Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Wayemen waushambulia tena uwanja wa ndege wa kimataifa wa Saudia; mara hii watumia droni tano

    Wayemen waushambulia tena uwanja wa ndege wa kimataifa wa Saudia; mara hii watumia droni tano

    Jun 14, 2019 02:58

    Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abha wa kusini mwa Saudi Arabia umeshambuliwa tena na jeshi na kamati za kujitolea za wananchi wa Yemen.

  • Kituo cha kidini cha Mfalme Abdullah wa Saudi Arabia mjini Vienna kupigwa kufuli rasmi

    Kituo cha kidini cha Mfalme Abdullah wa Saudi Arabia mjini Vienna kupigwa kufuli rasmi

    Jun 13, 2019 02:03

    Bange la Austria limepitisha kwa wingi wa kura mpango wa kukipiga kufuli kituo cha kidini cha Mfalme Abdullah wa Saudia mjini Vienna.

  • Wasaudia wakiri uwanja wao wa ndege umeshambuliwa kwa kombora la Yemen

    Wasaudia wakiri uwanja wao wa ndege umeshambuliwa kwa kombora la Yemen

    Jun 12, 2019 11:15

    Msemaji wa muungano vamizi wa Yemen amekiri leo kwamba jeshi na vikosi vya kujitolea vya wananchi wa Yemen wamejibu mashambulizi kwa kuupiga kwa kombora Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abha, mkoani Asir huko kusini magharibi mwa Saudi Arabia.

  • Qatar yasisitiza kuwa sera za Saudia ni haribifu katika eneo la Asia Magharibi

    Qatar yasisitiza kuwa sera za Saudia ni haribifu katika eneo la Asia Magharibi

    Jun 12, 2019 03:38

    Mohammed bin Abdulrahman bin Jassim Al Thani, Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar akiwa safarini nchini Uingereza amesema: "Saudi Arabia ni nguvu ya uharibifu katika eneo lote la Mashariki ya Kati (Asia Magharibi) na Afrika."

  • Amnesty International: Saudi arabia haipasi kumnyonga mfungwa wa kisiasa barobaro

    Amnesty International: Saudi arabia haipasi kumnyonga mfungwa wa kisiasa barobaro

    Jun 09, 2019 03:05

    Shirika la Msamaha Dunianii (Amnesty International) limeitaka Saudi Arabia isimnyonge mfungwa wa kisiasa barobaro ambaye alitiwa mbaroni akiwa na miaka 13.

  • Iran yaionya Saudi Arabia kutokana na chokochoko zake dhidi ya Tehran

    Iran yaionya Saudi Arabia kutokana na chokochoko zake dhidi ya Tehran

    Jun 04, 2019 02:39

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) katika masuala ya kimataifa ameionya Saudi Arabia iache kushirikiana na Marekani katika chokochoko zake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Vikao vya Makka; uchochezi ambao unaweka wazi kuchanganyikiwa Saudi Arabia

    Vikao vya Makka; uchochezi ambao unaweka wazi kuchanganyikiwa Saudi Arabia

    Jun 01, 2019 02:56

    Katika siku za Alhamisi na Ijumaa, Saudi Arabia iliandaa vikao vitatu katika mji mtakatifu wa Makka. Vikao hivyo vilikuwa vya kuhudumia ajinabi na maadui wa umma wa Kiislamu na wakati huo huo vimebainisha wazi kuchanganikiwa na kupoteza mwelekeo watawala wa nchi hiyo.

  • Madai ya uwongo na yasiyo na msingi wa Mfalme wa Saudi Arabia dhidi ya Iran

    Madai ya uwongo na yasiyo na msingi wa Mfalme wa Saudi Arabia dhidi ya Iran

    May 31, 2019 03:21

    Mfalme wa Saudi Arabia ameibua madai ya uwongo na yasiyo na msingi dhidi ya Iran na kuitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za kukabiliana na kile alichokitaja kuwa vitisho vya Iran.

  • Juhudi za Saudi Arabia za kufunika na kupuuza malengo ya Palestia ni kosa la kistratijia

    Juhudi za Saudi Arabia za kufunika na kupuuza malengo ya Palestia ni kosa la kistratijia

    May 31, 2019 03:06

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kwamba juhudi zinazofanywa na utawala wa Saudi Arabia na baadhi ya nchi za Kiarabu za Asia Magharibi kwa ajili ya kufunika na kupuuza malengo matukufu ya taifa la Palestina ni kosa kubwa la kistratijia.

  • Wananchi wa Sudan walizuia ndege ya Saudia kupaa katika uwanja wa ndege wa Khartoum

    Wananchi wa Sudan walizuia ndege ya Saudia kupaa katika uwanja wa ndege wa Khartoum

    May 29, 2019 23:55

    Wananchi wenye hasira kali walizuia ndege ya Saudi Arabia kupaa katika uwanja wa ndege wa Khartoum, mji mkuu wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS