Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Saudia

  • Gholamali Khoshroo aitaka Saudi Arabia iachane na vita

    Gholamali Khoshroo aitaka Saudi Arabia iachane na vita

    Mar 28, 2018 02:51

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia uachane na hatua zake za vita.

  • Aghalabu ya wananchi wa Ufaransa wanataka nchi yao iache kuiuzia silaha Saudia

    Aghalabu ya wananchi wa Ufaransa wanataka nchi yao iache kuiuzia silaha Saudia

    Mar 26, 2018 10:31

    Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni umeonyesha kuwa asilimia 75 ya wananchi wa Ufaransa wanataka nchi yao isimamishe uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia, Imarati na nchi nyingine zinaoendesha vita haribifu huko Yemen.

  • Iraq: Saudia ituombe radhi kwa kutuma magaidi elfu 5 nchini

    Iraq: Saudia ituombe radhi kwa kutuma magaidi elfu 5 nchini

    Mar 25, 2018 06:18

    Muungano wa Utawala wa Sheria nchini Iraq umeutaka utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia uliombe radhi taifa hilo kutokana na madhara lililoyapata, kwa hatua ya Riyadh kutuma maelfu ya magaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Qassemi: Saudia ni chanzo kikuu cha ugaidi duniani

    Qassemi: Saudia ni chanzo kikuu cha ugaidi duniani

    Mar 24, 2018 02:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema Jumamosi amejibu tuhuma za hivi karibuni za Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia na kusema,"Saudi Arabia ndio chanzo kikuu cha ugaidi, ukosefu wa usalama na misimamo mikali katika eneo na dunia nzima."

  • Amnesty yalaani uuzaji wa silaha kwa Saudia, yasema Riyadh imetenda jinai za kivita Yemen

    Amnesty yalaani uuzaji wa silaha kwa Saudia, yasema Riyadh imetenda jinai za kivita Yemen

    Mar 23, 2018 09:38

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani mwenendo wa nchi za Magharibi hususan Marekani wa kuendelea kuiuzia silaha Saudi Arabia ikisisitiza kuwa utawala wa Riyadh umefanya jinai za kivita nchini Yemen.

  • Ufaransa yapewa miezi miwili isitishe uuzaji wa silaha kwa Saudia

    Ufaransa yapewa miezi miwili isitishe uuzaji wa silaha kwa Saudia

    Mar 23, 2018 02:46

    Mashirika mawili ya kutetea haki za binadamu yameipa Ufaransa makataa ya miezi miwili iache kuuuzia silaha utawala wa kifalme wa Saudi Arabia, vinginevyo yataichukulia hatua za kisheria.

  • Ndege za kivita za Saudia zaua watoto, wanawake Wayemeni mkoani Sa'ada

    Ndege za kivita za Saudia zaua watoto, wanawake Wayemeni mkoani Sa'ada

    Mar 22, 2018 11:28

    Ndege za kivita za Saudia Arabia zimedondosha mabomu katika maeneo ya raia ya mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa Yemen na kuua na kujeruhi raia 17 wakiwemo wanawake na watoto.

  • Trump aendeleza bwabwaja zake dhidi ya Iran

    Trump aendeleza bwabwaja zake dhidi ya Iran

    Mar 21, 2018 00:36

    Rais Donald Trump wa Marekani jana Jumanne alikutana na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia katika Ikulu ya White House na kukariri tena madai yasiyo na msingi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

  • Usalama wa viwanja vya ndege vya Saudia mikononi mwa shirika la Kizayuni la Israel

    Usalama wa viwanja vya ndege vya Saudia mikononi mwa shirika la Kizayuni la Israel

    Mar 20, 2018 03:52

    Ulinzi na usalama wa viwanja vya ndege vya Saudi Arabia umetiwa mikononi mwa shirika la Kizayuni la G4S kwa amri ya mfalme Salman bin Abdul Aziz wa nchi hiyo.

  • Huffington Post: Marekani inashirikiana bega kwa bega na Saudia katika jinai nchini Yemen

    Huffington Post: Marekani inashirikiana bega kwa bega na Saudia katika jinai nchini Yemen

    Mar 20, 2018 01:07

    Mtandao maarufu wa habari nchini Marekani wa Huffington Post umeandika kuwa, kitendo cha Marekani kuidhaminia silaha na zana za kijeshi na kuunga mkono ukatili wa muungano wa nchi za Kiarabu katika uvamizi wa kijeshi nchini Yemen, kimeweka wazi ushiriki wa Marekani katika jinai za kivita za Saudia dhidi ya taifa hilo la Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS