Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Kiongozi wa Baraza la Kisiasa Yemen auawa katika hujuma ya Saudia

    Kiongozi wa Baraza la Kisiasa Yemen auawa katika hujuma ya Saudia

    Apr 23, 2018 12:33

    Kiongozi wa Baraza Kuu la Kisiasa Yemen, Saleh Saleh al-Sammad ameuawa katika hujuma ya ndege za kivita za Saudia Arabia katika mkoa wa al-Hudydah.

  • Utawala wa Aal Saud wawapiga marufuku mahujaji kuzuru

    Utawala wa Aal Saud wawapiga marufuku mahujaji kuzuru "Pango la Hira"

    Apr 22, 2018 03:37

    Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia imepiga marufuku mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Allah kuzuru maeneo ya Mlima Nuru na Pango la Hira.

  • Habari za kutatanisha zagubika tukio la milio ya risasi iliyosikika karibu na kasri la Mfalme wa Saudia

    Habari za kutatanisha zagubika tukio la milio ya risasi iliyosikika karibu na kasri la Mfalme wa Saudia

    Apr 22, 2018 03:29

    Baada ya kimya cha saa kadhaa cha maafisa na vyombo vya habari vya Saudi Arabia kuhusu milio mingi ya risasi iliyosikika jana usiku katika mji mkuu Riyadh, shirika rasmi la habari la nchi hiyo limedai kuwa ufyatuaji huo wa risasi uliotokea ulisababishwa na droni ndogo bandia iliyokuwa ikipaa karibu na kasri la mfalme wa nchi hiyo.

  • Maafisa wanne wa jeshi la Saudia waangamizwa katika mkoa wa 'Asir

    Maafisa wanne wa jeshi la Saudia waangamizwa katika mkoa wa 'Asir

    Apr 19, 2018 23:43

    Maafisa wanne wa jeshi la Saudi Arabia wameangamizwa katika shambulio la ufyatuaji risasi lililotokea kwenye kituo kimoja cha upekuzi mkoani 'Asir kusini magharibi mwa nchi hiyo.

  • Saudi Arabia yaendelea kuishambulia Yemen kwa mabomu yaliyopigwa marufuku

    Saudi Arabia yaendelea kuishambulia Yemen kwa mabomu yaliyopigwa marufuku

    Apr 19, 2018 09:21

    Saudi Arabia imeendelea na hujuma zake za kijeshi huko Yemen na kuendelea kutumia mabomu yaliyopigwa marufuku kimataifa.

  • Wanawake wahajiri wa Kiafrika wanadhalilishwa kingono katika jela zinazosimamiwa na Saudia na UAE, Aden

    Wanawake wahajiri wa Kiafrika wanadhalilishwa kingono katika jela zinazosimamiwa na Saudia na UAE, Aden

    Apr 19, 2018 03:21

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR yameripoti kuwa wanawake wahajiri wa Kiafrika wanakashifiwa na kudhalilishwa kingono katika mji wa Aden kusini mwa Yemen ambao unadhibitiwa na vikosi vya Imarati (UAE) na Saudi Arabia.

  • HRW: Mamluki wa Imarati wanawabaka wahajiri wa Kiafrika Yemen

    HRW: Mamluki wa Imarati wanawabaka wahajiri wa Kiafrika Yemen

    Apr 18, 2018 03:08

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema mamluki wanaofadhiliwa na kuungwa mkono na Umoja wa Falme za Kiarabu nchini Yemen wanawabaka na kuwalawiti wahajiri wa kike na kiume raia wa Afrika katika nchi hiyo masikini ya Kiarabu.

  • Jeremy Corbyn: Ishambulieni Saudia pia kwa kuwa imetumia silaha za sumu Yemen

    Jeremy Corbyn: Ishambulieni Saudia pia kwa kuwa imetumia silaha za sumu Yemen

    Apr 17, 2018 23:32

    Kiongozi wa chama cha Leba nchini Uingereza ametaka kufanywa mashambulizi ya anga kuilenga Saudia kutokana na nchi hiyo ya Kiarabu kutumia mabomu yaliyopigwa marufuku na Umoja wa Mataifa dhidi ya raia wasio na hatia nchini Yemen.

  • Saudia na Imarati zawafanya mamluki maelfu ya vijana wa Afrika

    Saudia na Imarati zawafanya mamluki maelfu ya vijana wa Afrika

    Apr 17, 2018 09:33

    Gazeti la al-Quds al-Arabi limeripoti kuwa, Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu zinataka kuwasajili maelfu ya vijana wa Kiafrika zitakaowatumia katika operesheni zao za nje ya nchi vikiwemo vita dhidi ya Yemen.

  • Morocco yaondoa ndege zake za kivita katika muungano wa Saudia dhidi ya Yemen

    Morocco yaondoa ndege zake za kivita katika muungano wa Saudia dhidi ya Yemen

    Apr 15, 2018 23:41

    Morocco inapanga kuondoa ndege zake za kivita zilizoko katika muungano wa Saudi Arabia ambao umekuwa ukiihujumu Yemen kwa zaidi ya miaka mitatu sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS