Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Ujumbe wa Hamas uko Saudi Arabia kwa mazungumzo na serikali ya Riyadh

    Ujumbe wa Hamas uko Saudi Arabia kwa mazungumzo na serikali ya Riyadh

    Apr 18, 2023 12:10

    Ujumbe wa maafisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) uko nchini Saudi Arabia ikiwa ni safari yake ya kwanza nchini humo baada ya miaka kadhaa.

  • Safari ya Faisal al Miqdad huko Jeddah; mabadiliko katika sera za nje za Saudi Arabia

    Safari ya Faisal al Miqdad huko Jeddah; mabadiliko katika sera za nje za Saudi Arabia

    Apr 15, 2023 07:55

    Faisal al Miqdad Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amefanya ziara nchini Saudi Arabia kufuatia mwaliko rasmi wa mwenzake wa Saudi Arabia Faisal bin farhan.

  • Iraq yakaribisha taarifa ya pamoja ya Syria na Saudia

    Iraq yakaribisha taarifa ya pamoja ya Syria na Saudia

    Apr 14, 2023 07:18

    Iraq imekaribisha taarifa ya pamoja ya Syria na Saudi Arabia, iliyotolewa mwishoni mwa ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria Faisal al-Miqdad mjini Riyadh siku ya Jumatano.

  • Ansarullah yaitaka UAE kuondoa wanajeshi wake Yemen baada ya uamuzi wa Saudi wa kusitisha vita

    Ansarullah yaitaka UAE kuondoa wanajeshi wake Yemen baada ya uamuzi wa Saudi wa kusitisha vita

    Apr 08, 2023 11:00

    Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) unapaswa kuondoa wanajeshi wake kutoka Yemen baada ya Saudi Arabia kulifahamisha Baraza la Uongozi Yemen kuhusu uamuzi wa kuhitimisha vita vya miaka minane vilivyosababisha uharibifu mkubwa nchini humo.

  • Abdollahian: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia zina nia ya kustawisha uhusiano wa pande mbili

    Abdollahian: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia zina nia ya kustawisha uhusiano wa pande mbili

    Apr 06, 2023 12:52

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia wana nia ya kustawisha na kuimarisha uhusiano wa pande mbili.

  • Ripoti: Wanadiplomasia wakuu wa Iran na Saudia kukutana Beijing Alkhamisi

    Ripoti: Wanadiplomasia wakuu wa Iran na Saudia kukutana Beijing Alkhamisi

    Apr 05, 2023 12:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian na mwenzake wa Saudi Arabia, Mwanamfalme Faisal bin Farhan Al Saud, wanatazamiwa kukutana katika mji mkuu wa China, Beijing kesho Alkhamisi.

  • Iran yapongeza misimamo ya Mauritania ya kuunga mkono taifa la Palestina

    Iran yapongeza misimamo ya Mauritania ya kuunga mkono taifa la Palestina

    Apr 05, 2023 07:08

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza na kusifu misimamo ya serikali na wananchi wa Mauritania ya kuunga mkono malengo matukufu ya wananchi wa Palestina.

  • Hatua ya kwanza ya Saudi Arabia kujiunga na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai

    Hatua ya kwanza ya Saudi Arabia kujiunga na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai

    Apr 01, 2023 13:48

    Baraza la Mawaziri la Saudi Arabia limeidhinisha uamuzi wa serikali ya nchi hiyo kujiunga na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai.

  • Trump atiwa hofu na wasiwasi na muungano wa Iran, Saudia, China na Russia

    Trump atiwa hofu na wasiwasi na muungano wa Iran, Saudia, China na Russia

    Mar 26, 2023 07:09

    Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ameeleza hofu na wasi wasi alionao juu ya muungano unaoweza kuanzishwa kati ya Iran, Saudi Arabia, China na Russia.

  • Baada ya kupita miaka kumi, Saudia na Syria zinatarajia kufungua tena balozi zao

    Baada ya kupita miaka kumi, Saudia na Syria zinatarajia kufungua tena balozi zao

    Mar 24, 2023 10:01

    Televisheni ya Saudi Arabia imemnukuu afisa mmoja katika Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo na kutangaza kuwa Riyadh imeanza mazungumzo na Syria ili kuanza tena kutoa huduma za kibalozi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS