu wa Shia wapatao 128 katika mji wa Al Qatif mashariki mwa nchi hiyo.
-
Saudi Arabia yavunja rekodi yake ya kunyonga watu
Oct 07, 2019 04:25Katika kipindi cha miezi 9 iliyopita ya mwaka huu wa 2019, Saudi Arabia imeshatekeleza adhabu ya kifo kwa watu 160 na kuvunja rekodi yake ya huko nyuma ya kutekeleza adhabu hiyo kwa watu wengi zaidi duniani.
-
Rais wa zamani wa Benin: Saudia inawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram
Oct 05, 2019 11:35Rais wa zamani wa Benin amefichua kuwa, utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia unawasaidia kifedha magaidi wa Boko Haram wanaoendesha vitendo vya kigaidi magharibi mwa bara la Afrika.