Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Maroketi ya Yemen yasambaratisha kambi ya jeshi ya Saudia, Najran

    Maroketi ya Yemen yasambaratisha kambi ya jeshi ya Saudia, Najran

    May 13, 2018 03:27

    Vikosi vya Jeshi la Yemen vimevurumisha maroketi katika kambi moja ya kijeshi ya Saudi Arabia katika mkoa wa kusini wa Najran, na kuharibu silaha nyingine kikiwemo kifaru cha kijeshi.

  • Saudia yatumia tena mabomu ya vishada 'yaliyopigwa marufuku' dhidi ya raia wa Yemen

    Saudia yatumia tena mabomu ya vishada 'yaliyopigwa marufuku' dhidi ya raia wa Yemen

    May 12, 2018 22:17

    Shirika la Habari la Al-Masdar News limeripoti kwamba, Saudia imetumia kwa mara nyingine mabomu ya vishada katika maeneo tofauti ya Yemen dhidi ya raia wa taifa hilo.

  • Kushtadi hitilafu baina ya Imarati na Saudi Arabia huko Yemen; Imarati yakivamia kisiwa cha Socotra

    Kushtadi hitilafu baina ya Imarati na Saudi Arabia huko Yemen; Imarati yakivamia kisiwa cha Socotra

    May 04, 2018 23:34

    Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) umekivamia na kukikalia kwa mabavu kisiwa cha Socotra huko Yemen na kuvifukuza vikosi vyenye mfungamano na Rais mtoro wa nchi hiyo kisiwani humo.

  • Onyo la Hizbullah ya Lebanon kwa Marekani, Israel na Saudi Arabia

    Onyo la Hizbullah ya Lebanon kwa Marekani, Israel na Saudi Arabia

    May 02, 2018 21:16

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon amesisitiza kuwa, Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel na Saudi Arabia haziwezi kukaa kimya baada ya kushindwa njama zao katika nchi za Iraq, Syria na Lebanon.

  • Yemen yaendelea kuandamwa na hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia na washirika wake

    Yemen yaendelea kuandamwa na hujuma ya kijeshi ya Saudi Arabia na washirika wake

    May 02, 2018 00:00

    Ndege za kijeshi za muungano vamizi wa Saudi Arabia zimeendelea kutenda jinai zake dhidi ya wananchi wa Yemen baada ya kushambulia kwa mabomu maeneo mbalimbali ya mkoa wa Sa'dah kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Mwanaharakati wa Kisiasa Kuwait: Saudia ndio muharibifu wa usalama Mashariki ya Kati

    Mwanaharakati wa Kisiasa Kuwait: Saudia ndio muharibifu wa usalama Mashariki ya Kati

    May 01, 2018 09:44

    Mwanaharakati mashuhuri wa kisiasa nchini Kuwait amesambaza video inayoonyesha kuwa Saudia ndiye muhusika mkuu wa machafuko eneo la Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati kwa ujumla.

  • Saudia yawatimua wafanyakazi wa kigeni baada ya kupanda gharama za vita dhidi ya Yemen

    Saudia yawatimua wafanyakazi wa kigeni baada ya kupanda gharama za vita dhidi ya Yemen

    Apr 30, 2018 22:15

    Kufuatia gharamza kubwa za vita vyake dhidi ya watu wa Yemen, sasa Saudia imelazimika kuanza kupunguza wafanyakazi wa kigeni nchini humo.

  • Safari ya Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani nchini Saudia

    Safari ya Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani nchini Saudia

    Apr 30, 2018 22:15

    Katika safari yake ya kwanza kwa ajili ya kukutana na viongozi wa nchi washirika wa Washington, Mike Pompeo, Waziri Mpya wa Mambo ya Nje wa Marekani ametembelea Riyadh, mji mkuu wa Saudia.

  • Saudia: Tunaunga mkono kuwekewa vikwazo zaidi Iran

    Saudia: Tunaunga mkono kuwekewa vikwazo zaidi Iran

    Apr 29, 2018 22:11

    Adel al Jubeir, waziri wa mambo ya nje wa Saudi Arabia amesema kuwa Riyadh inaunga mkono kuwekewa vikwazo zaidi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Jeshi la Yemen: Saudia iondoe watu kwenye ofisi za serikali na viwanda, tutalipa kisadi damu ya al-Sammad

    Jeshi la Yemen: Saudia iondoe watu kwenye ofisi za serikali na viwanda, tutalipa kisadi damu ya al-Sammad

    Apr 25, 2018 09:58

    Kamandi kuu ya jeshi la Yemen imetoa taarifa kufuatia kuuawa shahidi na muungano vamizi wa Saudia Saleh al-Sammad, Kiongozi wa Baraza Kuu la Kisiasa la nchi hiyo, na kusema Saudia inatakiwa kuhamisha watu haraka kutoka kwenye viituo vyote vya serikali, wizara na viwanda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS