-
Wasi wasi wa Saudia waipelekea ikabidhi viwanja vyake vya ndege kwa Israel
Mar 19, 2018 04:23Kufuatia wasi wasi wa uwezekano wa kutoroka nchi wanawafalme wa ukoo wa Aal-Saud, utawala wa Aal- Saud umeamua kuukabidhi utawala haramu wa Israel usimamizi wa viwanja vyake vya ndege.
-
Qassemi: Bin Salman ni mwanagenzi anayeona ndoto za mchana
Mar 16, 2018 01:27Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi yaliyojaa dharau ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia na kusema matamshi hayo ya Muhammad bin Salman hayana thamani ya kujibiwa kwa sababu ni mwanagenzi anayeona njozi na asiyejua lolote isipokuwa kusema uongo.
-
Radiamali kwa makubaliano ya kuiuzia Saudia ndege za kivita za Uingereza aina ya Typhoon
Mar 11, 2018 04:18Hatua ya kusainiwa makubaliano ya kuiuzia Saudi Arabia ndege 48 za kivita aina ya typhoon katika safari ya Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa nchi hiyo huko London imeakisiwa pakubwa na duru za kisiasa na vyombo vya habari vya ndani na nje ya Uingereza.
-
Alkhamisi tarehe 8 Machi 2018
Mar 07, 2018 22:10Leo ni Alkhamisi tarehe 19 Jamadithani 1439 Hijria sawa na Machi 8, 2018.
-
Safari ya Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia nchini Uingereza, Silaha Mkabala wa Kuunga Mkono Jinai
Mar 07, 2018 22:07Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia, Mohammad Bin Salman, Jumatano aliwasili nchini Uingereza baada ya safari hiyo kuakhirishwa mara kadhaa.
-
Bahram Qassemi ajibu tuhuma za Saudia na Misri dhidi ya Iran
Mar 07, 2018 11:47Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Bahram Qassemi sambamba na kutupilia mbali tuhuma za kujikariri dhidi ya taifa hili zilizotolewa katika ripoti ya pamoja ya Saudia na Misri, amesema kuwa tuhuma hizo hazina msingi, ni za kubuni na ni makosa haribifu ya kukaririwa.
-
Waingereza wapinga bin Salman kufanya safari London; wasema ni mtenda jinai
Mar 05, 2018 00:33Wananchi wa Uingereza wameendelea kupinga safari ya Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudia mjini London wakisema kuwa, viongozi wa nchi hiyo wanapaswa kufuta safari ya bin Salman kutokana na kutenda kwake jinai huko Yemen.
-
UN: Hali ya kimaisha ya Wayemeni ni maafa matupu
Feb 28, 2018 13:03Afisa wa operesheni za misaada ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuwa, hali ya kimaisha ya watu wa Yemen ni maafa matupu kutokana na vita vya Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo, njaa na maradhi ya kipindupindu.
-
Ripoti: Tufani ya mabadiliko ya Bin Salman Saudia ni kuvutia radhi za Israel na Marekani
Feb 27, 2018 11:16Katika kuendelea kwa wimbi la mabadiliko na kuwapiga kalamu nyekundu viongozi wa ngazi za juu nchini Saudia, vyombo mbalimbali vya nchi za Kiarabu vimeripoti kwamba lengo la Mohammad Bin Salman Al Saud, mrithi wa kiti cha ufalme wa nchi hiyo katika kutekeleza mabadiliko hayo ni kuvuitia ridhaa ya Marekani na Israel.
-
Ulimwengu wa Michezo, Feb 26
Feb 26, 2018 04:26Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita...