-
Ukosoaji mkali wa upinzani nchini Ujerumani dhidi ya kuuziwa Saudia silaha zinazotumika kuua raia Yemen
Feb 25, 2018 09:39Mrengo wa upinzani nchini Ujerumani umekosoa vikali hatua ya nchi hiyo kuiuzia silaha za kisasa Saudi Arabia na washirika wake ambazo wanazitumia katika vita dhidi ya Yemen.
-
EU, HRW na Amnesty zaitaka Bahrain imuachie huru mwanaharakati aliyeikosoa Saudia
Feb 23, 2018 04:05Umoja wa Ulaya umeitaka serikali ya Bahrain imuachie huru Nabeel Rajab, mwanaharakati mashuhuri wa masuala ya haki za binadamu nchini humo, ambaye siku ya Jumatano alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kile kilichoelezwa kwamba, ni kupatikana na hatia ya uchochezi na kutoa jumbe za kukosoa utawala wa nchi hiyo na utawala wa Aal-Saud nchini Saudi Arabia.
-
Amnesty International yaikosoa Ufaransa kwa kuziuzia silaha Imarati na Saudi Arabia
Feb 22, 2018 04:47Shirika la Msamaha Duniani (Amnesty International) limeikosoa vikali Paris kwa kuendelea kuiuzia Riyadh silaha na zana za kijeshi ambazo zinatumika vitani huko Yemen.
-
Mkuu wa baraza kuu la kisiasa Yemen awatahadharisha wavamizi wa Saudi Arabia
Feb 22, 2018 04:36Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesisitiza kuwa vikosi vya Yemen vitawashangaza pakubwa wavamizi wa Saudia huko Yemen.
-
Kuuawa askari wengine 12 wa Imarati nchini Yemen, matokeo ya kupenda kujitanua Saudia na Abu Dhabi
Feb 21, 2018 09:05Wizara ya Ulinzi ya Yemen inayofungamana na Harakati ya Wananchi ya Answarullah, imetangaza habari ya kuangamizwa askari wengine 12 wa Imarati katika mji wa Taiz ulioko kusini mashariki mwa nchi hiyo.
-
Kuendelea mashambulizi ya Saudi Arabia Yemen; raia watano wauawa mkoani Ta'iz
Feb 20, 2018 23:41Raia watano jana usiku waliuawa katika mashambulizi ya ndege za kivita za utawala wa Saudia katika mkoa wa Taiz Yemen.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 28 na sauti
Feb 18, 2018 13:09Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 28 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.
-
Ndege za kivita za Saudia zaua watu 18, wakiwemo watoto na wanawake, nchini Yemen
Feb 18, 2018 04:16Ndege za kivita za Saudi Arabia zimedondosha mabomu nchini Yemen na kuua watu 18, wakiwemo wanawake na watoto katika mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa nchi hiyo masikini ya Kiarabu.
-
Qassemi: Al Jubeir anabwabwaja, anataka kuzungumza kwa niaba ya Wairaqi
Feb 15, 2018 12:49Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu madai yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia katika kikao cha kuijenga upya Iraq dhidi ya Iran na kusema: Adel al-Jubeir amesahau kwamba hawezi kuzungumza kwa niaba ya serikali ya Iraq na wananchi wa nchi hiyo.
-
Makumi ya wanamgambo wa serikali za Sudan na Saudia wauawa nchini Yemen
Feb 15, 2018 00:34Duru mbalimbali za Yemen zimetangaza habari ya kuuawa makumi ya wanamgambo wa serikali za Sudan na Saudi Arabia katika vita na jeshi la Yemen na vikosi vya kujitolea vya wananchi ndani ya ardhi ya Yemen.