-
Saudia yaishinikiza Kuwait imkatae balozi wa Lebanon ambaye ni Mwislamu wa Shia
Sep 09, 2017 11:59Utawala wa Saudi Arabia umeendeleza mashinikizo mbalimbali dhidi ya serikali ya Kuwait, ikiitaka nchi hiyo kuikataa barua ya utambulisho wa Rayan Said, balozi wa Lebanon ambaye ni Mwislamu wa Shia aliyetumwa nchini humo.
-
Ayatullah Movahhedi Kermani: Mataifa ya Kiislamu yaamke dhidi ya jinai za Mabudha wa Myanmar
Sep 08, 2017 14:24Hatibu wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa hakuna matumaini ya kuona taasisi za kimataifa zikisaidia kuzuia mauaji ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar na ameyataka mataifa ya Kiislamu kuamka na kusimama kidete dhidi ya jinai zinazofanywa na jeshi na Mabudha wa nchi hiyo.
-
Qatar yashikilia msimamo wa kupinga masharti 13 ya Saudia ya kuanzisha tena uhusiano
Sep 08, 2017 03:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar, Mohammad bin Abdulrahman Aal Thani amesema, masharti 13 yaliyowekwa na tawala za Kiarabu zinazoongozwa na Saudia ambazo zimeiwekea nchi yake vikwazo, hayakubaliki kwani yanalenga kuhujumu mamlaka ya kijitawala Qatar.
-
Saudia yalegeza misimamo ya chuki; yapiga marufuku vyombo vyake vya habari kuishambulia Iran
Sep 04, 2017 23:00Gazeti la Raýul-Yaum limezinukuu duru za ngazi za juu za utawala wa Saudi Arabia na kuandika kuwa Baraza la Ufalme wa Aal Saud limetoa amri kwa magazeti na kanali za televisheni za nchi hiyo ziache kuishambulia Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mashirika 62 ya haki za binadamu yaishitaki Saudia kwa jinai zake nchini Yemen
Sep 01, 2017 22:01Muungano wa kimataifa wa mashirika ya haki za binadamu yasiyo ya kiserikali yameutaka Umoja wa Mataifa kuunda kamati huru ya kuchunguza jinai za kivita na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu unaofanywa na utawala wa kiimla wa Saudi Arabia nchini Yemen
-
Al-Shanqati: Njama za Saudia kuilenga Iran ndani ya eneo la Mashariki ya Kati zimefeli sana
Aug 31, 2017 04:25Mhadhiri wa masuala ya kisiasa nchini Bahrain, ameitaja Saudia kuwa iliyofeli sana katika njama zake tofauti eneo la Mashariki ya Kati kuilenga Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Mgogoro wa Riyadh na Doha wasababisha idadi ya Mahujaji wa Qatar kupungua
Aug 29, 2017 03:05Athari za mgogoro kati ya Doha na Riyadh zimeathiri pakubwa idadi ya Mahujaji wa Qatar walioenda kutekeleza ibada tukufu ya Hijja mwaka huu nchini Saudi Arabia.
-
Wanamfalme wanaomuunga mkono bin Nayef wafungwa jela ya siri na Bin Salman, Saudia
Aug 28, 2017 10:29Duru za habari nchini Saudia zimeripoti kwamba, Mohammad bin Salman bin Abdulaziz Aal Saud, mrithi wa kiti cha ufalme nchini humo anatumia jela za siri kuwafunga wanamfalme wengine wanaomuunga mkono Muhammad bin Nayef, mrithi wa kiti cha ufalme aliyefutwa kazi.
-
Wayemen waandamana kulaani ukatili wa Saudia dhidi yao
Aug 27, 2017 03:13Mamia ya maelfu ya wananchi wa Yemen kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano katika mji mkuu Sana'a kulaani ukatili na mashambulizi ya kila uchao ya Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo maskini.
-
Ndege za kivita za Saudia zimeua raia 56 Yemen katika wiki moja
Aug 26, 2017 02:23Hujuma za ndege za kivita za Saudia zimeua raia zaidi ya 56 kote Yemen wakiwemo wanawake na watoto katika kipindi cha wiki moja iliyopita.