-
Gholamali Khoshroo aitaka Saudi Arabia iachane na vita
Mar 28, 2018 02:51Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia uachane na hatua zake za vita.
-
Aghalabu ya wananchi wa Ufaransa wanataka nchi yao iache kuiuzia silaha Saudia
Mar 26, 2018 10:31Uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni umeonyesha kuwa asilimia 75 ya wananchi wa Ufaransa wanataka nchi yao isimamishe uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia, Imarati na nchi nyingine zinaoendesha vita haribifu huko Yemen.
-
Iraq: Saudia ituombe radhi kwa kutuma magaidi elfu 5 nchini
Mar 25, 2018 06:18Muungano wa Utawala wa Sheria nchini Iraq umeutaka utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia uliombe radhi taifa hilo kutokana na madhara lililoyapata, kwa hatua ya Riyadh kutuma maelfu ya magaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Qassemi: Saudia ni chanzo kikuu cha ugaidi duniani
Mar 24, 2018 02:52Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema Jumamosi amejibu tuhuma za hivi karibuni za Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudia na kusema,"Saudi Arabia ndio chanzo kikuu cha ugaidi, ukosefu wa usalama na misimamo mikali katika eneo na dunia nzima."
-
Amnesty yalaani uuzaji wa silaha kwa Saudia, yasema Riyadh imetenda jinai za kivita Yemen
Mar 23, 2018 09:38Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani mwenendo wa nchi za Magharibi hususan Marekani wa kuendelea kuiuzia silaha Saudi Arabia ikisisitiza kuwa utawala wa Riyadh umefanya jinai za kivita nchini Yemen.
-
Ufaransa yapewa miezi miwili isitishe uuzaji wa silaha kwa Saudia
Mar 23, 2018 02:46Mashirika mawili ya kutetea haki za binadamu yameipa Ufaransa makataa ya miezi miwili iache kuuuzia silaha utawala wa kifalme wa Saudi Arabia, vinginevyo yataichukulia hatua za kisheria.
-
Ndege za kivita za Saudia zaua watoto, wanawake Wayemeni mkoani Sa'ada
Mar 22, 2018 11:28Ndege za kivita za Saudia Arabia zimedondosha mabomu katika maeneo ya raia ya mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa Yemen na kuua na kujeruhi raia 17 wakiwemo wanawake na watoto.
-
Trump aendeleza bwabwaja zake dhidi ya Iran
Mar 21, 2018 00:36Rais Donald Trump wa Marekani jana Jumanne alikutana na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia katika Ikulu ya White House na kukariri tena madai yasiyo na msingi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
-
Usalama wa viwanja vya ndege vya Saudia mikononi mwa shirika la Kizayuni la Israel
Mar 20, 2018 03:52Ulinzi na usalama wa viwanja vya ndege vya Saudi Arabia umetiwa mikononi mwa shirika la Kizayuni la G4S kwa amri ya mfalme Salman bin Abdul Aziz wa nchi hiyo.
-
Huffington Post: Marekani inashirikiana bega kwa bega na Saudia katika jinai nchini Yemen
Mar 20, 2018 01:07Mtandao maarufu wa habari nchini Marekani wa Huffington Post umeandika kuwa, kitendo cha Marekani kuidhaminia silaha na zana za kijeshi na kuunga mkono ukatili wa muungano wa nchi za Kiarabu katika uvamizi wa kijeshi nchini Yemen, kimeweka wazi ushiriki wa Marekani katika jinai za kivita za Saudia dhidi ya taifa hilo la Kiarabu.