Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Yemen: Tunao uwezo wa kukwamisha kazi za viwanja vya ndege vya Abu Dhabi na Riyadh

    Yemen: Tunao uwezo wa kukwamisha kazi za viwanja vya ndege vya Abu Dhabi na Riyadh

    May 25, 2019 21:59

    Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Answarullah ya Yemen amesema kuwa, kurushwa hewani video inayoonesha kushambuliwa uwanja wa ndege wa Abu Dhabi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) ni ushahidi wa nguvu za kijeshi za kujihami wananchi wa Yemen kama ambavyo pia ni ushahidi kwamba Wayemen wanao uwezo wa kukwamisha kazi za viwanja vya ndege vya Riyadh na Abu Dhabi.

  • Meli ya Saudia yaondoka Italia bila ya kuwa na shehena ya silaha

    Meli ya Saudia yaondoka Italia bila ya kuwa na shehena ya silaha

    May 22, 2019 23:52

    Meli ya kibiashara ya Saudi Arabia ambayo wiki kadhaa zilizopita iliibua mjadala mkubwa, imeng’oa nanga katika bandari ya Italia bila ya kuwa na shehena yoyote ya silaha.

  • Mhubiri wa Kiwahhabi aliyesoma Saudia akamatwa Sri Lanka, ahusishwa na ugaidi

    Mhubiri wa Kiwahhabi aliyesoma Saudia akamatwa Sri Lanka, ahusishwa na ugaidi

    May 12, 2019 10:25

    Wakuu wa Sri Lanka wamemkamata mhubiri wa Kiwahhabi aliyesoma nchini Saudi Arabia baada ya kushukiwa kuwa na mfungamano na magaidi waliotekeleza hujuma za kigaidi zilizoua mamia ya watu nchini humo mwezi jana.

  • Kuongezeka mvutano kati ya Imarati na serikali iliyojiuzulu ya Yemen

    Kuongezeka mvutano kati ya Imarati na serikali iliyojiuzulu ya Yemen

    May 10, 2019 03:12

    Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati, ambayo iko katika muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita vyake vya kivamizi dhidi ya Yemen, imeingia katika mvutano mkubwa kati yake na serikali iliyojiuzulu ya Yemen ambayo hivi sasa ingali inadhibiti eneo la kusini mwa nchi hiyo.

  • Wanaharakati wa haki za binadamu wakusanyika mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia Paris kulaani jinai za Aal Saud

    Wanaharakati wa haki za binadamu wakusanyika mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia Paris kulaani jinai za Aal Saud

    May 03, 2019 22:22

    Kundi la wanaharakati wa msuala ya haki za binadamu limekusanyika tena mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini Paris Ufaransa na kulaani jinai ya hivi karibuni ya Aal Saud ya kuwanyonga raia 37 wa nchi hiyo.

  • Ndege za kivita za kigeni zimehusika katika mashambulio ya Tripoli

    Ndege za kivita za kigeni zimehusika katika mashambulio ya Tripoli

    Apr 29, 2019 01:51

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya amesema kuwa ndege za kigeni zilishiriki katika mashambulio ya hivi karibuni katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.

  • Jumapili, tarehe 28, 2019

    Jumapili, tarehe 28, 2019

    Apr 28, 2019 23:46

    Leo ni Jumapili tarehe 22 Sha'ban 1440 Hijiria, sawa na tarehe 28 Aprili 2019 Miladia.

  • Iran yatoa onyo kwa Saudia na Bahrain zisimfuate kibubusa Trump

    Iran yatoa onyo kwa Saudia na Bahrain zisimfuate kibubusa Trump

    Apr 25, 2019 09:40

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa onyo kwa tawala za kiimla za Saudi Arabia na Bahrain zisimfuate kibubusa rais wa Marekani Donald Trump katika vikwazo vyake vya mafuta dhidi ya Iran na kuzitaka zifikirie matokeo mabaya ya hatua yao hiyo.

  • Makombora ya Ansarullah ya Yemen yanaweza kulenga maeneo muhimu Saudia, UAE

    Makombora ya Ansarullah ya Yemen yanaweza kulenga maeneo muhimu Saudia, UAE

    Apr 22, 2019 23:50

    Harakati ya wananchi ya Ansarullah nchini Yemen ambayo imekuwa ikiilinda nchi hiyo na ambayo inakabiliwa na hujuma inayoongozwa na Saudia imetahadharisha kuwa makombora yake yanaweza kulenga maeneo muhimu ya kistratijia ya Saudia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) iwapo wavamizi hao watakataa kutii mapatano ya usitishwaji vita yaliyofikiwa kupitia upatanishi wa Umoja wa Mataifa.

  • Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan apigwa kalamu nyekundu kwa mashinikizo ya Saudia na Imarati

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan apigwa kalamu nyekundu kwa mashinikizo ya Saudia na Imarati

    Apr 19, 2019 08:48

    Baraza la Kijeshi la Mpito nchini Sudan limempiga kalamu nyekundu Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo kutokana na hatua yake ya kuonyesha kuwa tayari kukutana na ujumbe wa Qatar.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS